Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Tobaaaa!!!
Kusoma vitabu ni kupoteza muda!!??
CCM imeharibu watu wake kupindukia, ndio maana wana CCM zaidi ya asilimia 80 hawana maarifa.
Paul Makonda is back
General Sabaya is back
 
Siwezi kupoteza muda kusoma uchafu wa mashoga ya wazungu
Usiposoma wengine watasoma, siyo lazima wewe ukisome. Hao mnaowaita mashoga wala hata hawana habari na nyie. Tumieni akili propaganda za uongo wa kishamba wakati wake umepita, wenye akili watakuchekeni.
 
Taabu ya wenye ufinyu wa kufikiri ni kukaririshwa mambo na kuvimba nayo. Kama ulimpenda wewe inatosha, usiwasemee wengine. Pengine wewe ndiye mpuuzi kuliko hao unaowaita wezi na mafisadi.
 
Usiposoma wengine watasoma, siyo lazima wewe ukisome. Hao mnaowaita mashoga wala hata hawana habari na nyie. Tumieni akili propaganda za uongo wa kishamba wakati wake umepita, wenye akili watakuchekeni.
Paul Makonda is back
General Sabaya is back
 
Sio kila kitabu nichakuuza, vingine vipo kwa ajili ya kufikisha ujumbe au taarifa kwa walengwa. Kwa sababu maandishi yataishi muda mrefu, kwa hiyo wewe unayadharau sasa, ila yatasomwa miaka mingi ijayo.
Inategemeana na aina ya maandishi
 
Paul Makonda is back
General Sabaya is back
Nasikitika kwa jinsi CCM ilivyofanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kuwafanya misukule wafuasi wake.
Karne hii ni ya kushadadia kweli watu wanaotumia manguvu mengi bila akili hata kidogo!!??
Pole sana kwa kuwa mfano hai wa mafanikio ya CCM ya kutengeneza mazuzu wengi.
 
Ila mnampenda sana Marehemu. Yule jamaa angewageuza marehemu kama Mchungaji Mackenzie.

Natafuta kile kitabu nikisome, ule upembuzi uliopoatiwa hapa jukwaani ulikua murua sana.
Kilichozungumzwa mle ni facts tupu kwa ile session Moja TU niliyosoma
Kwa mtaxamo wako
 
Siwezi kupoteza muda kusoma uchafu wa mashoga ya wazungu
Baba yako ni shoga na unajua. Kama unawaita watu hivyo, hasi nawewe maa yako ni shoga wa kike

Toa hoja acha kutukana watu. Ukitukana utatukanwa
 
Kitabu ni hot cake kimeisha madukani. Bei 22,000 na hakipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…