sioni
Senior Member
- Jan 13, 2012
- 123
- 68
Mmh mimi hawa hawanivutii kabisa...huwa nikiwatazama napatwa na hali fulani hivi kama kutapika..sorry..!
Nina kaugonjwa na hawa wanaovaa kama picha niliyoiweka hapa...(..sijui ni ugonjwa..??). Hawa wenzetu bana nawasifu sana, na wa namna hii asilimia kubwa wana tabia na maadili mazuri sana! Tatizo linakuja unapopiga race na hizi imani zetu bana inakuwa tatizo...Hasa ukifikiria kuanza A-- wakati ulizaliwa AAA na ushafika ZZZ. Paja kazioneshee chumbani atiii!!..tena zinakuwa hazijapigwa mijua au kuchubuliwa na mi-chemicals kama hizo hapo! Kitu original...Hongereni mabinti mnaojisitiri namna hii. Kuna kautamu fulani kamejificha kwenye mavazi hayo. Na nikija kukupata lara 1 lazima nikusababishe uwe unatupia kitu kama hicho...hahahaha!!

Nina kaugonjwa na hawa wanaovaa kama picha niliyoiweka hapa...(..sijui ni ugonjwa..??). Hawa wenzetu bana nawasifu sana, na wa namna hii asilimia kubwa wana tabia na maadili mazuri sana! Tatizo linakuja unapopiga race na hizi imani zetu bana inakuwa tatizo...Hasa ukifikiria kuanza A-- wakati ulizaliwa AAA na ushafika ZZZ. Paja kazioneshee chumbani atiii!!..tena zinakuwa hazijapigwa mijua au kuchubuliwa na mi-chemicals kama hizo hapo! Kitu original...Hongereni mabinti mnaojisitiri namna hii. Kuna kautamu fulani kamejificha kwenye mavazi hayo. Na nikija kukupata lara 1 lazima nikusababishe uwe unatupia kitu kama hicho...hahahaha!!

