Mawakala wa ugaidi wabainika Zanzibar, mafundisho ya madrasa kufuatiliwa

Mawakala wa ugaidi wabainika Zanzibar, mafundisho ya madrasa kufuatiliwa

acha uwongo haya sio maneno isipokuwa mfano aliotoa yesu kwa mtawala aliyetawala mahala fulani..
Mfano alotoa Yesu kwa mtawala yupo na mfano huo yaani mtawala auwe watu ? Au vipi ?
 
Mkuu huo sio ugaidi wa kidini.
Ugaidi wa kidini ni pale watu wanapoua kwa sababu za kidini, wakiamini wanachofanya ni maagizo kutoka dini yao husika na maandiko.

Hao ETA na IRS wote wanafanya siasa zao bila kuhusisha maandiko ya dini yoyote...hayo ni makundi ya kisiasa zaidi.
(Granted. hawafanyi huo ugaidi kwa sababu za kidini bali zingine kama za kisiasa, kitamaduni nk.)

Muislam akienda kuua watu kwenye kikao cha CCM huku akisema "CCM wote ni maadui" tunasema ni gaidi ila sio gaidi wa kidini...ila akiua huku anasoma mafungu ya Quran na kusema anampigania Allah ..Huo ndio ugaidi wa kidini sasa.

Hayo makundi uliyotaja yanaweza kuwa yalikuwa na wafuasi wakatoliki /waprotestant (Ireland, % kubwa ni wakatoliki) lakini hayakufanya ugaidi ili kutetea dini.
Ishu ni motivation ya kufanya huo ugaidi ni ipi?


Na hata tuseme basi ni kweli, hao IRS na ETA ni makundi ya kigaidi ya kikristo....Bado sio solution na haiondoi uhalisia ya uwepo wa ugaidi kwenye uislam.

Mtu anakuambia nyumba yako inawaka, wewe unakimbilia kuangalia kama na ya kwake inawaka badala ya kuanza kuizima yako ... ukirudi utakuta imebaki majivu.

Ugaidi ni Ugaidi...Unapaswa ukemewe, iwe unatokana na Siasa, Ukabila au Dini yoyote.
Kutoka kwa Swakhr bin Al-‘Aylah[38] (رَضِيَ اللهُ عَنْهُ) amesema kuwa Nabiy (صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَآلِهِ وَسَلَّمْ) amesema: “Watu wanaosilimu, wamehifadhi damu zao na mali yao.”[39] [Imetolewa na Abuu Daawuwd na wapokezi wake ni madhubuti]
 
Matunda ya kuachiliwa kwa mashehe wa uamsho yanaanza kuonekana.
 
Serikali ilikemee hili kwa nguvu kubwa otherwise tutaenda kuwa kama Nigeria...kule ugaidi na unyama vimefikia hatua mbaya mbaya mbaya
Tanzania kipindi cha Raisi Mwinyi tulishakaribia huko

Raisi mwenyewe alionja joto ya jiwe ya hao waislamu siasa kali alitandikwa makofi akiwa Raisi Diamond Jubilee kwenye shughuli ya kiislamu

Akakatwa vibao!! Raisi alitandikwa vibao na kijana mjahidina mbele ya kamera na kila mtu anaona wakiwemo.walinzi aliamua kujitoa muhanga kuwa liwalo na liwe!! Baada ya mafunzo ya ugaidi kumkolea

Wasipodhibitiwa huwa hawajali chochote awe Raisi au yeyote waweza mfanyia kitu kibaya

Kujipua kwao kawaida sana
 
Nnmnnm gvj b
Yep, watoto kubakwa ni jambo baya sana popote itakapotokea, iwe kanisani kwa mapadri, Madrassa kwa maostaz au shuleni kwa Walimu.
Tatizo la kubakwa watoto huwa ni tamaa za kibinadamu hivyo ni ngumu kupambana nalo maana huwezi kujua kesho binadamu yupi atawaka tamaa na kuamua kubaka.

ila hiyo ni nje ya mada husika....Kwenye mada tulikuwa tunaongelea tatizo la ugaidi wa kidini..Na hili tatizo unaweza kupambana nalo maana unajua kabisa chanzo ni kipi(Ni dini), ni watu gani wanaosambaza hizi agenda(viongozi wa kidini), na ni aina gani ya watu wanaojihusisha na huu ugaidi(wafuasi wa hiyo dini).

