Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uonevu mkubwa sana huu MadamPole sana lastborn Tema mate tumchape 🤚👋
Wengine ni wabaguzi wakubwa, mimi bado sijaona kosa langu mpaka anune na kukasirikaWakala wanapenda wanaotoa hela ndogo. Mfano Wakala ana float 600,000/- anapata faida akitoa watu 30 wa 20,000 kuliko watu wawili wa 300,000/- kila mmoja...
Hawajui biashara. Kama wengine walivyosema hao ni waajiriwa sio wenye biashara.Wengine ni wabaguzi wakubwa, mimi bado sijaona kosa langu mpaka anune na kukasirika
Na hao wafanyakazi hasa wa kike ndio wanasababisha Kila cku maboc kufunga biashara maana unakuta kakgombana na boyfriend wake huko hasiraa analetea watejaaNa ujue huyo sio mwenye biashara, ni muajiriwa tu. Mwenye biashara anajua kuwa anaingiza commission hata kama kiwango ni kidogo. Hawezi kukataa hela. Wafanyakazi ndio wana dharau sana
Hao jau kakaWana huwa tuna tabia ya kubebana katika hali zote, sio hao
huduma unapatiwa ila usijidai una haraka, uje kuweka buku ukiwa na chenji ukija kutoa elfu3 mimi niwe na chenji za kutosha au nidhamu ya mteja.Hiyo sio haki kabisa, hatakama commission ni ndogo lakini bado kila mtu ana haki ya kupatiwa huduma.
hakuna hela ya kikeAfu tatu kweli mkuu,au wew ni Ke.
Wengine hata ukienda kwa busara bado wanazingua tuhuduma unapatiwa ila usijidai una haraka, uje kuweka buku ukiwa na chenji ukija kutoa elfu3 mimi niwe na chenji za kutosha au nidhamu ya mteja.
kuna wateja yuko na nidhamu yaani huwezi kataa kumuhidumia hata kama chenji hamna itatafutwa.
Mwingine anakuja kalewa hivi unajua usumbufu wa mlevi, huyo ni hakuna salio muhamala wowote ataotaka kufanya,
kuna wavuta sigara mtu anakuja na sigara mdomoni unafikiri ataambiwa nini?
Nayo ni pesa na ina matumizi piaAfu tatu kweli mkuu,au wew ni Ke.
Salio lake ni 4,000 sasa hiyo 30 angeiokota wapiUngeongeza dau Mkuu baada ya kugoma, ungetoa 30k
Mkuu Elf tatu si yangu, kama kuna mengine angesema tu ila mimi sijamkosea kwa lolote
Na lazima akikuona anakuona wa hovyo sana 🤣🤣🤣kumbe hajui siku hiyo ulikua mweupe."""Kaka zima hovyo. Yaani na u salmart wote huu kaja kutoa elufu tatu"""
Hapo akifika kwa mashoga zake lazima akutangaze
Ni mwanamke tena sister duMtoa huduma ni mwanamke?