Mavazi ya kikahaba yanikosesha kupata mume

Mavazi ya kikahaba yanikosesha kupata mume

Kitakachonitenganisha mm na Tako la Money Penny ni kifo tu 😋
picha yako hii hapa uliyoomba
3.png
 
Msitudanganye hapa, huko kanisani si ndiyo mnafundishwa kuwa kahaba ndiyo wa kwanza kwenda mbinguni?

Mathayo 21:31
..Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.



Sasa kwa mafunzo hayo ya kwenye biblia nani akukataze ukahaba kanisani? Kwani hatuwaoni mnavyovaa mkienda makanisani?

Msitudhani hapa JF sote tu wajinga kama nyinyi mnaofanya ukahaba eti mtatangulia ufalme wa Mungu!

Au biblia ilimaanisha kwa ukahaba mtakufa mapema? Maana utaendaje kwenye ufalme wa Mungu kabla hujafa? Fikiri.
Ila Faiza sijui kama una furaha ya maisha kwa kweli!
Hio chuki ulio nayo dhidi ya ukristo sio ndogo, huenda haupati usingizi wala tabasamu ukiufikiria ukristo.

Faiza ukristo upo na utazidi kuweko, hauta kupunguzi wala kukuongezea kitu, utakosa amani na furaha na kutukanwa na kila mmoja labda ndicho atakacho pata. Natanguliza samahani.
 
Ila Faiza sijui kama una furaha ya maisha kwa kweli!
Hio chuki ulio nayo dhidi ya ukristo sio ndogo, huenda haipati usingizi wala tabasamu ukiufikiria ukristo.

Faiza ukristo upo na utazidi kuweko, hauta kupunguzi wala kukuongezea kitu, utakosa amani na furaha na kutukanwa na kila mmoja labda ndicho atakacho pata. Nanguliza samahani.
Ameeeeeeeeeeeeen!
 
Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi jamani, mbona mnanichanganya?

Je ni kweli mavazi ya kikahaba yanamfanya msichana kutopata mume?

Mbona wanawake wanaokaa uchi wameolewa sana mpaka na kuacha na kuolewa mara ya pili? Je, kupata ndoa ni lazima uvae mavazi kama staha?

Skia hii:
Shouger: Money Penny, nimeenda kuombewa kanisani nikaambiwa kupata mume nibadilishe mavazi nayovaa!

Money Penny: Kwani unavaa mavazi gani?

Shouger: Navaa suruali, skirt fupi, gauni za kuni shape, skirt ndefu, leggings, nikaambiwa nivue hayo mavazi ni ya kikahaba ndio maana wanaume wanaonifuata kama mvua, lakini hawako serious wanakuja kunichezea na kukimbia na mimi nataka kuingia kwenye ndoa sasa!

Lakini money penny mbona kuna makahaba wanavaa ovyo zaidi yangu lakini waliolewa, wakaolewa, na kuolewa na wameolewa hata zaidi ya mara 4? kwani shida ni nini wakati mimi sivai kama wao?

Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi? ina maana mavazi ya kikahaba ndio yananikosesha kupata mume?

Haya njooni mumjibu mwenzenu na kumuongezea akili.
Kila unacho fanya kama dhamiri haikuhukumu ni sawa isipo kua kisivunje sheria na taratibu za jamii husika uliyopo.

Kama umevaa nguo fulani nawe umeona imekupendeza bila kujali watakaokutazama watatoa maoni gani unatakiwa usijali.

Hizi nguo zilikuja miaka ya hivi karibuni, kuna baadhi ya jamii mavazi sio kitu kwa na wanaoa na kuolewa.
 
Bado una utoto sana kaangalie wazazi wako wanavaaje kwanza.

Hayo mavazi Kwa kutumia akili tu huwezi kuvaa .

Wiki iliyopita tulienda kuzika tulikuwepo mpaka kweny ibada Kwa vile ni mfanyakazi mwenzetu, watu wa dini zote .


