Mauzo ya iphone 14 pro na max yavunja rekodi. Zaidi ya simu milioni 10 mpaka sasa

Mauzo ya iphone 14 pro na max yavunja rekodi. Zaidi ya simu milioni 10 mpaka sasa

I have kinda of understood you,just playing with the human psyche and deep-seated emotions mostly the need to feel distinguished![emoji12][emoji12][emoji12]
Thanks kwa kunipata Ila na wewe unayo hii knowledge. Ujue Kuna universal language how to talk with people's emotions. Jiulize why mziki hata lugha huijui Ila that music talk with your inner insticts/impulse, with your intuition mpaka unacheza ama unafurahia mziki.


Nb humans we're risk averse or we hate pains and we avoid it by any cost and seek pleasure at any cost even we risk something just seeking it.


So wafanye ama wale watu pleasure wanalipa hela.

Mtu anakunywa pombe ya milioni Ila akiwa ananunua matunda analalamika sema Kuna mentality imejengewa ukinywa ya milioni alcohol utaonekana wa high status tribe.
Na watu wanaweka matangazo yao kuwa bend watu mentality zao.


Yaani huwa wanawekeza matangazo na wanawake wanaonyesha sehemu zao like kikwapa,titi,mguu paja yaani wako nusu uchi just to trigger you into emotions state from rational/logic and reason brain.

So ukishakuwa emotions unakuwa irresistible to their intention target.


Binadamu akishakuwa emotional Ni easy to control him/her. Ila akiwa calm kabisa huwezi kumuendesha. Na ndio Mana hata wanawake wanaijua hii kitu Ni automatic or inborn lazima kwanza aanike sehemu zake za Siri wazi ili aku stimulate or a trigger your sexual desire emotions unakuwa hauna akili yako sahihi unawaza kumfaki Mara umeshamtongoza. Wao Ni wajanja ukishakuwa kwenye Ile peak state of happiness emotions ndipo hapo hapo anapokuambia beibi Nina shida hizi na kumbuka huwezi chomoa lazima unatoa hela baadaye ukisha relax Ile rational mind imerudi ndipo unapoanza kuwaza why umempatia Ile hela na nothing you gained.

Mwanamke akikutaka lazima ajifanye ufurahi kwanza. Remember emotions huwa Ni temporary like hasira,uwoga,furaha,tamaa,hope, overconfidence na zikishatoka tu rational hii hapa ndipo unaanza Ni kwa Nini sikuamua ama sikufanya hivi ama sikimjibu hili.


Hakuna ulichokosea sema Sasa emotions huwa Zina bypass/hijacks or overwhelm normal thanking brain.


Kikubwa Ni kuwa makini how Zina operate.

Hata kwa kanisa Kama Roma wanatoa mmoja mmoja kwenda kutoa sadaka hii ili usibakie kwa bench alone utapata aibu.



Kama Hawa wachungaji wanajua kucheza na emotions zako. Unahubiriwa baraka kibao na jinsi watu walivyotoa kwa bwana na wakapata baraka,they treat or prech you to be emotionally ili utoe ama utoe ahadi.


Umeshawahi toa ahadi baadaye ukaanza kujuta unapokuwa unataka kuitimiza.

Na wao Ni wajanja wanacheza na wewe yaani wanahakikisha hawakuachii nafasi ili uwe calm mpaka uitimize.




Kuna silaha za ngono zinafanya kazi,Kuna mademu wazuri wapelelezi utamkula na atakuchukua Siri,unaweza mpaka ukamuoa mkazaa baadaye anasepa Mana yupo kazini alipewa mission fulani. Nadhani umeshaona movie ya naked weapon.
 
