Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
- Thread starter
-
- #61
Mkuu hakuna mtu aliyetukanwa hapa🙏kuwa na amani,nahisi mimi kutaja kutumia udi kumeamsha hisia baadh za watu,Ila it's all fine relax.Hizi imani ni mitihani sana,mimi ni Muisilamu nimefundishwa kuwaheshimu watu wote hata kama si Waisilamu,nimefundishwa kuwajali na kuwaheshimu wazazi wangu hata kama si waisilamu
Nimefundishwa kuwaombea dua waliotangulia, bali siyo kuwatukana hata kama wa Dini nyingine
Lait ungejua hata uo utaratibu wako wa kufanya maombi ya iman unayo abudu n Mila na tamadun za waliokuletea iyo din usinge shupaza shingo kwenye haya mamboHizo ni IBADA za mizimu.
Mungu amekataza ushirika kati ya Walio hai na waliokufa.
Ukiendelea na IBADA hizo, utakapokufa, utaenda direct KUZIMU.
Dini hiyo haikutokana na Mungu, wameingiza IBADA za kipepo zifanyike na Wana wa Mungu mkiaminishwa kuwa zinaruhusiwa na Mungu ambapo Si Kweli.
Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:Yesu ndiye anayekupa PUMZI Bure.
Uwe na Akiba ya maneno Yako.
(Yohana 1:1-14). Says:
Hapo Mwanzo kulikuwa NENO, naye NENO alikuwako Kwa Mungu, naye NENO alikuwa Mungu,
Vyote vilifanyika kupitia Yeye, na pasipo Yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.
Ndani yake ndimo ulimokuwa Uzima, na ule Uzima ulikuwa Nuru ya watu, nayo NURU yangaa gizani, Wala Giza halikuiweza.
9. Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye Nuru Kila mtu akija ULIMWENGUNI.
10. Alikuwako ULIMWENGUNI, hata Yeye Ulimwengu ulipata kuwako, Wala Ulimwengu
haukumtambua.
11. Alikuja kwake,Wala Walio wake hawakumpokea.
14. Naye NENO alifanyika mwili akakaa kwetu, nasi tukaona Utukufu wake, kama Utukufu wa mwana pekee atokaye Kwa Baba, amejaa neema na Kweli.
NB: Yesu alikuja Kwa Kila mtu avutaye PUMZI, Si Kwa Dini Fulani pekee.
Amen
Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:Yesu ni Mungu ndani ya mwanadamu, alikuja kuwakomboa watu na kuonesha namna tunavyopasa kupendana hata ikibidi kufa kwa ajili ya wenzetu. Yesu ni Jina Lipitalo Majina yote, hakuna mapepo yanayoweza kusimama Jina hili likitajwa!
Habari za asubuhi wanaJF, hope tumeamka salama kwa uweza wa manani🙏
Wiki kama mbili nilikuwa nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu (RIP, manake wote walishatangulia mbele za haki), walikuwa wananijia ndotoni wakiomba niwapatie vinywaji, sehemu nyingine niliota napeleka vyakula,wakaniomba na vinywaji, specifically soda, aliniomba Bibi mzaa mama.
Yani nilikuwa naona ndoto za kuwahusu wao na ndugu wengine walio hai katika familia. Ni wiki niliyokuwa najihisi huzuni na upweke sana bila sababu.
Basi Jumatatu nilipotoka job nikaenda kwenye msikiti wa jiran Kuna duka la dawa za kisuna nikanunua udi flan hivi huwa unatumika kuombea watu waliotangulia mbele za haki. Nikarudi nyumbani nikaoga, nikala then nikauchoma nikiwaombea pumziko hasa Bibi na mama, then kwenye saa kumi na moja nikalala,nimejiwekea utaratibu wa kulala mchana nikiwa free.
Ndani ya nusu saa toka nilale nikaota mwanamke mmoja mtu mzima kavaa upande wa kanga kajifunika Hadi kifuani, kasimama dirishani mwa chumba changu lakini kanipiga mgongo, hivyo sikumwona sura,then nikastuka toka usingizini, nikabadil upande nikarud kulala, this time kama nusu saa baadae nikaota nakabwa pumzi na mtu nisiyemwona huku amenikandamiza kichwa chini,nikawa napambana kujinasua huku nikitaja damu ya Yesu niokoe, nilihangaika kwa muda then akaniachia na nikaamka ghafla. Sikulala tena, nikaamka na kuendelea na ratiba nyingine ya kumalizia siku.
Kulipopambazuka, nikajiandaa, nikachoma udi then nikaingia mzigon, then saa 11 baada ya muda wa mkoloni, nikaenda sokon nikanunua chumvi ya mawe nikarudi home nikaipigia deki chumbani na sebuleni. Nikachoma na udi ule wa kuwaombea wazee wangu, nikaendelea na ratiba nyingine na hali ikaendelea kuwa shwari hata zile ndoto zikakata.