Ninachoshangaa wadada kama wote wamevaa hayo mavazi yao ila wanajihstukia mara wafunge kanga miguuni mara hivi ,yaani hawapo comfortable kabisa na wametoka kwao hivyo hivyo ...Sasa yote hayo ya nn?
Kwakweli wanateseka mno😀😀
 
𝙒𝙀 𝙑𝘼𝘼 𝙐𝙅𝙄𝙎𝙄𝙏𝙄𝙍𝙄 𝙊𝙑𝙀𝙍[emoji110][emoji110] 𝙐𝙆𝙄𝙑𝘼𝘼 𝙉𝙐𝙎𝙐 𝙐𝘾𝙃𝙄 𝙏𝙐𝙉𝘼𝙁𝘼𝙄𝘿𝙄 𝙒𝙀𝙉𝙂𝙄 𝙃𝙐𝙊 𝙉𝙄 𝙐𝙈𝘼𝙇𝘼𝙔𝘼 𝙈𝙄 𝙉𝘼𝙊𝘼𝙅𝙀 𝘾𝙃𝘼𝙒𝙊𝙏𝙀 𝙑𝘼𝘼 𝙉𝙆𝙐𝙁𝘼𝙄𝘿𝙄 𝙈𝙈 𝙉𝙇𝙄𝙔𝙀𝙆𝙐𝙊𝘼
 
Miongoni mwa vitu ambavyo vilifanyika Kwa Ufundi stadi zaidi kwenye uandishi wa Kitabu Cha Biblia ni Lugha ambayo Sio nyepesi kwenye kuielewa.

Na katika ilo wamepata vizuri Sana ndy hata weapo umeshindwa kuelewa maana ya huu mstari. Toka Mwanzo Kabisa Mungu alitamani Binadamu mwenye Akili ndy haiongoze dunia kupitia Fikra zake.

Kabla sijakujibu nianze Kwa kukupa POLE SANA DADA YANGU Kwa kuwa na Uwezo mdg wa kufikiria. Cha Pili hizi DINI tumeletewa Dunia kama Daraja la Sisi wanadamu Kuifikia PEPO. Sio vyema kuziaki dini ya Mtu Mwingne Kwa sababu mnatofautia kiimani.

Twende Sasa kwenye Tafsiri ya Hayo maneno yanayopatikana kwenye Mathayo 21:31

1. Hapa tutaanza na WATOZA USHURU. Katika Biblia wkt Yesu akiendelea kutembea ili kueneza Injiri alikutana na Mtoza ushuru Moja (ZAKAYO) huyu Mtoza ushuru aliambiwa km unataka kufika peponi bhs Agawe Mali zake Kwa watu na katika Ilo ZAKAYO alikubali na alieanza kugawa fedha zake alizokuwa ameifadhi .

2. Hapa ss tutazungumzia MAKAHABA Wawili tofauti katika vipindi viwili tofauti.
Kahaba Moja alieitwa RAHABU wakati Wana wa Misri wameenda kuipelekeza Israel Kwa Ajiri ya Ujio wa Vita basi huyo Kahaba aliwahifadhi Kwa kuwaficha hao Wana wa Misri ili wasionekane na Wana wa Israel wkt Vita hiyo ni Kwa Ajiri ya kuwaangamiza Wana wa Israel na Yey ni Kuisrael lkn aliweza kuwaficha Wana wa Misri.

