Mavazi ya Salma Msangi akiwa kazini jana hayafai

Status
Not open for further replies.
Jamani wahenga si wanasema biashara ni matangazo?????
 
Ako kadada kanavunja nazi kwa ugoko kwa jinsi kalivokomaa.
 
Rais wako ndo anapenda hayo mambo alafu we unapiga kelele huku, hata hivyo mbona alivaa vizuri tu kulinganisha na mabibi zetu huko zamani waliokuwa wanaacha karibia mwili mzima wazi.
Sangarara umekosa adabu kabisa hebu twambie uhusiano wa hii mada na Rais.
Acha huu ujinga.
 
Last edited by a moderator:
Paja lake limekaukiana utadhani mwiko unatumika kusongea ugali kwenye shule za bweni
 
Na hilo wigi lililokavaa yaani oversize halikapendezi kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…