Mawakala wa huduma za fedha kwa mitandao ya simu acheni dharau

Ameona ungemsumbua chenchi mkuu
 
Na ujue huyo sio mwenye biashara, ni muajiriwa tu. Mwenye biashara anajua kuwa anaingiza commission hata kama kiwango ni kidogo. Hawezi kukataa hela. Wafanyakazi ndio wana dharau sana
Ni kweli mkuu me kuna huyo mmoja nilifika nikamwambia nataka kuweka hela akauliza sh ngap nkamwambia 15k akaanza kubofya ile batani ake ili aweke,sasa akaniuliza jina ambalo sio Lang nikasema, umesemajeee??

Akabinua gudomo gwake kwa dharau akakata then akaanza kuweka upya ulipofika muda wa kutaja namba nikataja bila kinyongo sasa alipokuwa anaweka akaja jamaa mwngne akasema anataka aweke hela 25k cha ajabu akafuta yang ili amwekee huyo mwamba nilipata hasira, daadek
Nkasepa na hela yangu bila kusema chochote 🏃 🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…