Mawakili 386 wajitokeza kumtetea Mbowe Mahakamani 05/08/2021

Mawakili 386 wajitokeza kumtetea Mbowe Mahakamani 05/08/2021

Kifupi tuseme hii kesi ni Kati ya Serikali na Wanasheria!
Chama kinajiingiza kwenye matatizo na serikali yasiyo ya lazima. Mbowe ana haki ya kuwakilishwa na tayari ana wakili sasa huu uhuni unaofanyika sasa hivi ni suala la muda kabla serikali haijakibana.
 
Bavicha akili zenu ni pumba yani nyie nima popoma wa kiwango cha SGR ndiyo mana nduli mwenyekiti wenu ameziweka akili zenu mfukoni mwake.
 
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam.

Nawasalimu kwa jina la JMT.

My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?
Acha unaa John ukiweza jiandikishe nawewe.
 
Yaani mawakili wote hao halafu wakute hawana hoja ya kupangua kwenye mashtaka yaani watarudi wananuka mavi maana watajinyea huko mahakamani
 
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam.

Nawasalimu kwa jina la JMT.

My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?
Hakuna kitu kama hicho
 
Upande mwingine nao wakijitokeza mawakili 1000 itakuaje hapi mahakamani?
 
Back
Top Bottom