Mavazi ya Salma Msangi akiwa kazini jana hayafai

Status
Not open for further replies.
Media zetu haziajiri proffesionals ni kuokota okota tu...
 

working
 
Huo ni ushamba. Alivaa vizuri.. Usituletee ukoloni wa nyumbani kwako hapa kwenye jamii. Kama ni mabinti wenu kuhatibika mnawanunulia sim wenyewe na siku hizi fb. Ni bure. Kwa hio kila kitu wanakiona bure .muache dada yangu

loooh unaizalilisha hiyo (saint)
 
Sioni Ajabu Kama Unaking'amuzi Cha CHA DSTV INGIA CHANEL YA BLACKBELT UWAONE WATANGAZAJI WAKE WANAVYOVAA.
 
ni kazi sana kusimamia maadili kwa kizazi cha sasa
 
Nisaidieni, ana utapia mlo au, maan kakondeana mno, hta pa kushika shida.
 
Na hawa tuliowashuhudia dunia nzima pamoja familia zetu, wanatakiwa kufungiwa..!!?
 

Attachments

  • 1402993891758.jpg
    79.1 KB · Views: 703

duh, vimodo vinanoga lakini haka kamezidi ukakamavu, kakavu kama mrungi wa juzi!! hiyo mironjo ni bora kangetupia suruwali tu, au kama ni party ya jioni kangevaa gauni refu aisee, hakatamanishi kabisaaa! bora hata kangekuwa na mwili mzuri kakanyimwa sura mwanaume unaweza kukafunika hata fuko la rambo ukasimamia show!
 

Kama vipi piga marufuku TV kabisa ki Talaban Talaban tujue moja.

Maana ukiwa na TV hayo utayaona tu.
 
Salma Msangi ana vi/ta/ko kama vya kumbikumbi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…