Mawakili 386 wajitokeza kumtetea Mbowe Mahakamani 05/08/2021

Nawewe utakuwa unamatatizo....unamlaumu sirro wakati huohuo kila ukitaja jina LA MBOWE unatanguliza GAIDI...huo ugaidi umeshauthibitisha?DHAMBI MOJA TU YA UNAFIKI NDIO INAKUSUMBUA,UNGEENDA MBINGUNI
 
Ni nani atakae waruhusu mawakili zaidi ya 300 kuingia mahakamani? Pia kama kweli anahusika na mashitaka waliyomfungulia basi hata wakiruhusiwa mawakili 1000 kumtetea haitosaidia. Waswahili wanasema "Siku ya kifo cha nyani miti yote huteleza"
Twasubiri kwa HAMU kuiona hiyo miti ikiteleza. Ili tumuone kwelikweli ATAKAETELEZA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…