Naona unajipoza na kiavator [emoji1][emoji1]Kwahiyo na wewe ni aifoni timu
Ndio mkuu 🤣
Kesho mchana mnauawa
Najuaga ni itel teamUlijua ni tecno team?
Wacha na nini[emoji1][emoji1]Kesho mchana mnauawa
Iyo 14 yenye dynamic islandIpi sasa?
Tumia kwanza ndio uje na reviews!Nimerudisha Iphone-11 yangu niliyokuwa nayo wakanipa iphone-14 bure, mradi nisihame kampuni yao kwa miaka miwili, jambo ambalo haliwezekani kwani nimeshakuwa na kamuni hii ya T-Moble kwa miaka mitatu sasa na ninaridhika na huduma zao. Nikienda Tanzania huwa wananiunganisha na Airtel moja kwa moja bila mkwara wowote.
Kwa sasa sijaona tofauti yoyote ya msingi baina ya Iphone-11 na Iphone 14, ila ngoja niendelee kuangalia performnce huko mbeleni. Wakati mwingine huwa wanafanya mkwara wa kutangaza kwa nguvu ili wauze tu.
Camera vipi? Hivi ukirudisha kuna hela unaongezea?Nimerudisha Iphone-11 yangu niliyokuwa nayo wakanipa iphone-14 bure, mradi nisihame kampuni yao kwa miaka miwili, jambo ambalo haliwezekani kwani nimeshakuwa na kamuni hii ya T-Moble kwa miaka mitatu sasa na ninaridhika na huduma zao. Nikienda Tanzania huwa wananiunganisha na Airtel moja kwa moja bila mkwara wowote.
Kwa sasa sijaona tofauti yoyote ya msingi baina ya Iphone-11 na Iphone 14, ila ngoja niendelee kuangalia performnce huko mbeleni. Wakati mwingine huwa wanafanya mkwara wa kutangaza kwa nguvu ili wauze tu.