Mauzo ya iphone 14 pro na max yavunja rekodi. Zaidi ya simu milioni 10 mpaka sasa

Mauzo ya iphone 14 pro na max yavunja rekodi. Zaidi ya simu milioni 10 mpaka sasa

Kinacho niudhi ni yey kukosa akili ya kutambua kuwa Happ anachezewa ubongo wake tu na wazungu hkn kipya Zaid sans siyo nakasirika kwa kutumia hela vibaya nakasirika kwa kuchezewa ubongo na yey kuingia mzimamzimaaa uwez kuta moo au mam Samia nae anamiliki macho matatu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tulia kijana.

Kuna mtu ananunua gari ya bilioni na wewe gari ya milioni 20 inakushinda.

Kila mtu na uchaguzi wake. Kuchezewa na wazungu hata wewe unachezewa.
 
Duu hata hili sikulijua Ila ukishakuwa na pesa ya maana unawatumia watu kukupa namna ya kukuongezea hela...
Nimechelewa kukujibu sikuingia huku muda kidogo Jombaa.

Hapa chini nimeambatanisha chapisho liloandikwa na waalimu vya vyuo vikuu vya Stanford na Harvard (Susan Athey na Michael Luca) kuhusu uchumi na teknolojia ndio walioweka hizo takwimu.

Idadi ya wachumi wenye PhD waliopo Amazon ya Jeff Bezos ni wengi kuliko idara za uchumi za vyuo vikubwa kama Harvard au MIT.

Amazon wanazidiwa na benki kuu ya marekani (federal reserve - 450) pekee yake kwa kuwa na wachumi wengi wenye PhD.
 

Attachments

Thanks kwa kunipata Ila na wewe unayo hii knowledge. Ujue Kuna universal language how to talk with people's emotions. Jiulize why mziki hata lugha huijui Ila that music talk with your inner insticts/impulse, with your intuition mpaka unacheza ama unafurahia mziki.


Nb humans we're risk averse or we hate pains and we avoid it by any cost and seek pleasure at any cost even we risk something just seeking it.


So wafanye ama wale watu pleasure wanalipa hela.

Mtu anakunywa pombe ya milioni Ila akiwa ananunua matunda analalamika sema Kuna mentality imejengewa ukinywa ya milioni alcohol utaonekana wa high status tribe.
Na watu wanaweka matangazo yao kuwa bend watu mentality zao.


Yaani huwa wanawekeza matangazo na wanawake wanaonyesha sehemu zao like kikwapa,titi,mguu paja yaani wako nusu uchi just to trigger you into emotions state from rational/logic and reason brain.

So ukishakuwa emotions unakuwa irresistible to their intention target.


Binadamu akishakuwa emotional Ni easy to control him/her. Ila akiwa calm kabisa huwezi kumuendesha. Na ndio Mana hata wanawake wanaijua hii kitu Ni automatic or inborn lazima kwanza aanike sehemu zake za Siri wazi ili aku stimulate or a trigger your sexual desire emotions unakuwa hauna akili yako sahihi unawaza kumfaki Mara umeshamtongoza. Wao Ni wajanja ukishakuwa kwenye Ile peak state of happiness emotions ndipo hapo hapo anapokuambia beibi Nina shida hizi na kumbuka huwezi chomoa lazima unatoa hela baadaye ukisha relax Ile rational mind imerudi ndipo unapoanza kuwaza why umempatia Ile hela na nothing you gained.

Mwanamke akikutaka lazima ajifanye ufurahi kwanza. Remember emotions huwa Ni temporary like hasira,uwoga,furaha,tamaa,hope, overconfidence na zikishatoka tu rational hii hapa ndipo unaanza Ni kwa Nini sikuamua ama sikufanya hivi ama sikimjibu hili.


Hakuna ulichokosea sema Sasa emotions huwa Zina bypass/hijacks or overwhelm normal thanking brain.


Kikubwa Ni kuwa makini how Zina operate.

Hata kwa kanisa Kama Roma wanatoa mmoja mmoja kwenda kutoa sadaka hii ili usibakie kwa bench alone utapata aibu.



Kama Hawa wachungaji wanajua kucheza na emotions zako. Unahubiriwa baraka kibao na jinsi watu walivyotoa kwa bwana na wakapata baraka,they treat or prech you to be emotionally ili utoe ama utoe ahadi.


Umeshawahi toa ahadi baadaye ukaanza kujuta unapokuwa unataka kuitimiza.

Na wao Ni wajanja wanacheza na wewe yaani wanahakikisha hawakuachii nafasi ili uwe calm mpaka uitimize.




Kuna silaha za ngono zinafanya kazi,Kuna mademu wazuri wapelelezi utamkula na atakuchukua Siri,unaweza mpaka ukamuoa mkazaa baadaye anasepa Mana yupo kazini alipewa mission fulani. Nadhani umeshaona movie ya naked weapon.
Naked weapon wale wanawake walikua recruited kuwa monsters!
 
Wapuuzi tu hawa wanajitekenya na kujichekesha wenyewe.

Eti miaka mia ijayo Shenzi.

Wao waseme wanaji promote.
 
