Mauzauza: Nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu

Mauzauza: Nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu

Hizi imani ni mitihani sana,mimi ni Muisilamu nimefundishwa kuwaheshimu watu wote hata kama si Waisilamu,nimefundishwa kuwajali na kuwaheshimu wazazi wangu hata kama si waisilamu

Nimefundishwa kuwaombea dua waliotangulia, bali siyo kuwatukana hata kama wa Dini nyingine
Mkuu hakuna mtu aliyetukanwa hapa🙏kuwa na amani,nahisi mimi kutaja kutumia udi kumeamsha hisia baadh za watu,Ila it's all fine relax.
 
Hizo ni IBADA za mizimu.

Mungu amekataza ushirika kati ya Walio hai na waliokufa.

Ukiendelea na IBADA hizo, utakapokufa, utaenda direct KUZIMU.

Dini hiyo haikutokana na Mungu, wameingiza IBADA za kipepo zifanyike na Wana wa Mungu mkiaminishwa kuwa zinaruhusiwa na Mungu ambapo Si Kweli.
Lait ungejua hata uo utaratibu wako wa kufanya maombi ya iman unayo abudu n Mila na tamadun za waliokuletea iyo din usinge shupaza shingo kwenye haya mambo
 
Yesu ndiye anayekupa PUMZI Bure.

Uwe na Akiba ya maneno Yako.

(Yohana 1:1-14). Says:

Hapo Mwanzo kulikuwa NENO, naye NENO alikuwako Kwa Mungu, naye NENO alikuwa Mungu,

Vyote vilifanyika kupitia Yeye, na pasipo Yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.

Ndani yake ndimo ulimokuwa Uzima, na ule Uzima ulikuwa Nuru ya watu, nayo NURU yangaa gizani, Wala Giza halikuiweza.

9. Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye Nuru Kila mtu akija ULIMWENGUNI.

10. Alikuwako ULIMWENGUNI, hata Yeye Ulimwengu ulipata kuwako, Wala Ulimwengu
haukumtambua.

11. Alikuja kwake,Wala Walio wake hawakumpokea.

14. Naye NENO alifanyika mwili akakaa kwetu, nasi tukaona Utukufu wake, kama Utukufu wa mwana pekee atokaye Kwa Baba, amejaa neema na Kweli.

NB: Yesu alikuja Kwa Kila mtu avutaye PUMZI, Si Kwa Dini Fulani pekee.

Amen
Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:

Tazama! naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo 7.56

Mwana wa Adamu ndiye Yesu, na kwa jina hilo ndio mwenyewe akipenda kujiita, sio Mwana wa Mungu. Hapo basi huko mbinguni Stefano anasema anamwona Yesu kakaa mkono wa kulia wa Mungu. Mwenye kukaa mkono wa kulia wa fulani hawezi kuwa ndiye yule yule fulani. Hayo ni maelezo ya mbinguni. Ni wazi basi kwa ushahidi wa Biblia kuwa Yesu hakuwa Mungu mbinguni kama alivyokuwa si Mungu duniani.
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:
 
Yesu ni Mungu ndani ya mwanadamu, alikuja kuwakomboa watu na kuonesha namna tunavyopasa kupendana hata ikibidi kufa kwa ajili ya wenzetu. Yesu ni Jina Lipitalo Majina yote, hakuna mapepo yanayoweza kusimama Jina hili likitajwa!
Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:

Tazama! naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo 7.56

Mwana wa Adamu ndiye Yesu, na kwa jina hilo ndio mwenyewe akipenda kujiita, sio Mwana wa Mungu. Hapo basi huko mbinguni Stefano anasema anamwona Yesu kakaa mkono wa kulia wa Mungu. Mwenye kukaa mkono wa kulia wa fulani hawezi kuwa ndiye yule yule fulani. Hayo ni maelezo ya mbinguni. Ni wazi basi kwa ushahidi wa Biblia kuwa Yesu hakuwa Mungu mbinguni kama alivyokuwa si Mungu duniani.
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:
 
Kukaa mkono wa kuume hujui maana yake. Kukaa mkono wa kuume ni kukaa katika position ya mamlaka na enzi na Utukufu.

Hata hivi Leo Mbinguni ukibahatika kukiona KITI Cha enzi, Yesu amekaa katika KITI hicho, hajasimama mkono wa kuume. Kuwa mkono wa kuume ni kuwa katika enzi na mamlaka.
 
Unachanganya Madawa Mkuu! Huwezi kuwaombea Wazee wako kwa Udi uloupata kwenye Maduka ya Kisunna, then mambo yakiwa Magumu unaanza kusali kwa Damu ya Yesu!

