Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #181
Pole bossKm Kweli hiyo picha ni wewe,ama Kweli umeumbika Vizuri.Hadi nimedindisha.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole bossKm Kweli hiyo picha ni wewe,ama Kweli umeumbika Vizuri.Hadi nimedindisha.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Evidence ganAny evidence?
Me nasoma ndio maana nakushangaa unatapatapa kama MFA maji, afu mpishi kweli kweli, we NI mwanamke au mwanaume??Fanya wewe kazi hiyo.
Mna versions kila namna , biashara tu, hakuna dini wala kitabu cha Mungu hapo.
Yani huyu dada anatoa hurumaAcha kuchafua wakristo na wewe ninani kazi kuona dini za wengine ni upotolo mtu mzima ila unajitoa ufahamu usifanye heshima yako ishuke kisa kujiona kahaba tukizungumzia na ushoga asilimia 95% ni dini yenu utakuta mwajuma,asha,ushoga juma ,hamisi,na wengine wengi ndio wafumuliwa marinda eti mnasema ni suna ila umewahi kutuona tukiwahukumu??
Hakunaga tunasema general ila nyie mnaoondea watu sana sababu hakuna hujui dini yetu so JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala off grany
Tumwombee au tumpake mafuta ya mwamposaLinakera hili libibi chefuuu
Naolewa mara ngap boss, nalea wajukuu sasaKama uko serious unataka kuolewa basi kwangu umepata mume..mimi naangalia moyo tu hayo mambo ya mavazi sio ishu tena napenda kweli kuona namna gani muumbaji alituliza kichwa hizo suruari na vimini ndio kabisaa nafagilia ebu usijibanie say no more baby mama njoo dm tuyajenge ila yaliyomo yamo???
Nikajua ni wewe😂basi huyo shuger nisogezee mwisho maua yatanyauka mwambie mkombzi amepatikanaNaolewa mara ngap boss, nalea wajukuu sasa
Njoo huku bwana kumenogaNikajua ni wewe😂basi huyo shuger nisogezee mwisho maua yatanyauka mwambie mkombzi amepatikana
VyoteTumwombee au tumpake mafuta ya mwamposa
28“Niambieni mnafikiri nini kuhusu hili: Alikuwepo mtu mwenye wana wawili. Alimwendea mwanaye wa kwanza na kumwambia, ‘Mwanangu, nenda ukafanye kazi kwenye shamba la mizabibu leo.’Msitudanganye hapa, huko kanisani si ndiyo mnafundishwa kuwa kahaba ndiyo wa kwanza kwenda mbinguni?
Mathayo 21:31
..Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Sasa kwa mafunzo hayo ya kwenye biblia nani akukataze ukahaba kanisani? Kwani hatuwaoni mnavyovaa mkienda makanisani?
Msitudhani hapa JF sote tu wajinga kama nyinyi mnaofanya ukahaba eti mtatangulia ufalme wa Mungu!
Au biblia ilimaanisha kwa ukahaba mtakufa mapema? Maana utaendaje kwenye ufalme wa Mungu kabla hujafa? Fikiri.
DuRudisha umri nyuma
Upate malezi upya hukumu ikupishe
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Ukipunguza chuki utaleta hoja.Ulitaka niibandike hapo biblia nzima?