Kahaba wa 2 tutamzungumzia VERONICA huyu ni Dada aliekuwa Kahaba Kabisa na makuwani wote walijua ilo wkt Yesu yupo kwenye Nyumba ya ZAKAYO huyo Kahaba ndy alienikarimu Kwa kumsafisha Miguu Yesu kwa Machozi yake na Kumfuta Kwa Nywele zake wkt anafanya kitendo hicho Makuhani wote walinena km Kweli (Yesu) ni mwana wa Mungu Bhasi angeweza kumtambua huyo Dada ni Nani na asingekubali kumsogolea.... Lkn Yesu aliweza kuwaambia ukarimu wa huyo Dada toka ameingia hapo na akamsamehea Dhambi zake huyo VERONICA na hapo ndy alitoa mfano wa (Watu Wawili waliosamehewa madeni Yao Moja Akiwa na Kiasi kidogo na Mwengine akiwa na Kiasi kikubwa) na kuwauliza ni Yupi Kati Yao anaweza asimsahau mdeni wake na wote walijibu Yule aliesamehewa deni kubwa hivyo hivyo akarudi kuconnect na Veronica

MWISHO
Hapa Biblia kupitia Methali 21:31 inajaribu kutukumbusha kuwa PEPO hatutoenda Kwa Status zetu hapa dunia Bali kwa Moyo Safi ukiweza kutenda mema Juu ya watu wengine hivyo walitumia Mifano ya watoza ushuru na makahaba Kwa kuwa wao ndy Wenye BAD Pictures katika Jamii. Siku nyingne Jaribu kufikiria Dada Yangu tunaheshimu dini yenu na kitabu chenu Bhs hivyo hivyo inakupaswa kuheshimu dini zetu na usitumie Mihemko kutafsri maandiko matakatifu bila kujua Tafsiri yake.

Pole Kwa kukuandikia Mtext mrefu.


Msitudanganye hapa, huko kanisani si ndiyo mnafundishwa kuwa kahaba ndiyo wa kwanza kwenda mbinguni?

Mathayo 21:31
..Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.



Sasa kwa mafunzo hayo ya kwenye biblia nani akukataze ukahaba kanisani? Kwani hatuwaoni mnavyovaa mkienda makanisani?

Msitudhani hapa JF sote tu wajinga kama nyinyi mnaofanya ukahaba eti mtatangulia ufalme wa Mungu!

Au biblia ilimaanisha kwa ukahaba mtakufa mapema? Maana utaendaje kwenye ufalme wa Mungu kabla hujafa? Fikiri.
 
Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi jamani, mbona mnanichanganya?

Je ni kweli mavazi ya kikahaba yanamfanya msichana kutopata mume?

Mbona wanawake wanaokaa uchi wameolewa sana mpaka na kuacha na kuolewa mara ya pili? Je, kupata ndoa ni lazima uvae mavazi kama staha?

Skia hii:
Shouger: Money Penny, nimeenda kuombewa kanisani nikaambiwa kupata mume nibadilishe mavazi nayovaa!

Money Penny: Kwani unavaa mavazi gani?

Shouger: Navaa suruali, skirt fupi, gauni za kuni shape, skirt ndefu, leggings, nikaambiwa nivue hayo mavazi ni ya kikahaba ndio maana wanaume wanaonifuata kama mvua, lakini hawako serious wanakuja kunichezea na kukimbia na mimi nataka kuingia kwenye ndoa sasa!

Lakini money penny mbona kuna makahaba wanavaa ovyo zaidi yangu lakini waliolewa, wakaolewa, na kuolewa na wameolewa hata zaidi ya mara 4? kwani shida ni nini wakati mimi sivai kama wao?

Kwani mavazi ya kikahaba ni yapi? ina maana mavazi ya kikahaba ndio yananikosesha kupata mume?

Haya njooni mumjibu mwenzenu na kumuongezea akili.
Njoo kwangu nitakupokea hivyo Tena uje inbox kabisaa
 
Miongoni mwa vitu ambavyo vilifanyika Kwa Ufundi stadi zaidi kwenye uandishi wa Kitabu Cha Biblia ni Lugha ambayo Sio nyepesi kwenye kuielewa.

Na katika ilo wamepata vizuri Sana ndy hata weapo umeshindwa kuelewa maana ya huu mstari. Toka Mwanzo Kabisa Mungu alitamani Binadamu mwenye Akili ndy haiongoze dunia kupitia Fikra zake.

