FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ulitaka niibandike hapo biblia nzima?Bibi acha kusoma vifungu nusu nusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka niibandike hapo biblia nzima?Bibi acha kusoma vifungu nusu nusu
Mi nao Hedhi ndy inakusumbua ukimaliza Siku zako Chafu hizo nitag nije tubishane sasa namashaka na ufanisi wa Akili yakoWacha kuweka maneno yako kwenye biblia.
Kwani kahaba ni rehabu tu aliyetajwa? Hata kizazi cha yesu kina kahaba, usisahau hilo, Unamjuwa kuwa mtu ambae mnasema hana baba mmempachika kutokea ukoo wa kahaba?
Umezunguka na maneno lakini mwisho wa siku aya hukuipinga wala hukuitolea ufafanuzi.
Sasa unaukana mstari wa biblia? Shambulia maandiko axhana na mimi.Ila Faiza sijui kama una furaha ya maisha kwa kweli!
Hio chuki ulio nayo dhidi ya ukristo sio ndogo, huenda haupati usingizi wala tabasamu ukiufikiria ukristo.
Faiza ukristo upo na utazidi kuweko, hauta kupunguzi wala kukuongezea kitu, utakosa amani na furaha na kutukanwa na kila mmoja labda ndicho atakacho pata. Natanguliza samahani.
Wala haijasema mmoja wala haijaweka idadi, kwa hiyo ni wote tu.Lakini biblia haijasema watoza ushuru wote na makahaba wate.
Porojo hizo. WPI BIBLI imefundisha kuwa hii "biblia" huwezi kuielewa mpaka ushukiwe na roho mtakatifu? Kwanza hata neno 'biblia" huwezi kulikuta ndani ya biblia, ni neno la kigiriki hilo linamaanishia vitabu, au siyo?Biblia huna uwezo wa kuifasiri. Biblia inakuhitaji ushukiwe na Roho Mtakatifu ndipo utaweza kuifasiri na kuyaelewa mafumbo yaliyomo humo.
Haahahah[emoji38][emoji38]
mama'ko bado anaapata hedhi? Muulize huwa inakoma lini? Atakusaidia. Au hedhi ya mama'ko ni kama IGA?Mi nao Hedhi ndy inakusumbua ukimaliza Siku zako Chafu hizo nitag nije tubishane sasa namashaka na ufanisi wa Akili yako
Unatamani sana kutukanwa bhs hapo umenikosa Mi sipo hivyo na sijawai kujifunza kutuka mtu hadharani.mama'ko bado anaapata hedhi? Muulize huwa inakoma lini? Atakusaidia. Au hedhi ya mama'ko ni kama IGA?
Useless kama chai ya saa 10 ukinywea darHuu uzi bila picha ni useless
Bwana Yesu asifiweUMALAYA ndiyo maana mnaishia kuzalishwa na kutelekezwa...
Mwanaume mwenye akili anaoa na kuishi na mwanamke anayejitambua na menye heshima...
Nyie mbumbumbu mtabak kuwa singo maza
money unakesha una mechi nini??Bwana Yesu asifiwe
Milele na milele, shetan akija teke teke kuleee...Bwana Yesu asifiwe
Inategemea unainywea wapi....house furnished with full AC...perfect...sio kwa mtogole huko 😂Useless kama chai ya saa 10 ukinywea dar
Msitudanganye hapa, huko kanisani si ndiyo mnafundishwa kuwa kahaba ndiyo wa kwanza kwenda mbinguni?
Mathayo 21:31
..Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Sasa kwa mafunzo hayo ya kwenye biblia nani akukataze ukahaba kanisani? Kwani hatuwaoni mnavyovaa mkienda makanisani?
Msitudhani hapa JF sote tu wajinga kama nyinyi mnaofanya ukahaba eti mtatangulia ufalme wa Mungu!
Au biblia ilimaanisha kwa ukahaba mtakufa mapema? Maana utaendaje kwenye ufalme wa Mungu kabla hujafa? Fikiri.
Niko mkeshamoney unakesha una mechi nini??
Nyonyo NI nanMilele na milele, shetan akija teke teke kuleee...
Upo nyonyo...!!??
Dar hatunywi chai Ila kakako analalamika demu wake kikojozi nenda kamsikizeInategemea unainywea wapi....house furnished with full AC...perfect...sio kwa mtogole huko 😂
Shemeji njoo huku bwana UONE vikojoziWewe Bibi acha kupotosha ,unaqoute kimstari kimoja bila kujua context nzima ya hiyo hoja ya makahaba na watoza ushuru ,yesu alikuwa anazungumza kwa mifano ,hao makahaba na watoza ushuru waliotubu na kuamini wataiona pepo! Ina maana kwenye dini yenu islam watenda dhambi wakija kutubu Mungu hawasamehi?