Wameisha anza pata crack
Screenshot_20220917_124049.jpg
 
It's very easy to manipulate croward than individual person. Hata matangazo ya kibiashara yaandaliwa na watu ambao wanaijua mno saikolojia ya binadamu. Umeshawahi ona unanunua kitu bila ya kutegemea/kuwaza. We buy things just to us feels happy or to impress others. To make external validation of sense of mattering. Unajua Ni kwa Nini kasino kubwa wanakupa bia za bure ili u gamble, ama Kuna mabinti warembo yaani nasema warembo mno unaweza ukamuacha mama yako kisa ya huyo mrembo.
Unajua why banks Zina wadada warembo umeshawahi ona benki Ina mdada mbaya ambaye haujisikii kumuomba namna ya simu kweli?

Why bars Zina miziki umeshawahi jiuliza kweli??

Why matangazo ama utangazaji fulani ya new company product Wana employ wadada na wakaka beautiful and modal men.



Narudia kusema why matangazo mengi lazima yaendane na kitu Kama sex relationship. Yaani unamuona mtu yupo na demu mkali na jamaa naye ama figure sio la kitoto chuma kimemkubali. Niambie Ni tangazo gani halijatumia mtu mwenye mvuto ama maarufu.

So wanapokuonyesha mond anakunywa Pepsi anakamatia mkubwa so na wewe umkamatie na huku soda hata uishi duniani mpaka uzeeke hutopata upungufu wa soda mwilini.


Why kwenye ndege Kuna wadada wakali mno.



Yaani Kuna watu wenye brain kubwa Wana manipulate masses kwa kuchota akili zao na kuwafanya slaves wao wa kujaza akaunti zao za bank zijae na kuchukua utajiri mkubwa tokea kwa most majority poor public masses. Na ukicheki matajiri Ni wachache mno. Umeaniminishwa status or symbol ya high value yako Ni kumiliki Lamborghini,Rolex watch ,Apple phone/PC kupanga apartment Kali karibia na beach.



Sasa wenzako wanawekeza kwa kampani wanazidi kununua shares ambazo mpaka kizazi Chao Cha tano wataweza kuishi kwa kupata gawio la faida za hisa zao.


Jiulize why matajiri wako low key figure hata anayeitengeneza iPhone hujawahi muona anapiga picha nayo anajidai nayo kuonyesha kuwa yeye Ni high status class person. N Wana majina ya kukuteka ama kukufanya uwe mtumwa like hii Ni VIP place, product.


Saivi tajiri imeingiza billionaire amekuwa namba mbili akapitwa na Elon musk pekee ,Jeff Benzos yupo nyuma.




Wekeza kwa weakness ya binadamu utavuna hela.ujue by nature huwa hapendi kuwa chini , kuonekana dhaifu, kuonekana kuwa ameshindwa kitu fulani,hapendi kukosa, kufeli ,nadiriki kusema kuwa tajiri wa kumilikj dola billioni isn't so easy as we thought we have to cultivate weakness of human beings and go against our humanness that's why very few succeeded or reach the top pyramid.

Wengi tunabakia kuwa watumwa wao.


Yaani Ni rahisi mno kumteka mwanadamu yaani matangazo unayoyaona kwenye media all the time Yana Mana yake.


Kuna kitu kinaitwa myth busting.



Ama sema uongo Mara nyingi mno yaani hata miaka kumi baadaye utakuwa ukweli na jamii itaamini kuwa Ni ukweli.


Umeshawahi jiuliza why unafuatilia mziki,mpira ,movie ama koneksheni kuliko hata afya yako ya akili na kimwli????



Mtasema kuwa Sina uwezo wa iPhone Ila ukweli sio kuwa Ni vitu huwa vinatupa furaha.


Binadamu anapenda starehe na kuonekana ana value kubwa mno kwa jamii yake.

Why dogo wa fb ama Amazon hujawahi muona anauza sura kwa Lamborghini ama amevaa nguo za Gucci.

Tofauti Ni kubwa mno Kati ya tajiri na masikini.
Tofauti ipo how to think or perceive world/surroundings.

They buy assets we buy liabilities to impress our peers and show offs,to look for external validation since we feel inadequacy so we've to feel adequacy having high value.