Kabla sijakujibu nianze Kwa kukupa POLE SANA DADA YANGU Kwa kuwa na Uwezo mdg wa kufikiria. Cha Pili hizi DINI tumeletewa Dunia kama Daraja la Sisi wanadamu Kuifikia PEPO. Sio vyema kuziaki dini ya Mtu Mwingne Kwa sababu mnatofautia kiimani.

Twende Sasa kwenye Tafsiri ya Hayo maneno yanayopatikana kwenye Mathayo 21:31

1. Hapa tutaanza na WATOZA USHURU. Katika Biblia wkt Yesu akiendelea kutembea ili kueneza Injiri alikutana na Mtoza ushuru Moja (ZAKAYO) huyu Mtoza ushuru aliambiwa km unataka kufika peponi bhs Agawe Mali zake Kwa watu na katika Ilo ZAKAYO alikubali na alieanza kugawa fedha zake alizokuwa ameifadhi .

2. Hapa ss tutazungumzia MAKAHABA Wawili tofauti katika vipindi viwili tofauti.
Kahaba Moja alieitwa RAHABU wakati Wana wa Misri wameenda kuipelekeza Israel Kwa Ajiri ya Ujio wa Vita basi huyo Kahaba aliwahifadhi Kwa kuwaficha hao Wana wa Misri ili wasionekane na Wana wa Israel wkt Vita hiyo ni Kwa Ajiri ya kuwaangamiza Wana wa Israel na Yey ni Kuisrael lkn aliweza kuwaficha Wana wa Misri.

Kahaba wa 2 tutamzungumzia VERONICA huyu ni Dada aliekuwa Kahaba Kabisa na makuwani wote walijua ilo wkt Yesu yupo kwenye Nyumba ya ZAKAYO huyo Kahaba ndy alienikarimu Kwa kumsafisha Miguu Yesu kwa Machozi yake na Kumfuta Kwa Nywele zake wkt anafanya kitendo hicho Makuhani wote walinena km Kweli (Yesu) ni mwana wa Mungu Bhasi angeweza kumtambua huyo Dada ni Nani na asingekubali kumsogolea.... Lkn Yesu aliweza kuwaambia ukarimu wa huyo Dada toka ameingia hapo na akamsamehea Dhambi zake huyo VERONICA na hapo ndy alitoa mfano wa (Watu Wawili waliosamehewa madeni Yao Moja Akiwa na Kiasi kidogo na Mwengine akiwa na Kiasi kikubwa) na kuwauliza ni Yupi Kati Yao anaweza asimsahau mdeni wake na wote walijibu Yule aliesamehewa deni kubwa hivyo hivyo akarudi kuconnect na Veronica

MWISHO
Hapa Biblia kupitia Methali 21:31 inajaribu kutukumbusha kuwa PEPO hatutoenda Kwa Status zetu hapa dunia Bali kwa Moyo Safi ukiweza kutenda mema Juu ya watu wengine hivyo walitumia Mifano ya watoza ushuru na makahaba Kwa kuwa wao ndy Wenye BAD Pictures katika Jamii. Siku nyingne Jaribu kufikiria Dada Yangu tunaheshimu dini yenu na kitabu chenu Bhs hivyo hivyo inakupaswa kuheshimu dini zetu na usitumie Mihemko kutafsri maandiko matakatifu bila kujua Tafsiri yake.

Pole Kwa kukuandikia Mtext mrefu.
Wacha kuweka maneno yako kwenye biblia.


Kwani kahaba ni rehabu tu aliyetajwa? Hata kizazi cha yesu kina kahaba, usisahau hilo, Unamjuwa kuwa mtu ambae mnasema hana baba mmempachika kutokea ukoo wa kahaba?

Umezunguka na maneno lakini mwisho wa siku aya hukuipinga wala hukuitolea ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom