Mauzauza: Nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu

Acha kutufundisha ujinga uliofundishwa wewe.... mizimu ni nini ?!!![emoji849][emoji1787][emoji1787]
 
Kisomi kabisa unataka kutuambia umefanya tafiti kwa hao "waabudu mizimu" KILA VITU VYAO VIMEKUFA?!!!!
 
Duuuh [emoji849][emoji1787][emoji1787]
 
nikawa napambana kujinasua huku nikitaja damu ya Yesu niokoe, nilihangaika kwa muda then akaniachia na nikaamka ghafla.

Hicho ulichofanya hapa ndio unatakiwa kukifanya kila wakati

Kuota watu waliotangulia sio kitu chema sana, inawezekana Ile roho iliyowameza nayo inakutafuta ikumeze.

Achana na kusema unawaombea, ila omba kwaajili yako na umshukuru Mungu kwaajili ya ule uhai wao. Hakuna kitu unaweza wasaidia wala hakuna kitu wao wanaweza kukusaidia kwa sasa.

Unatakiwa kuwa na mfululizo wa maombi kuondoa hiyo hali
 
Hama hapo usipende kununua kesi za waganga zisije kukutia nuksi inahitaji mtu mwenye maombi makubwa sana au mtaalamu bila hivo roho ya mauti itakuvaa
 
Swali ambalo huwa najiuliza pasipo majibu,kwa nini haya mambo yanawaanfama wanawake tu kwa nini sio wanaume?
 
Pole Sana. Hiyo Nyumba ni Nzito Sana Ina maseke. Pia hapo umeingia vitani Kodi ikiisha hama. Then Acha kuchoma ma udi hayo, ni Chakula cha majini. Then ndio unazid kuyakaribisha tafuta watu WA. Mungu mfunike hiyo Nyumba Kwa Damu ya Yesu na kila kitu kitakuwa Sawa.
 
Dini Yako haitakusaidia, unamhitaji Yesu
Watu mmekuwa brainwashed kiwango cha kutojitambua kabisa. Hivi unaongeleaje yesu pasi nakuuongelea ukristo. Si ni bora hata ungesema Mungu ambae kila mtu ana access ya kumtaja si mwislamu, mkristo wala mpagani.
 
Pole
 
Nyumba ina mauza uza hiyo.

Nenda katafute usembe uwe unapaka kabla ya kulala.

Halafu kingine mbona hueleweki mara msikiti mara Yesu.
 
Udi una ubaya gani?
 
Hama nyumba kama umepanga bado ina misukule yake
 
Nini tofaut ya udi na ubani,ubani hata Wakatoliki wanautimia kwenye Misa
 
Nyumba ina mauza uza hiyo.

Nenda katafute usembe uwe unapaka kabla ya kulala.

Halafu kingine mbona hueleweki mara msikiti mara Yesu.
Hahaha

Niko nasubiria pambano la hassan ndonga vs Oscar Richard,naona walitambiana sana
Je ulingoni watatuletea burdani au

Ova
 
Hahaha

Niko nasubiria pambano la hassan ndonga vs Oscar Richard,naona walitambiana sana
Je ulingoni watatuletea burdani au

Ova
Hassan Ndonga sijaangalia sana mapambano yake.

Ila Oscar Richard nimemuangalia tangu bado yupo kijana mdogo kabisa yupo vizuri sana.

Wamekuwa pamoja na James Kibazange ,ndiye sparring partner wake wa muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…