Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wengine wameweka makambi misikitini, nao wafatiliwe - ni vijana wa miaka 12 hadi 35 hivi - wanachokifanya hakijulikani.
Okay, kuna vijana unawajua wanatumia maneno hayo kuua au kujiua?
Vipi wale walioweka makambi makanisani hao nao vipi?Kuna wengine wameweka makambi misikitini, nao wafatiliwe - ni vijana wa miaka 12 hadi 35 hivi - wanachokifanya hakijulikani.
Taja msikiti kwajili ya kuokoa amani ya tz na hao vijana.Kuna wengine wameweka makambi misikitini, nao wafatiliwe - ni vijana wa miaka 12 hadi 35 hivi - wanachokifanya hakijulikani.
Okay, kuna vijana unawajua wanatumia maneno hayo kuua au kujiua?
Najua hautaelewa ila ngoja niandike kwa faida ya wengi.
Ukisoma hayo maneno ya Hiyo Luka sio maneno ya yesu..ilikuwa story ambayo yesu alikuwa anawasimulia watu...na kwenye hiyo story ndo kuna mhusika (fictional) aliyetamka maneno hayo.
Kwenye Biblia Agano la kale kuna vifungu vingi ambavyo vinaonesha mauaji mf. Wana waisrael kwenda kuvamia miji na kuua watu.
Kwenye Quran pia violent verses zipo nyingi..Kwenye Hadith ndio usiseme.
Tofauti ya biblia na Quran ni kuwa kwenye biblia hizo ni story tu zilizopita kuwa zamani ilikuwa hivi ikawa vile...ila kwenye Quran hayo ni maagizo kabisa ambayo muumini inabidi uyafuate haijalishi umezaliwa kipindi cha mtume au bado hujazaliwa.
Mtu hawezi kwenda kuteka na kuua watu kwasababu eti kwenye bible kuna story watu walifanya hivyo miaka 3000 iliyopita. Ila mtu anweza kuteka na Kuua kwasababu kwenye Quran na Hadith kuna Maagizo ya kufanya hivyo ili ufike mbinguni..Na kwa wafuasi wote miaka yote.
Sasa mtu anapoonesha mistari ya kikatili kwenye uislam wewe unamjibu kwa kumuonesha mistari ya story kwenye biblia inasaidia nini?
Kungekuwa na shida kubwa au wimbi la wakristo kufanya Ugaidi kwa kufuata baadhi ya mafunzo ya Biblia, kiungwana ingepaswa wakemewe na ikiwezekana wakristo wangetakiwa kuangalia namna ya kuyabadili hayo mafunzo kwenye biblia.
Shida kubwa ya uislam/waislam ni pale kuna tatizo ila mnatetea kama halipo na kutupia mpira mambo yasiyohusika (kama wewe ulivyoleta hiyo Luka hapa, au wale wanaokimbilia kuongelea ushoga)..Hii inafanya wasio waislam wote kuona dini yenu inatetea ugaidi.
Imani ya Kikristo ipo tofauti kabisa na hii yetu ya Kiislamu, ni kujaza ujinga kwa vijana kuambiwa ukijipua unakwenda kupata ma bikra 32 ahera.. sasa unajiuliza huyo mwalimu si ajilipue yeye akawapate hao ?Vipi wale walioweka makambi makanisani hao nao vipi?
Nimenawa mikono. Kama nilikukwaza nisameheHii sentensi yako ndio unajaribu kusema nini ???
" Ukisoma hayo maneno ya Hiyo Luka sio maneno ya yesu..ilikuwa story ambayo yesu alikuwa anawasimulia watu."
Tatizo ni wakristo pia pakisemwa kitu na watawala hasa hawa ambao hawatendi haki kuhusu waislamu mnakuja mbio na maneno ya hao wanaleta jihadi , siasa kali , magaidi , bila kwanza kuchunguza .
wakristo ndio chanzo cha fujo nyingi zinazotokea hivi sasa ulimwenguni . Hufanya mambo na kutunga majina al qaida, Isis na mengineyo ili kuwachanganya watu kama nyinyi.
