Mawakala wa ugaidi wabainika Zanzibar, mafundisho ya madrasa kufuatiliwa

Vijana wanalishwa sumu. Ili wajilipue mabomu

Quran ina verse zaidi ya 40 zinazoongelea vita ya kupigania dini (Jihad)

Magaidi wanazitumia hizo verse kuwashawishi vijana watoroke kwao na kwenda kupigana vitu ya kidini...
Extremist religious beliefs
 
Kwenye Definition ya "Ugaidi" hata mbinu za CCM dhidi ya Chadema pia ni ugaidi, hebu fikiria Uvccm wanapojisifia kuchinja wenzao hebu fikiria Tulia anavyochochea watu "wanyooshwe" sio poa kabisa.
 
hapa mudi wa saigon huwezi kumuona akitia pua.
 
Sisi kina nani mkuu
 
Samia ni mbishi hasikii aliambiwa hao Uamsho watakusumbua waache kwanza akaleta udini mbele kuliko Tanzania,sasa wanachafua amani ya nchi yeye anazurura Dubai kwenda kuuza rasilimali za nchi.
 
Kuna siku moja nilikuwa ufukweni bagamoyo kuna madogo walikuwa wametoka zanzibar wamekarishwa kama kambi hotel x iko pembezoni mwa bahari wanafanyiwa brain wash... Na lilivyokuja kutokea tukio la watoto kupotea nikaunganisha dot kadhaaa.... Usalama wa taifa waamke kutoka usingizini hawa madogo wanahadiwa maisha mazuri lkn sio kweli haambuli chochote
 
Znz ina

Soma vizuri utaelewa. Ukikurupuka huwezi kuelewa. Zanzibar haikuwa na hayo matatizo kabla ya huu muungano.
Sasa tatizo nini? Yaani nani mwenye nguvu kuzidi hao niliowataja anaweza kufanya atakacho huko Zanzibar.

Yaani Jk, Mwema, Kamishina na watawala wote wa zanzibar ni waislamu, ni mtu baki gani wa bara ana ubavu kusababisha hao niliowataja wakashurutishwa kuwakamata masheikh na kuwatupa lupango mpaka wakasahaulika huko?
 
Samia ni mbishi hasikii aliambiwa hao Uamsho watakusumbua waache kwanza akaleta udini mbele kuliko Tanzania,sasa wanachafua amani ya nchi yeye anazurura Dubai kwenda kuuza rasilimali za nchi.
 
Kabisa Raisi akiwa Mwislamu taabu na shida kutawala atapata kutoka kwa waislamu wenzie sio wakristo .Hilo mama ajiandae kisaikolojia
Acha Udini wewe, Samia alisema tabu na shida za kutawala atapata kutoka kwa "WaKijani" wenzie baada ya "kutonywa" na Mzee Wiseman wa Makamo.👇


CCM ndio adui yetu sote.
 
Samia ni mbishi hasikii aliambiwa hao Uamsho watakusumbua waache kwanza akaleta udini mbele kuliko Tanzania,sasa wanachafua amani ya nchi yeye anazurura Dubai kwenda kuuza rasilimali za nchi.
Ulimwambia wewe?
 
Hivyo mnavyomsema Samia na matusi mengi hamjioni ?
 
Mudi mfia dini yule..chongo ataita kengeza

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Wacha kutupakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…