mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kosa afu 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhahaha daah mkuu naona kabisa wewe ndo ulizinguaAlaf kalikuwa kadada sasa
Mkuu kosa langu ni lipi hapoAhhahaha daah mkuu naona kabisa wewe ndo ulizingua
Afu tatu sio hela? Au haitoki?Kosa afu 3
1-UnapendezaMkuu kosa langu ni lipi hapo
"""Kaka zima hovyo. Yaani na u salmart wote huu kaja kutoa elufu tatu"""Tatizo hulioni tatizo ni ef tatu 🤣🤣🤣na inawezakana alikua anakutukana kimoyomoyo ..lione kaka zima lina ef tatu 🤣🤣🤣🤣
Mkuu Elf tatu si yangu, kama kuna mengine angesema tu ila mimi sijamkosea kwa loloteTatizo hulioni tatizo ni ef tatu 🤣🤣🤣na inawezakana alikua anakutukana kimoyomoyo ..lione kaka zima lina ef tatu 🤣🤣🤣🤣
Next time ntakuwa naenda kwa mawakala wa kiume tu1-Unapendeza
2-Unajiamini
Wakati ilibidi usiongee kwa sauti ungefanya kama kumnong'oneza
Huyo dada mstarabu sana ilibidi wakupige mawe weweMkuu Elf tatu si yangu, kama kuna mengine angesema tu ila mimi sijamkosea kwa lolote
Ahahahahaha daaahNext time ntakuwa naenda kwa mawakala wa kiume tu
How useless? Kwasababu ya hiyo buku tatu?View attachment 3031726kichwani anajisemea
Wakiume sisi hatuna nouma kakaNext time ntakuwa naenda kwa mawakala wa kiume tu
Anaona hujiheshimuHow useless? Kwasababu ya hiyo buku tatu?
commission yake ni ndogo mkuu kuna muda unawakataa wateja sababu sio kwamba hutaki hela au hela ni ndogo,Nimefika kwa wakala kwa lengo la kutoa pesa kutoka mtandao wa simu, anasema hana salio la kutosha. Wakati huo naona watu wengine wanatoa na wanaondoka...
Wana huwa tuna tabia ya kubebana katika hali zote, sio haoWakiume sisi hatuna nouma kaka
Hiyo sio haki kabisa, hatakama commission ni ndogo lakini bado kila mtu ana haki ya kupatiwa huduma.commission yake ni ndogo mkuu kuna muda unawakataa wateja sababu sio kwamba hutaki hela au hela ni ndogo...
UnamchoshaAfu tatu sio hela? Au haitoki?