Biblia imejaa mambo kama hayo ya ugaidi utumwa mauwaji nk
Kinyume chake Qurani imekuja kuleta haki . Nyinyi wakristo mnakimbilia mbio kuchukuwa aya out of contex ili kujifurahisha au kuwakebehi waislamu
Nimenawa mikono. Kama nilikukwaza nisamehe
Sawa...kumbe Jf haifundishi watu kureasonNi choice yako , mimi hanikwazi yeyote , humu nipo mda merefu JF
Hivi yale makundi ya ETA kule Spain na IRA kule Ireland Kaskazini ni Waislam wale? Mbona walikuwa wakilipua mabomu na kuua watu kibao?Imani ya Kikristo ipo tofauti kabisa na hii yetu ya Kiislamu, ni kujaza ujinga kwa vijana kuambiwa ukijipua unakwenda kupata ma bikra 32 ahera.. sasa unajiuliza huyo mwalimu si ajilipue yeye akawapate hao ?
Sawa...kumbe Jf haifundishi watu kureason
Sijasoma hii...Umerudi au mikono haijapata sabuni na maji safi ?
Chanzo cha yote ni haya tokea 1993 wakati yule mlaanifu Nyerere yyuko hai
MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.
Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.
Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:
Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.
Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.
Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.
Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona. Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.
Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu. Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka). Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa. Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.
Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:
Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.
Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.
Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.
Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.
Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!
Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.
Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC".
Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.
😝 😝 😝 😝 😝 😝 Kijana wa ku reasonSijasoma hii...
Ushauri: Unapopost kitu ulichokopi mahala, ni vyema ukifupishe kama ni kirefu sana...maana maelezo mengi huboa wasomaji
Mkuu wale ETA kule Spain na IRA kule Ireland ya Kaskazini wale ni dini gani? Tena wale wa Ireland ya Kaskazini ni Wakatoliki wanalipua mabomu na kuua watu.Okay, kuna vijana unawajua wanatumia maneno hayo kuua au kujiua?
Najua hautaelewa ila ngoja niandike kwa faida ya wengi.
Ukisoma hayo maneno ya Hiyo Luka sio maneno ya yesu..ilikuwa story ambayo yesu alikuwa anawasimulia watu...na kwenye hiyo story ndo kuna mhusika (fictional) aliyetamka maneno hayo.
Kwenye Biblia Agano la kale kuna vifungu vingi ambavyo vinaonesha mauaji mf. Wana waisrael kwenda kuvamia miji na kuua watu.
Kwenye Quran pia violent verses zipo nyingi..Kwenye Hadith ndio usiseme.
Tofauti ya biblia na Quran ni kuwa kwenye biblia hizo ni story tu zilizopita kuwa zamani ilikuwa hivi ikawa vile...ila kwenye Quran hayo ni maagizo kabisa ambayo muumini inabidi uyafuate haijalishi umezaliwa kipindi cha mtume au bado hujazaliwa.
Mtu hawezi kwenda kuteka na kuua watu kwasababu eti kwenye bible kuna story watu walifanya hivyo miaka 3000 iliyopita. Ila mtu anweza kuteka na Kuua kwasababu kwenye Quran na Hadith kuna Maagizo ya kufanya hivyo ili ufike mbinguni..Na kwa wafuasi wote miaka yote.
Sasa mtu anapoonesha mistari ya kikatili kwenye uislam wewe unamjibu kwa kumuonesha mistari ya story kwenye biblia inasaidia nini?
Kungekuwa na shida kubwa au wimbi la wakristo kufanya Ugaidi kwa kufuata baadhi ya mafunzo ya Biblia, kiungwana ingepaswa wakemewe na ikiwezekana wakristo wangetakiwa kuangalia namna ya kuyabadili hayo mafunzo kwenye biblia.
Shida kubwa ya uislam/waislam ni pale kuna tatizo ila mnatetea kama halipo na kutupia mpira mambo yasiyohusika (kama wewe ulivyoleta hiyo Luka hapa, au wale wanaokimbilia kuongelea ushoga)..Hii inafanya wasio waislam wote kuona dini yenu inatetea ugaidi.
Hakuna ugaidi Znz hizo ni propaganda tu.Kwa lipi sasa waisambaratishe zanzibar acheni uzwazwa kemeeni wapuuzi wanao haribu dini lakini mkikaa kutafuta sababu za kipuuzi km hizi watoto wenu watajiingiza huko.
Wewe ni mkristo ??wenye dini na ubongo wao waDubei wametullia zao wanakula bata tu, sisi ngedere tunahangaika na roho. upiganie dini, Mungu anapiganiwa na mwanadam.
Mkuu huo sio ugaidi wa kidini.Mkuu wale ETA kule Spain na IRA kule Ireland ya Kaskazini wale ni dini gani? Tena wale wa Ireland ya Kaskazini ni Wakatoliki wanalipua mabomu na kuua watu.