Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Chama kinajiingiza kwenye matatizo na serikali yasiyo ya lazima. Mbowe ana haki ya kuwakilishwa na tayari ana wakili sasa huu uhuni unaofanyika sasa hivi ni suala la muda kabla serikali haijakibana.Kifupi tuseme hii kesi ni Kati ya Serikali na Wanasheria!