Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Nimefika kwa wakala kwa lengo la kutoa pesa kutoka mtandao wa simu, anasema hana salio la kutosha. Wakati huo naona watu wengine wanatoa na wanaondoka.
Aliniuliza unatoa kiasi gani nikamwambia 3000/= ghafla akakunja sura na kusema hana salio.
Sasa kosa langu ni lipi hapo? Au hicho kiasi ni kidogo kiasi kwamba haoni faida atakayopata? Na sio mara ya kwanza kuona hilo, ni kawaida yao kukataa kufanya miamala ya viwango hivyo.
Ikiwezekana waandike viwango vyao wanavyo vitaka wateja waanzie kutoa na sio kupata gadhabu pale mtu anapotaka kutoa kiasi kidogo.
#BM
Aliniuliza unatoa kiasi gani nikamwambia 3000/= ghafla akakunja sura na kusema hana salio.
Sasa kosa langu ni lipi hapo? Au hicho kiasi ni kidogo kiasi kwamba haoni faida atakayopata? Na sio mara ya kwanza kuona hilo, ni kawaida yao kukataa kufanya miamala ya viwango hivyo.
Ikiwezekana waandike viwango vyao wanavyo vitaka wateja waanzie kutoa na sio kupata gadhabu pale mtu anapotaka kutoa kiasi kidogo.
#BM