Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

Mavazi ya siku hizi jamani..!! Ni shidaaaa...!!

Mmh mimi hawa hawanivutii kabisa...huwa nikiwatazama napatwa na hali fulani hivi kama kutapika..sorry..!

Nina kaugonjwa na hawa wanaovaa kama picha niliyoiweka hapa...(..sijui ni ugonjwa..??). Hawa wenzetu bana nawasifu sana, na wa namna hii asilimia kubwa wana tabia na maadili mazuri sana! Tatizo linakuja unapopiga race na hizi imani zetu bana inakuwa tatizo...Hasa ukifikiria kuanza A-- wakati ulizaliwa AAA na ushafika ZZZ. Paja kazioneshee chumbani atiii!!..tena zinakuwa hazijapigwa mijua au kuchubuliwa na mi-chemicals kama hizo hapo! Kitu original...Hongereni mabinti mnaojisitiri namna hii. Kuna kautamu fulani kamejificha kwenye mavazi hayo. Na nikija kukupata lara 1 lazima nikusababishe uwe unatupia kitu kama hicho...hahahaha!!

wangu.jpg
 
Mmh mimi hawa hawanivutii kabisa...huwa nikiwatazama napatwa na hali fulani hivi kama kutapika..sorry..!

Nina kaugonjwa na hawa wanaovaa kama picha niliyoiweka hapa...(..sijui ni ugonjwa..??). Hawa wenzetu bana nawasifu sana, na wa namna hii asilimia kubwa wana tabia na maadili mazuri sana! Tatizo linakuja unapopiga race na hizi imani zetu bana inakuwa tatizo...Hasa ukifikiria kuanza A-- wakati ulizaliwa AAA na ushafika ZZZ. Paja kazioneshee chumbani atiii!!..tena zinakuwa hazijapigwa mijua au kuchubuliwa na mi-chemicals kama hizo hapo! Kitu original...Hongereni mabinti mnaojisitiri namna hii. Kuna kautamu fulani kamejificha kwenye mavazi hayo. Na nikija kukupata lara 1 lazima nikusababishe uwe unatupia kitu kama hicho...hahahaha!!

View attachment 123599
Z
 
ni kweli kabisa mkuu...kujistiri ndio mpango mzima na kupata Baraka za Mwenyezi Mungu.
Mmh mimi hawa hawanivutii kabisa...huwa nikiwatazama napatwa na hali fulani hivi kama kutapika..sorry..!

Nina kaugonjwa na hawa wanaovaa kama picha niliyoiweka hapa...(..sijui ni ugonjwa..??). Hawa wenzetu bana nawasifu sana, na wa namna hii asilimia kubwa wana tabia na maadili mazuri sana! Tatizo linakuja unapopiga race na hizi imani zetu bana inakuwa tatizo...Hasa ukifikiria kuanza A-- wakati ulizaliwa AAA na ushafika ZZZ. Paja kazioneshee chumbani atiii!!..tena zinakuwa hazijapigwa mijua au kuchubuliwa na mi-chemicals kama hizo hapo! Kitu original...Hongereni mabinti mnaojisitiri namna hii. Kuna kautamu fulani kamejificha kwenye mavazi hayo. Na nikija kukupata lara 1 lazima nikusababishe uwe unatupia kitu kama hicho...hahahaha!!

View attachment 123599
 
kuvaa nusu uchi ni ulimbukeni wengine huona ndio ujanja na kwenda na wakati kumbe wanakuwa wanajidharilisha na hawaithamini miili yao.
 
na wengine huwa wanalia kila kukicha eti hawapati waume wa kuwaoa! sasa kwa hali hiyi mwanaume makini, muoaji atakuoa vipi?mtaishia kuwa wa barabarani tu, watu wanawashangaa mnavyojidhalilisha, wengine wanawamega na kuwamega lakini katu utaishia kuchangia harusi za wenzako tu. inaudhi sana kwa kweli! sijui ni kwa nini hatujitambui.
kuvaa nusu uchi ni ulimbukeni wengine huona ndio ujanja na kwenda na wakati kumbe wanakuwa wanajidharilisha na hawaithamini miili yao.
 
[h=2][/h]


Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!

Dah nshadindisha mwenye contacts za huyo mwenye black please
 
ahahaha!yani jamiif ndio umedecide kunipublish kwa njia hii mummy???????
ila kiukweli,hivi ukiangusha kitu kwa hiyo nguo nyekundu unafanyaje?maana hata ile poz ya kusquat huwezi..
 

Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!

joto la mkoani Dar
 
hahahahaah! tracy ndio uache swaga za namna hii..sawa eeh!!lol!!!!
ahahaha!yani jamiif ndio umedecide kunipublish kwa njia hii mummy???????
ila kiukweli,hivi ukiangusha kitu kwa hiyo nguo nyekundu unafanyaje?maana hata ile poz ya kusquat huwezi..
 
Last edited by a moderator:
safi sana...wadada wanaonyesha uzuri wao na sie wanaume tufaudu
 

Hili pozi lao ukichanganya na nguo walizovaa inakuwa mtafaaruku kidogo jamani. Wadada hawa wakipozi tayari kupata picha ndani ya kiwanja fulani cha burudani. jamani wadada tujiheshimu basi kwa kuwa sisi ni wa THAMANI SANA pls! kha!
Halafu mkuu unadhani humo ndani wana MAKUFULI basi? Kitumbua kiko nje nje tu, kiasi kwamba akikatiza nzi mtundu, lazima aende CHUMVINI!
 
kuvaa nusu uchi ni ulimbukeni wengine huona ndio ujanja na kwenda na wakati kumbe wanakuwa wanajidharilisha na hawaithamini miili yao.

na hizi shifoni ndo zimekuja kuharibu kabisa......sijui kwanni mtu hatangulizi kitu ndani kabla ya kuvaa hiyo blausi yake.....ni full kuonyesha mwili mzima na mtu hata hashtuki
 
yaani kama mpo humu jf mnaovaaga namna hii, kiukweli ACHENI!
 
ni kweli mkuu wengi utakuta hata chu.pi hawavai..ina maana hapo akitokea kidume anataka cha fasta, ndio basi tena cha fasta! hatari sana mkuu!
Halafu mkuu unadhani humo ndani wana MAKUFULI basi? Kitumbua kiko nje nje tu, kiasi kwamba akikatiza nzi mtundu, lazima aende CHUMVINI!
 
Back
Top Bottom