Hizi ndo Imani walizonazo baadhi ya Watu, Jumamosi kwa Mganga, Jumapili kanisani, utasikia "Kwa vile naenda kwa Mganga kwa ajiri ya mambo yangu yanyooke, siendi kumuumiza mtu, Mungu atanisaidia"
Ni kujidanganya!

Ni ama ukombelewe kwa Jina na Damu ya Yesu...!

Ama ufanye Ushirikina! Usahau kuhusu Yesu.
Habari za asubuhi wanaJF, hope tumeamka salama kwa uweza wa manani🙏

Wiki kama mbili nilikuwa nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu (RIP, manake wote walishatangulia mbele za haki), walikuwa wananijia ndotoni wakiomba niwapatie vinywaji, sehemu nyingine niliota napeleka vyakula,wakaniomba na vinywaji, specifically soda, aliniomba Bibi mzaa mama.

Yani nilikuwa naona ndoto za kuwahusu wao na ndugu wengine walio hai katika familia. Ni wiki niliyokuwa najihisi huzuni na upweke sana bila sababu.

Basi Jumatatu nilipotoka job nikaenda kwenye msikiti wa jiran Kuna duka la dawa za kisuna nikanunua udi flan hivi huwa unatumika kuombea watu waliotangulia mbele za haki. Nikarudi nyumbani nikaoga, nikala then nikauchoma nikiwaombea pumziko hasa Bibi na mama, then kwenye saa kumi na moja nikalala,nimejiwekea utaratibu wa kulala mchana nikiwa free.

Ndani ya nusu saa toka nilale nikaota mwanamke mmoja mtu mzima kavaa upande wa kanga kajifunika Hadi kifuani, kasimama dirishani mwa chumba changu lakini kanipiga mgongo, hivyo sikumwona sura,then nikastuka toka usingizini, nikabadil upande nikarud kulala, this time kama nusu saa baadae nikaota nakabwa pumzi na mtu nisiyemwona huku amenikandamiza kichwa chini,nikawa napambana kujinasua huku nikitaja damu ya Yesu niokoe, nilihangaika kwa muda then akaniachia na nikaamka ghafla. Sikulala tena, nikaamka na kuendelea na ratiba nyingine ya kumalizia siku.

Kulipopambazuka, nikajiandaa, nikachoma udi then nikaingia mzigon, then saa 11 baada ya muda wa mkoloni, nikaenda sokon nikanunua chumvi ya mawe nikarudi home nikaipigia deki chumbani na sebuleni. Nikachoma na udi ule wa kuwaombea wazee wangu, nikaendelea na ratiba nyingine na hali ikaendelea kuwa shwari hata zile ndoto zikakata.

Kimbembe nimeamka leo nikajiandaa niende job, kabla sijatoka natafuta udi zangu zilizobaki nichome sizioni, nimekagua kote sijaziona, na ninaishi peke yangu, hii nyumba Ina usalama wa kutosha, nimebaki na bumbuwazi. Hapa nimepanga nikitoka job nikanunue za kutosha pamoja na ubani, manake hii nyumba nina wiki tu toka nihamie. Maoni yenu wadau.
 
Lait ungejua hata uo utaratibu wako wa kufanya maombi ya iman unayo abudu n Mila na tamadun za waliokuletea iyo din usinge shupaza shingo kwenye haya mambo
Utaratibu wa jinsi ya kumwabudu Mungu unatolewa na Roho mtakatifu, na IBADA ni ya Roho Si mwilini na mazoea.

Imeandikwa: Nao wamwabuduo halisi watamwabudu katika Roho na Kweli.

Haikuandikwa ukitaka kuabudu ushike msaafu au Rozali, hizo ni IBADA za mwilini zisompendeza Mungu.
 
Habari za asubuhi wanaJF, hope tumeamka salama kwa uweza wa manani🙏

Wiki kama mbili nilikuwa nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu (RIP, manake wote walishatangulia mbele za haki), walikuwa wananijia ndotoni wakiomba niwapatie vinywaji, sehemu nyingine niliota napeleka vyakula,wakaniomba na vinywaji, specifically soda, aliniomba Bibi mzaa mama.

Yani nilikuwa naona ndoto za kuwahusu wao na ndugu wengine walio hai katika familia. Ni wiki niliyokuwa najihisi huzuni na upweke sana bila sababu.

Basi Jumatatu nilipotoka job nikaenda kwenye msikiti wa jiran Kuna duka la dawa za kisuna nikanunua udi flan hivi huwa unatumika kuombea watu waliotangulia mbele za haki. Nikarudi nyumbani nikaoga, nikala then nikauchoma nikiwaombea pumziko hasa Bibi na mama, then kwenye saa kumi na moja nikalala,nimejiwekea utaratibu wa kulala mchana nikiwa free.