Kwahyo ni rahsi kuwafuatilia na kuwapata...ila kwa mapadri kubaka ni ngumu maana hakuna andiko linalowaagiza wabake watoto. Ni sawa na mwizi wa kuku mtaan, hakuna andiko analofata lililomtuma kuiba kuku...Au hakuna sehemu wezi wa kuku hukutana kuhamasishana kuiba kuku.
Nmb. . N..
 
Mfano alotoa Yesu kwa mtawala yupo na mfano huo yaani mtawala auwe watu ? Au vipi ?
ndomana kuna watawala wanauwa watu mpaka Leo sio pendezo la mungu ni dhambi na chukizo lakini mungu hawauwi mana yeye ni mwing wa rehema anaeye ijua kesho ya mtu mbaya na hata mzuri hivyo yesu alitoa mfano kwasababu alijua watu hao wapo na yeye hakuja kuwaambia waache alikuja kuhubiri habari njema mwenye kufata njia zake afate na asiyetaka aache ...sio kama ambavyo mtume amesema Uwa kwajili ya mungu au dini ukristo ni hiyari passion sio kitisho
 
ndomana kuna watawala wanauwa watu mpaka Leo sio pendezo la mungu ni dhambi na chukizo lakini mungu hawauwi mana yeye ni mwing wa rehema anaeye ijua kesho ya mtu mbaya na hata mzuri hivyo yesu alitoa mfano kwasababu alijua watu hao wapo na yeye hakuja kuwaambia waache alikuja kuhubiri habari njema mwenye kufata njia zake afate na asiyetaka aache ...sio kama ambavyo mtume amesema Uwa kwajili ya mungu au dini ukristo ni hiyari passion sio kitisho
Ndivyo Luka 19:27 inavyosema hivyo ?? Mbona unajifanya msemaji wa Bwana Yesu ??
 
Dizaini kama yanadeka yakijua rais ni wa dini yao

Nyinyi mlishaambiwa na Pengo Muungano kauweka mungu wenu Yesu na kawapa kazi ya kuulinda kwa nguvu zote , Kazi kwako




Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu​


- May 02, 2016


Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.


Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.


Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.


Kardinali Pengo anasema ni jambo la kushangaza jinsi Mungu anavyotenda mambo yake kwa wanadamu kwani alileta Imani Katoliki kupitia Zanzibar na kwamba baada ya Uhuru Mungu aliwapatia neema watu wake wa pande mbili za Zanzibar na Tanganyika kuungana na kuwa kitu kimoja.


Anasema wakati Kanisa likijiandaa kwa adhimisho la Jubilei ya miaka 150 ya uwepo wa Kanisa Katoliki katika eneo la Afrika Mashariki ifikapo 2018 Zanzibar haiwezi kuwekwa pembeni.


Kuhusu utendaji wa serikali ya awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kardinali Pengo anasema hali inaonesha viongozi wa taifa hili wameanza vizuri na kasi yao inaleta matumaini makubwa.
 
Ndomaana ingekuwa vizuri sna kama zanzibar ingejitenga ili tuone kama hii kauli ina ukweli au lah! Somalia zilianza hivhivi
Znz ina
Kwahiyo rais wa JMT muislamu, rais wa Z'bar Muislamu, kamishina muislamu, na viongozi wote wa Zanzibar ambao nina hakika ni waislamu wanaihujumu Zanzibar?
Soma vizuri utaelewa. Ukikurupuka huwezi kuelewa. Zanzibar haikuwa na hayo matatizo kabla ya huu muungano.
 
Imani ya Kikristo ipo tofauti kabisa na hii yetu ya Kiislamu, ni kujaza ujinga kwa vijana kuambiwa ukijipua unakwenda kupata ma bikra 32 ahera.. sasa unajiuliza huyo mwalimu si ajilipue yeye akawapate hao ?
Yetu wewe na nani? wewe ni mkristo alafu unataka kujiweka kwenye kundi la waislamu.. Ivyo vikundi vya al shabab na IS ni vya west wenyewe wamevianzisha kwa manufaa yao kwa mujibu wa mafunzo yaliyopo kwenye Qurani tukufu na sunah za mtume muhamad s.a.w kitendo cha kujitoa uhai tu ni haramu kwenye uislamu na kingine kuuwa nafsi isiyokuwa na hatia ni dhambi hakuna anayeenda peponi apo kati ya wanaojilipua
 
Back
Top Bottom