imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Dini sio cult,Ugaidi ndio unaweza kupigwa marufuku sio Dini.Dini ya kigaidi ipigwe marufuku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini sio cult,Ugaidi ndio unaweza kupigwa marufuku sio Dini.Dini ya kigaidi ipigwe marufuku.
Extremist religious beliefsVijana wanalishwa sumu. Ili wajilipue mabomu
Quran ina verse zaidi ya 40 zinazoongelea vita ya kupigania dini (Jihad)
Magaidi wanazitumia hizo verse kuwashawishi vijana watoroke kwao na kwenda kupigana vitu ya kidini...
nani anauza serikali ina nunua mazao kwa raiya alafu inauza nnje au ni watu wenyewe anauza??Ukame upi Mkuu,Chakula kumeuzwa nje ya nchi!
inasemaje mkuu utasomaje kitabu mstari mmoja jamaa mbona unakuwa zumbu.Ndivyo Luka 19:27 inavyosema hivyo ?? Mbona unajifanya msemaji wa Bwana Yesu ??
hapa mudi wa saigon huwezi kumuona akitia pua.Kamanda wa polisi visiwani Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amesema baada ya wazazi wengi kuripoti kuwa kuna wimbi la vijana wengi visiwani humo kupotea bila kujulikana wanaenda wapi.
Jeshi la polisi liliamua kufanya uchunguzi na limekamata nyaraka mbalimbali zenye aya za kitabu kitakatifu cha Quran zinazohamasisha vijana kujiunga na kuziondoa serikali zote za kikafiri, hivyo kuashiria kuwa hayo ni mafunzo ya kigaidi.
CP Hamad amesema kuanzia sasa jeshi la polisi litaanza kufuatilia hata mafunzo yanayotolewa kwenye baadhi ya madrasa.
Pia, soma:
The Chanzo: Vijana Zanzibar watoweka katika mazingira tatanishi. Wazazi, polisi watoa kauli kinzani
Mudi mfia dini yule..chongo ataita kengezahapa mudi wa saigon huwezi kumuona akitia pua.
Sisi kina nani mkuuNyinyi mlishaambiwa na Pengo Muungano kauweka mungu wenu Yesu na kawapa kazi ya kuulinda kwa nguvu zote , Kazi kwako
Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu
- May 02, 2016
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.
Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.
Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
Kardinali Pengo anasema ni jambo la kushangaza jinsi Mungu anavyotenda mambo yake kwa wanadamu kwani alileta Imani Katoliki kupitia Zanzibar na kwamba baada ya Uhuru Mungu aliwapatia neema watu wake wa pande mbili za Zanzibar na Tanganyika kuungana na kuwa kitu kimoja.
Anasema wakati Kanisa likijiandaa kwa adhimisho la Jubilei ya miaka 150 ya uwepo wa Kanisa Katoliki katika eneo la Afrika Mashariki ifikapo 2018 Zanzibar haiwezi kuwekwa pembeni.
Kuhusu utendaji wa serikali ya awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kardinali Pengo anasema hali inaonesha viongozi wa taifa hili wameanza vizuri na kasi yao inaleta matumaini makubwa.
Sasa tatizo nini? Yaani nani mwenye nguvu kuzidi hao niliowataja anaweza kufanya atakacho huko Zanzibar.Znz ina
Soma vizuri utaelewa. Ukikurupuka huwezi kuelewa. Zanzibar haikuwa na hayo matatizo kabla ya huu muungano.
Samia ni mbishi hasikii aliambiwa hao Uamsho watakusumbua waache kwanza akaleta udini mbele kuliko Tanzania,sasa wanachafua amani ya nchi yeye anazurura Dubai kwenda kuuza rasilimali za nchi.Kamanda wa polisi visiwani Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amesema baada ya wazazi wengi kuripoti kuwa kuna wimbi la vijana wengi visiwani humo kupotea bila kujulikana wanaenda wapi.
Jeshi la polisi liliamua kufanya uchunguzi na limekamata nyaraka mbalimbali zenye aya za kitabu kitakatifu cha Quran zinazohamasisha vijana kujiunga na kuziondoa serikali zote za kikafiri, hivyo kuashiria kuwa hayo ni mafunzo ya kigaidi.
CP Hamad amesema kuanzia sasa jeshi la polisi litaanza kufuatilia hata mafunzo yanayotolewa kwenye baadhi ya madrasa.
Pia, soma:
The Chanzo: Vijana Zanzibar watoweka katika mazingira tatanishi. Wazazi, polisi watoa kauli kinzani
KILICHOTELEMSHWA TOKA JUUWanatumia kitabu cha dini
Kwani yale uliyoleta ni mistari ipi, tuonyeshenani anauza serikali ina nunua mazao kwa raiya alafu inauza nnje au ni watu wenyewe anauza??
inasemaje mkuu utasomaje kitabu mstari mmoja jamaa mbona unakuwa zumbu.
Kwani wewe Si mteja wa Pengo?Sisi kina nani mkuu
Acha Udini wewe, Samia alisema tabu na shida za kutawala atapata kutoka kwa "WaKijani" wenzie baada ya "kutonywa" na Mzee Wiseman wa Makamo.👇Kabisa Raisi akiwa Mwislamu taabu na shida kutawala atapata kutoka kwa waislamu wenzie sio wakristo .Hilo mama ajiandae kisaikolojia
Bahati mbaya mi si muumini wa mapokeoKwani yale uliyoleta ni mistari ipi, tuonyeshe
Kwani wewe Si mteja wa Pengo?
Ulimwambia wewe?Samia ni mbishi hasikii aliambiwa hao Uamsho watakusumbua waache kwanza akaleta udini mbele kuliko Tanzania,sasa wanachafua amani ya nchi yeye anazurura Dubai kwenda kuuza rasilimali za nchi.
Hivyo mnavyomsema Samia na matusi mengi hamjioni ?Kabisa Raisi akiwa Mwislamu taabu na shida kutawala atapata kutoka kwa waislamu wenzie sio wakristo .Hilo Mama Samia ajiandae kisaikolojia Tena kwa kuwa ni mwanamke shughuli pevu Wanaume wa kiislamu wale swala tano itikadi kali na siasa kali waamini mwanamke anatakiwa kukaa ndani watampa shida alipokuwakabili kwa nguvu kuwadhibiti.
Sawa , wewe ni muumini wa kuruka usiku ?Bahati mbaya mi si muumini wa mapokeo
Dini ya kuripuana makalio ndiyo itangazwe?Dini ya kigaidi ipigwe marufuku.
Mudi mfia dini yule..chongo ataita kengeza
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wacha kutupakaziaKuna siku moja nilikuwa ufukweni bagamoyo kuna madogo walikuwa wametoka zanzibar wamekarishwa kama kambi hotel x iko pembezoni mwa bahari wanafanyiwa brain wash... Na lilivyokuja kutokea tukio la watoto kupotea nikaunganisha dot kadhaaa.... Usalama wa taifa waamke kutoka usingizini hawa madogo wanahadiwa maisha mazuri lkn sio kweli haambuli chochote