Ndani ya nusu saa toka nilale nikaota mwanamke mmoja mtu mzima kavaa upande wa kanga kajifunika Hadi kifuani, kasimama dirishani mwa chumba changu lakini kanipiga mgongo, hivyo sikumwona sura,then nikastuka toka usingizini, nikabadil upande nikarud kulala, this time kama nusu saa baadae nikaota nakabwa pumzi na mtu nisiyemwona huku amenikandamiza kichwa chini,nikawa napambana kujinasua huku nikitaja damu ya Yesu niokoe, nilihangaika kwa muda then akaniachia na nikaamka ghafla. Sikulala tena, nikaamka na kuendelea na ratiba nyingine ya kumalizia siku.

Kulipopambazuka, nikajiandaa, nikachoma udi then nikaingia mzigon, then saa 11 baada ya muda wa mkoloni, nikaenda sokon nikanunua chumvi ya mawe nikarudi home nikaipigia deki chumbani na sebuleni. Nikachoma na udi ule wa kuwaombea wazee wangu, nikaendelea na ratiba nyingine na hali ikaendelea kuwa shwari hata zile ndoto zikakata.

Kimbembe nimeamka leo nikajiandaa niende job, kabla sijatoka natafuta udi zangu zilizobaki nichome sizioni, nimekagua kote sijaziona, na ninaishi peke yangu, hii nyumba Ina usalama wa kutosha, nimebaki na bumbuwazi. Hapa nimepanga nikitoka job nikanunue za kutosha pamoja na ubani, manake hii nyumba nina wiki tu toka nihamie. Maoni yenu wadau.
Wewe ki asili ni mtu wa wapi?
 
Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:

Tazama! naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo 7.56

Mwana wa Adamu ndiye Yesu, na kwa jina hilo ndio mwenyewe akipenda kujiita, sio Mwana wa Mungu. Hapo basi huko mbinguni Stefano anasema anamwona Yesu kakaa mkono wa kulia wa Mungu. Mwenye kukaa mkono wa kulia wa fulani hawezi kuwa ndiye yule yule fulani. Hayo ni maelezo ya mbinguni. Ni wazi basi kwa ushahidi wa Biblia kuwa Yesu hakuwa Mungu mbinguni kama alivyokuwa si Mungu duniani.
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:
Yesu anasema aliyeniona mimi (Yesu) amemwona Baba (Mungu).
 
Yesu anasema aliyeniona mimi (Yesu) amemwona Baba (Mungu).
Wayahudi walijua ni mwana wa Yusuph seremala!!!!

Messiah maana yake ni Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, MSHAURI WA AJABU, mfalme wa WAFALME ambaye ufalme wake hauna mwisho.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
 
Hizo ni roho za mizimu au miuungu ya familia yenu inahitaji kufanyiwa ibada,kulikuwa na aina ya hayo matambiko kwenye familia yenu,kiongozi wa familia anafahamu utaratibu.Kimsingi unaowaona SI baba yako ,mama yako au bibi yako hiyo ni miungu ya kizazi chenu ambayo walikuwa na mikataba nayo,vile unavyofanya utajiletea matatizo makubwa zaidi Kwa kuwa huelewi ni codes Gani walitumia Babu zako kuwasiliana na hao mizimu,utatengeneza ishue kubwa zaidi,nenda kanisani utubu na uokoke vinginevyo Kila kitu kitakufa kwenye maisha yako .
 
Alokupangisha anakufanyia mchezo ili uondoke apangishe mwingine,and so on
 
Yesu anasema aliyeniona mimi (Yesu) amemwona Baba (Mungu).
Yesu anazungumza juu ya Mungu kama kiumbe tofauti kwake mwenyewe: Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu. [Yohana 20:17]
Katika mstari huu anathibitisha kwamba alitumwa na Mungu: Huu ndio uzima wa milele: Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. [Yohana 17:3]

Iwapo Yesu angekuwa Mungu angewaambia watu wamwabudu, lakini alifanya kinyume na akakataa yeyote anayemwabudu: Nao wanani abudu bure [Mathayo 15:9].
 
Unachokosea unafanya IBADA ZA UMIZIMU


ibada za Wafu au UMIZIMU BIBLIA imekataza ,ila Roman Catholic imeruhusu ndio maana hayo madudu yanawatokea

Achana na chumvi, sijui udi, maji ya mwamposa, n.k

Amini kwa JINA LA YESU

Usikimbie NYUMBA ,NI AIBU KWA MTOTO WA KIFALME KUWAKIMBIA WACHAWI/MIZIMU

Aliye upande wetu ana nguvu kuliko wao
 
Back
Top Bottom