Kimbembe nimeamka leo nikajiandaa niende job, kabla sijatoka natafuta udi zangu zilizobaki nichome sizioni, nimekagua kote sijaziona, na ninaishi peke yangu, hii nyumba Ina usalama wa kutosha, nimebaki na bumbuwazi. Hapa nimepanga nikitoka job nikanunue za kutosha pamoja na ubani, manake hii nyumba nina wiki tu toka nihamie. Maoni yenu wadau.
Utaratibu wa jinsi ya kumwabudu Mungu unatolewa na Roho mtakatifu, na IBADA ni ya Roho Si mwilini na mazoea.Lait ungejua hata uo utaratibu wako wa kufanya maombi ya iman unayo abudu n Mila na tamadun za waliokuletea iyo din usinge shupaza shingo kwenye haya mambo
Wewe ki asili ni mtu wa wapi?Habari za asubuhi wanaJF, hope tumeamka salama kwa uweza wa manani🙏
Wiki kama mbili nilikuwa nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu (RIP, manake wote walishatangulia mbele za haki), walikuwa wananijia ndotoni wakiomba niwapatie vinywaji, sehemu nyingine niliota napeleka vyakula,wakaniomba na vinywaji, specifically soda, aliniomba Bibi mzaa mama.
Yani nilikuwa naona ndoto za kuwahusu wao na ndugu wengine walio hai katika familia. Ni wiki niliyokuwa najihisi huzuni na upweke sana bila sababu.
Basi Jumatatu nilipotoka job nikaenda kwenye msikiti wa jiran Kuna duka la dawa za kisuna nikanunua udi flan hivi huwa unatumika kuombea watu waliotangulia mbele za haki. Nikarudi nyumbani nikaoga, nikala then nikauchoma nikiwaombea pumziko hasa Bibi na mama, then kwenye saa kumi na moja nikalala,nimejiwekea utaratibu wa kulala mchana nikiwa free.
Ndani ya nusu saa toka nilale nikaota mwanamke mmoja mtu mzima kavaa upande wa kanga kajifunika Hadi kifuani, kasimama dirishani mwa chumba changu lakini kanipiga mgongo, hivyo sikumwona sura,then nikastuka toka usingizini, nikabadil upande nikarud kulala, this time kama nusu saa baadae nikaota nakabwa pumzi na mtu nisiyemwona huku amenikandamiza kichwa chini,nikawa napambana kujinasua huku nikitaja damu ya Yesu niokoe, nilihangaika kwa muda then akaniachia na nikaamka ghafla. Sikulala tena, nikaamka na kuendelea na ratiba nyingine ya kumalizia siku.
Kulipopambazuka, nikajiandaa, nikachoma udi then nikaingia mzigon, then saa 11 baada ya muda wa mkoloni, nikaenda sokon nikanunua chumvi ya mawe nikarudi home nikaipigia deki chumbani na sebuleni. Nikachoma na udi ule wa kuwaombea wazee wangu, nikaendelea na ratiba nyingine na hali ikaendelea kuwa shwari hata zile ndoto zikakata.
Kimbembe nimeamka leo nikajiandaa niende job, kabla sijatoka natafuta udi zangu zilizobaki nichome sizioni, nimekagua kote sijaziona, na ninaishi peke yangu, hii nyumba Ina usalama wa kutosha, nimebaki na bumbuwazi. Hapa nimepanga nikitoka job nikanunue za kutosha pamoja na ubani, manake hii nyumba nina wiki tu toka nihamie. Maoni yenu wadau.
Yesu anasema aliyeniona mimi (Yesu) amemwona Baba (Mungu).Katika kitabu cha Matendo ya Mitume inasimuliwa kuwa Mt Stefano alisema aliyoyaona yaliyo mbinguni. Alisema:
Tazama! naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Matendo 7.56
Mwana wa Adamu ndiye Yesu, na kwa jina hilo ndio mwenyewe akipenda kujiita, sio Mwana wa Mungu. Hapo basi huko mbinguni Stefano anasema anamwona Yesu kakaa mkono wa kulia wa Mungu. Mwenye kukaa mkono wa kulia wa fulani hawezi kuwa ndiye yule yule fulani. Hayo ni maelezo ya mbinguni. Ni wazi basi kwa ushahidi wa Biblia kuwa Yesu hakuwa Mungu mbinguni kama alivyokuwa si Mungu duniani.
Yesu alipokimbilia kwenye Mlima wa Zaituni na huku akisakwa na Mayahudi alijitenga na wanafunzi wake. Huko faraghani aliomba hivi:
Wayahudi walijua ni mwana wa Yusuph seremala!!!!Yesu anasema aliyeniona mimi (Yesu) amemwona Baba (Mungu).
Yesu anazungumza juu ya Mungu kama kiumbe tofauti kwake mwenyewe: Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu. [Yohana 20:17]Yesu anasema aliyeniona mimi (Yesu) amemwona Baba (Mungu).
Tafuta ndugu yako wa karibu usikae mwenyewe.Mie mwanamke na nasali sana
Sawa mkuu nakuja🙏Nione pm
Sina ndugu huku niliko na mkoa wa mbali nilohamishiwa kikazi🙏Tafuta ndugu yako wa karibu usikae mwenyewe.
Mbeya kwa upande wa mama ndio nimebase sanaWewe ki asili ni mtu wa wapi?