Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #101
uje tuHaahaa mke weeeeee usiniambie!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uje tuHaahaa mke weeeeee usiniambie!!!
Ndiyo naishi kijijinikaka unaishi kijijini au?
lete mguu wa bibi yako tuwekeane, maana niko na wajukuu 10 hapa naleaNilishaacha kukaa na mama kitambo ila kama kweli ni mbibi yaani hauna mvuto zaidi na hauna miguu ya kuonyesha.
kuna wahuni wanavaa vizuri sana, wanaitwa MATAPELI!Huwezi Vaa kihuni Kama wewe sio muhuni
MSALIMIE KATIBU KATANdiyo naishi kijijini
KUNA NA MWINGINE MPAKA VIDEO UNAO? NIKUWEKE?uzi hauna pictures
Uolewe na Nan na miaka hiyo halafu unavaa kama kahaba😁lete mguu wa bibi yako tuwekeane, maana niko na wajukuu 10 hapa nalea
But body language tells it!!AISEE! BASI USIMHUKUMU MWENZIO
Sawa nitakuja ngoja kwanza kesho nikacheki kyuti kwa fundi kama tayariuje tu
kuna matapeli wanavaaga vizuri tu!But body language tells it!!
uko na picha yangu ya ukahaba uweke hapa au umelewa matap tap?Uolewe na Nan na miaka hiyo halafu unavaa kama kahaba😁
Miaka hiyo uvaa mavazi hao ,huoni kama ni mtu wa hovyo.uko na picha yangu ya ukahaba uweke hapa au umelewa matap tap?
weka picha acha kuongea kama mama, we sikidume, weka picha basi!Miaka hiyo uvaa mavazi hao ,huoni kama ni mtu wa hovyo.
We fala nn ? Picha ya nn acha ukahaba.!!weka picha acha kuongea kama mama, we sikidume, weka picha basi!
Kwa hyo na ww unatutapeli sio,kumbe ni decent kabitha,kabithaaaaa?kuna matapeli wanavaaga vizuri tu!
Lakini biblia haijasema watoza ushuru wote na makahaba wate.Msitudanganye hapa, huko kanisani si ndiyo mnafundishwa kuwa kahaba ndiyo wa kwanza kwenda mbinguni?
Mathayo 21:31
..Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Sasa kwa mafunzo hayo ya kwenye biblia nani akukataze ukahaba kanisani? Kwani hatuwaoni mnavyovaa mkienda makanisani?
Msitudhani hapa JF sote tu wajinga kama nyinyi mnaofanya ukahaba eti mtatangulia ufalme wa Mungu!
Au biblia ilimaanisha kwa ukahaba mtakufa mapema? Maana utaendaje kwenye ufalme wa Mungu kabla hujafa? Fikiri.
wanaenda wapi?Lakini biblia haijasema watoza ushuru wote na makahaba wate.
kama sista!Kwa hyo na ww unatutapeli sio,kumbe ni decent kabitha,kabithaaaaa?