Soma binadamu Mana ndio watakaokupa hela uwape wanachopenda.



Mfano Nani akakuambia kuwa kufanya kazi kwa bidii ama kufanya kazi mno kuwa ndio mafanikio Sasa hiii kila kona inaimbwa ,mbona wanaokesha viwanda vya mo, baresa,coca cola hawajazidi wamiliki kwa utajiri Sasa na wao wanapumzika muda tu wa kula jamani.

Saivi Naona Kuna uraibu wa simu ama social networks. They are truly stealing our true human potential.
Please use phone and social networks and don't let them use you.



Thank you welcome for negative opinions.
Am always ready to reverse my thinking am unbiased,if I go up I can reverse my direction to go down. Am ready that anything can happen. I know that every moment is unique so nothing is static even stones are in motion even though we see them to be in the same place/location but they are moving.

Since atoms/particles forming the solid matter in randoml continuously moving haphazardly.
Heee kuna benki jamani zina wahudumu wana sura chungu kama chloroquine....bar zina wadada wana sura kama wamebanwa na tumbo la kuharisha
 
kuna viazi mbatata wana mtizamo huu wakiwa wanatumia iphone 7[emoji16][emoji16][emoji16].
🤠🤠🤠 Wageni wa simu, au wana barehe, simu ni vitu vidogo sana.. Ukikuta mtu kashupaza fuvu ujue ooh mie iphone sijui na makele kibao una mpuuza tu.
 
It's very easy to manipulate croward than individual person. Hata matangazo ya kibiashara yaandaliwa na watu ambao wanaijua mno saikolojia ya binadamu. Umeshawahi ona unanunua kitu bila ya kutegemea/kuwaza. We buy things just to us feels happy or to impress others. To make external validation of sense of mattering. Unajua Ni kwa Nini kasino kubwa wanakupa bia za bure ili u gamble, ama Kuna mabinti warembo yaani nasema warembo mno unaweza ukamuacha mama yako kisa ya huyo mrembo.
Unajua why banks Zina wadada warembo umeshawahi ona benki Ina mdada mbaya ambaye haujisikii kumuomba namna ya simu kweli?

Why bars Zina miziki umeshawahi jiuliza kweli??

Why matangazo ama utangazaji fulani ya new company product Wana employ wadada na wakaka beautiful and modal men.



Narudia kusema why matangazo mengi lazima yaendane na kitu Kama sex relationship. Yaani unamuona mtu yupo na demu mkali na jamaa naye ama figure sio la kitoto chuma kimemkubali. Niambie Ni tangazo gani halijatumia mtu mwenye mvuto ama maarufu.

So wanapokuonyesha mond anakunywa Pepsi anakamatia mkubwa so na wewe umkamatie na huku soda hata uishi duniani mpaka uzeeke hutopata upungufu wa soda mwilini.


Why kwenye ndege Kuna wadada wakali mno.



Yaani Kuna watu wenye brain kubwa Wana manipulate masses kwa kuchota akili zao na kuwafanya slaves wao wa kujaza akaunti zao za bank zijae na kuchukua utajiri mkubwa tokea kwa most majority poor public masses. Na ukicheki matajiri Ni wachache mno. Umeaniminishwa status or symbol ya high value yako Ni kumiliki Lamborghini,Rolex watch ,Apple phone/PC kupanga apartment Kali karibia na beach.



Sasa wenzako wanawekeza kwa kampani wanazidi kununua shares ambazo mpaka kizazi Chao Cha tano wataweza kuishi kwa kupata gawio la faida za hisa zao.


Jiulize why matajiri wako low key figure hata anayeitengeneza iPhone hujawahi muona anapiga picha nayo anajidai nayo kuonyesha kuwa yeye Ni high status class person. N Wana majina ya kukuteka ama kukufanya uwe mtumwa like hii Ni VIP place, product.


Saivi tajiri imeingiza billionaire amekuwa namba mbili akapitwa na Elon musk pekee ,Jeff Benzos yupo nyuma.




Wekeza kwa weakness ya binadamu utavuna hela.ujue by nature huwa hapendi kuwa chini , kuonekana dhaifu, kuonekana kuwa ameshindwa kitu fulani,hapendi kukosa, kufeli ,nadiriki kusema kuwa tajiri wa kumilikj dola billioni isn't so easy as we thought we have to cultivate weakness of human beings and go against our humanness that's why very few succeeded or reach the top pyramid.

Wengi tunabakia kuwa watumwa wao.


Yaani Ni rahisi mno kumteka mwanadamu yaani matangazo unayoyaona kwenye media all the time Yana Mana yake.


Kuna kitu kinaitwa myth busting.



Ama sema uongo Mara nyingi mno yaani hata miaka kumi baadaye utakuwa ukweli na jamii itaamini kuwa Ni ukweli.


Umeshawahi jiuliza why unafuatilia mziki,mpira ,movie ama koneksheni kuliko hata afya yako ya akili na kimwli????



Mtasema kuwa Sina uwezo wa iPhone Ila ukweli sio kuwa Ni vitu huwa vinatupa furaha.


Binadamu anapenda starehe na kuonekana ana value kubwa mno kwa jamii yake.

Why dogo wa fb ama Amazon hujawahi muona anauza sura kwa Lamborghini ama amevaa nguo za Gucci.

Tofauti Ni kubwa mno Kati ya tajiri na masikini.
Tofauti ipo how to think or perceive world/surroundings.

They buy assets we buy liabilities to impress our peers and show offs,to look for external validation since we feel inadequacy so we've to feel adequacy having high value.



Soma binadamu Mana ndio watakaokupa hela uwape wanachopenda.



Mfano Nani akakuambia kuwa kufanya kazi kwa bidii ama kufanya kazi mno kuwa ndio mafanikio Sasa hiii kila kona inaimbwa ,mbona wanaokesha viwanda vya mo, baresa,coca cola hawajazidi wamiliki kwa utajiri Sasa na wao wanapumzika muda tu wa kula jamani.

Saivi Naona Kuna uraibu wa simu ama social networks. They are truly stealing our true human potential.
Please use phone and social networks and don't let them use you.



Thank you welcome for negative opinions.
Am always ready to reverse my thinking am unbiased,if I go up I can reverse my direction to go down. Am ready that anything can happen. I know that every moment is unique so nothing is static even stones are in motion even though we see them to be in the same place/location but they are moving.

Since atoms/particles forming the solid matter in randoml continuously moving haphazardly.

Not true . Manipulating people’s mind isn’t easy at all . Kwa confidence kabisa unasema it is very easy ?? [emoji848][emoji848][emoji848]. This shows ulichoandika hukijui

One of the hardest thing to do ni kujua akili ya mtu na kui manipulate , ingekuwa easy hii dunia na maisha kwa ujumla yasingekuwa hivi .
 
Not true . Manipulating people’s mind isn’t easy at all . Kwa confidence kabisa unasema it is very easy ?? [emoji848][emoji848][emoji848]. This shows ulichoandika hukijui

One of the hardest thing to do ni kujua akili ya mtu na kui manipulate , ingekuwa easy hii dunia na maisha kwa ujumla yasingekuwa hivi .
Kwahyo jamaa ametulisha matango pori?
 
[emoji1783][emoji1783][emoji1783] Wageni wa simu, au wana barehe, simu ni vitu vidogo sana.. Ukikuta mtu kashupaza fuvu ujue ooh mie iphone sijui na makele kibao una mpuuza tu.

mtu anatumia iphone x anakwambia hakuna simu kama iphone wewe,iphone ni balaa[emoji16][emoji16]

unamwangalia halafu unacheka ihiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Not true . Manipulating people’s mind isn’t easy at all . Kwa confidence kabisa unasema it is very easy ?? [emoji848][emoji848][emoji848]. This shows ulichoandika hukijui

One of the hardest thing to do ni kujua akili ya mtu na kui manipulate , ingekuwa easy hii dunia na maisha kwa ujumla yasingekuwa hivi .
In croward is very easy Ila sio individual person. Wengi Ni rahisi mno yaani mno. Kuna behavior za watu kwa wingi ziko common. Yanai wewe Ni rahisi mno kuwa influenced na your peers.

Ukiona mtu akafanya kitu unapata envy nawewe unataka ukifanye ukishindwa unakuwa na chuki naye.

Ni rahisi mno kuvutiwa na watu wamekaa Serena ama malaika wanakunywa na kula huku wakipigwa upepo wa majini adi hapo nikiwa nafanya tangazo langu huku nimekuonyesha mwanadada mrembo amekumbatiana na jamaa tayari nishaharibu your rational brain so iliyopo ni emotions brain na Ni rahisi mno kumuendesha ama kum control binadamu akiwa katika emotions ama wakiwa wengi.




Umeshawahi jiuliza mbona chui wapo watatu/tano Ila wanaendesha nyumbu zaidi ya alfu kumi sema Kuna mmoja anajitoaga mhanga anapambana nao huku wenzake waki escape danger.



Haya njoo Sasa unadhani wewe unatawaliwa na watu wangapi hawawazidi hata watano ndio wanaofanya maamuzi kuwa petrol/diezel iwe ivi,tuweke tozo,tujenge road mpaka Moro tutoze Kodi mpaka iishe hela ya kujengea na mko wengi huwezi pinga. Sema ukiwa alone Ni rahisi kukataa Mana hauko influenced na mass behavior.


Usiwacheke nyumbu 10k kuendeshwa na chuo watatu Ila wewe hujicheki why tuko 70M Ila tunaendeshwa na watu watano yaani am sure wako hapo hapo not greater than ten.

Na wanatumia nyumbu wenzetu miongoni mwetu kutuua ama kuhakikisha kuwa tunatii ambao Ni Askari kwa ujira wa jasho letu hao hao nyumbu.


Lete hoja mkuu hizi Mambo nimekaa class not less than five years nakomaa hii Ni self taught and self learned knowledge.
 
H
Ili kuuza unahitaji hardwork , siyo story story rahisi rahisi hizi sijui neuroscience. . Marketing is about hardwork .
Hardworking si Ni pamoja na matangazo kutumia influencers wenye mivuto pia na watalaamu kuharibu kuelezea products yako ili iingie kwa watu
 
ubongo wako ukiingizwa kwenye MRI na CT scan utakuta ubongo umechangamka balaa na hormone zimejaa kichwani
Hii Kuna research moja ilifanyika huko France katika sijui chuo ama maabara ya Ligart Sasa binadamu aliwekamo humo kwa CT or MRI akawa anaonyeshwa picha tofauti Kama za hela ,aliambiwa umeshinda jackpot,Mara ya mtu Yuko uchi Mara chakula kizuri Ile part ya brain inayohusika na emotions ama amygdala from limbic system ilionyesha the same response.

You've to hold or conquer yourself. Hujawahi lala nyumba demu anatuwa jirani no sealing board Sasa zile kelele za maraha zake unashangaa na wewe unaanza kutafuta demu utoe na huku hukuwa na wazo Ilo the same applied to marketing strategies. Sinywi Pepsi big ili niwe Kama mond
 
Ok mkuu, ila wahenga walisema usione vyaelea, vimeundwa. Hao apple kiufupi ni mojawapo ya kampuni zinazotumia Neuromarketing sana kama cocacola na pepsi. Lengo ni kucheza na saikolojia, ubongo na Dopamine za mtu ili anunue bidhaa kila siku. Chanzo cha hayo ni wale neurologist wenye njaa ya hela ya fastafasta kutoka kwenye kampuni ili kucheza na ubongo wa mtu. Yaani mtu akicheza na ubongo wako, wewe kwisha kazi 😂😂😂😂 unakuwa kama robot tu

Hapo chini ni link ya maelezo ya forbes juu ya mbinu ya iphone


Nashukuru nimeipitia ndicho nilivyokuwa nakuombea hapa sema Sasa aliyelewa ama mlevi hawezi elewa.

Neurological Connectivity

We believe neurological connectivity is achieved when a retailer, brand or service creates a strong psychological and emotional response that operates on a subconscious level for the consumer in a way that is typically not readily understood nor necessarily recognized by the consumer. As various research studies in the field of neuroscience have found, when people encounter an elevated experience, their brains release many chemicals. One in particular that has attracted a lot of attention is dopamine, which leads to feelings of euphoria, self-satisfaction and well-being, and which can also actually lead to addiction
 
Mzee umewahi kusoma marketing strategies hata kwa siku moja?

Nimeisoma marketing na Naijua marketing in and out .Tofautisha promotion na marketing, Promotion ni sehemu tu ya marketing . Promotion ndo hizi kelele ila marketing yenyewe ya kupata na ku retain customers ni hardwork.
 
H

Hardworking si Ni pamoja na matangazo kutumia influencers wenye mivuto pia na watalaamu kuharibu kuelezea products yako ili iingie kwa watu

Mkuu wewe unaongelea promotion ambayo ni part ya marketing , unaongelea ku create awareness . Ila marketing yenyewe ni kazi kubwa sana huwezi kui narrow succes ya Apple kwenye promotion . Ni jambo haliwezekani. Mfuatilie Steve Jobs alichukua muda gani na kiasi gani ali hustle kutengeneza the first iPhone ambayo ilikuwa turning point ya smartphones na watu walijaa kwenye queue kununua hiyo simu, it was about hardwork creativity and solving people’s problems.

By the way Apple hawa promote simu zao kama hawa wengine.
 
Mkuu wewe unaongelea promotion ambayo ni part ya marketing , unaongelea ku create awareness . Ila marketing yenyewe ni kazi kubwa sana huwezi kui narrow succes ya Apple kwenye promotion . Ni jambo haliwezekani. Mfuatilie Steve Jobs alichukua muda gani na kiasi gani ali hustle kutengeneza the first iPhone ambayo ilikuwa turning point ya smartphones na watu walijaa kwenye queue kununua hiyo simu, it was about hardwork creativity and solving people’s problems.

By the way Apple hawa promote simu zao kama hawa wengine.
Pamoja mno ndugu
 
Mkuu wewe unaongelea promotion ambayo ni part ya marketing , unaongelea ku create awareness . Ila marketing yenyewe ni kazi kubwa sana huwezi kui narrow succes ya Apple kwenye promotion . Ni jambo haliwezekani. Mfuatilie Steve Jobs alichukua muda gani na kiasi gani ali hustle kutengeneza the first iPhone ambayo ilikuwa turning point ya smartphones na watu walijaa kwenye queue kununua hiyo simu, it was about hardwork creativity and solving people’s problems.

By the way Apple hawa promote simu zao kama hawa wengine.


kampuni yeyote ambayo ilianzia ktk passion ya muasisi huwa inaishia kuwa na biashara kubwa sana,kuna siri ya mtu kupenda kitu na kuwaambukiza wengine kukipenda.

steve ameipenda apple,akahakikisha anaifanya(sio kuitangaza) ipendwe na wengine,ndio maana hata wakati anaambiwa ni muda wa kuitoa iphone 2005,alikataa kwamba haiko tayari kuingia sokoni.
leo hii bidhaa za apple zinapendwa sana sababu sio marketing NO,zinaishi na mtu.

hatutaki wanazi wa apple waseme apple ni noma,sababu ya utumwa walio nao.tunataka waseme wazi kwamba wana mapenzi tu na bidhaa za apple.
 
Back
Top Bottom