Asante mchina
Screenshot_20221004-051853.jpg
 
huu utumbo hata haukaribiani na uhalisia [emoji2956][emoji2956]

usijejichanganya kama unataka smartwarch yenye uhalisia na kioo cha kutouch zipo za huawei,samsung,xiaomi zinacheza around 400k huko.
Nimeona review yake YouTube inafanya kazi fresh tu hilo umbo lisikuchanganye haina features za msingi zilizopo kwenye apple watch ultra kama vile crash detection na satellite communication
 
Mimi najiuliza iphone 14 pro max ukiulizia maduka pale kaliakoo bei ziko tofauti tofauti unakuta nyingine bei iko juu zaidi mfano maduka outhorized kuuza na apple wanauza juu zaidi lakini maduka yaliyokaliakoo wanauza bei inayoreason
wadau nisaidieni inakuaje maana hakuna iphone fake bali kuna copy yake na ukishika utaijua tu.
 
Mimi najiuliza iphone 14 pro max ukiulizia maduka pale kaliakoo bei ziko tofauti tofauti unakuta nyingine bei iko juu zaidi mfano maduka outhorized kuuza na apple wanauza juu zaidi lakini maduka yaliyokaliakoo wanauza bei inayoreason
wadau nisaidieni inakuaje maana hakuna iphone fake bali kuna copy yake na ukishika utaijua tu.

Msaada hapa
 
Kampuni ya Apple inc kupitia devices zake za iphone leo zimeweka rekodi duniani ambayo haijawahi kutokea...
Daaaah kumbe mm sio kitu yaani sijanunua na bado wamevunja rekod aisee hongera kwao.
 
I have clearly understood you! But please don't blame those who have failed to understand you,kuelewa ni tunu adimu!
It's a question of RATIONALITY over being highy EMOTIONAL!

Maamuzi mengi yanayofanywa kwa sababu watu wameweza kugusa hisia Yako fulani Huwa mabovu more often than not kuliko yanayofanywa na mtu akiwa na akili HURU ambayo Judgement yake haijakuwa clouded na hayo mahisiahisia!!
May you have a blessed day!!
 
Sasa ajabu Bab level yule jama wa wasafi Hana elimu yoyote ile Sana kaishia darasa la Saba eti tayari kashaweka order kwenye maduka makubwa...

Mkuu makasiriko hayo mtu hapangiwi matumizi ya pesa yake. Life’s good huh[emoji16]
 
Wanaopenda how our mind works na sio wavivu kusoma pitieni hapa chini. Sio story za mbususu zinakupa furaha hii unaumiza kichwa hivyo kikimbize kwa Uzi wa r boy ili kipate furaha na upate sex stimulation.



Understand what emotions are and how they impact your life
Identify negative emotions that control your life and learn to
overcome them
Change your story to take better control over your life and create
a more compelling future, and
Reprogram your mind to experience more positive emotions.
In fact, one single criticism can often outweigh hundreds of positive ones.
That’s why, an author with fifty 5-star reviews, is likely to feel terrible
when they receive a single 1-star review. While the author understands the
1-star review isn’t a threat to her survival, her authorial brain doesn’t. It
likely interprets the negative review as a threat to her ego which triggers
an emotional reaction.
The fear of rejection can also lead you to over-dramatize events. If your
boss criticized you at work, your brain may see the event as a threat and
you now think, “What if I’m fired? What if I can’t find a job quickly
enough and my wife leaves me? What about my kids? What if I can’t see
them again?” While you are fortunate to have such an effective survival
mechanism, it is also your responsibility to separate real threats from
imaginary ones. If you don’t, you’ll experience unnecessary pain and
worry that will negatively impact the quality of your life. To overcome
this bias towards negativity, you must reprogram your mind. One of a
human being’s greatest powers is our ability to use our thoughts to shape
our reality and interpret events in a more empowering way. dopamine can mess with your happiness
Dopamine is a neurotransmitter which, among other functions, plays a
major role in rewarding certain behaviors. When dopamine is released into
specific areas of your brain—the pleasure centers—you get a high. This is
what happens during exercise, when you gamble, have sex, or eat great
food.
One of the roles of dopamine is to ensure you look for food so you don't
die of starvation, and you search for a mate so you can reproduce. Without
dopamine, our species would likely be extinct by now. It’s a pretty good
thing, right?
Well, yes and no. In today’s world, this reward system is, in many cases,
obsolete. While in the past, dopamine was linked to our survival instinct,
The release of dopamine can now be generated artificially. A great
example of this effect is social media, which uses psychology to suck as
much time as possible out of your life. Have you noticed all these
notifications that pop up constantly? They’re used to trigger a release of
dopamine so you stay connected, and the longer you stay connected, the
more money the services make. Watching pornography or gambling also
leads to a release a dopamine which can make these activities highly
addictive.
Fortunately, we don’t need to act each time our brain releases dopamine.
For instance, we don’t need to constantly check our Facebook newsfeeds
just because it gives us a pleasurable shot of dopamine.
Marketers perfectly understand people’s need to identify with things. They
know people don’t just buy a product, they also buy the emotions or story
attached to the product. Often, you buy certain clothes or a particular car
because you want to tell a story about yourself. For instance, you may
want to enhance your status, look cool or express your unique personality,
and choose the products most closely associated with these ideals.
This is how the ego works. It uses things to create a story you can identify
with. It doesn’t mean things are wrong per se. It’s a negative issue only
when you become overly attached to things, believing they can fulfill you
—which they can’t.
If you are honest with yourself, you’ll realize most of the things you do
are attempts to obtain the approval of others. You want your parents to be
proud of you, your boss to respect you, and your wife to love you.Loneliness is not cured by human company. Loneliness is
cured by contact with reality, by understanding that we don’t
need people.
— ANTHONY DE MELLO
 
Back
Top Bottom