SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sisi wengine kazi yetu kusugua magoti kumlilia Mungu,na siku hizi majibu hayachelewi sana,yule aliyetusakizia tozo na ada za line za simu naye tia maji tia maji huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya vyeo vya kupewa inabidi kujivua nguo hata mbele ya watoto ili kumfurahisha aliyekupa cheo. Kwa nafasi yake hakutakiwa kuliongelea kwa vyombo vya habari kwa sababu suala liko mahakamaniSio kosa wala sio jambo la kisiasa kuwakilishwa na mawakili 386, kwasababu sheria za nchi zinatoa haki kwa washtakiwa wote kutetewa na mawakili mbele ya mahakama (Natural Justice - Right To Be Represented).
Ila cha ajabu CCM wataligeuza jambo hilo la Gaidi Freeman Mbowe kuwa la kisiasa zaidi, kama alivyotangulia IGP Sirro kuligeuza la kisiasa jana kwenye press na waandishi wa habari. Akaenda mbele zaidi na kumtia hatiani hata kabla mtuhumiwa Gaidi Freeman Mbowe hajafikishwa mbele ya mahakama.
Cha ajabu IGP Sirro hakuwahi kuongelea kwenye vyombo vya habari swala la viongozi wa umma kutumia vijana wake wa police kufanya uhalifu. Mfano, Paul Makonda na Ole Sabaaya walivokua wakitumia vijana wa IGP Sirro kufanya uhalifu wa kutumia silaha na risasi (Kama alivosema jana tunanunua kwa hela zetu) kuteka na ujambazi Dar Es Salaam, Arusha, Moshi na Kilimanjaro.
IGP Sirro mungu anakuona, mmeshaisiriba kinyesi Tanzania kwenye swala la mbowe.
Nasikia màgufool hajawahi hata kumuhisi Mbowe kuwa gaidi😅😅Kwakweli hawa wanaobambikiza kesi na tuhuma hata akili hawatumii. Mbowe ana historia yake iliyotukuka Magufuli kafa anaijua.Samia anaijua.
Uvccm nyie ni mataahira kabisaaaaaBavicha akili zenu ni pumba yani nyie nima popoma wa kiwango cha SGR ndiyo mana nduli mwenyekiti wenu ameziweka akili zenu mfukoni mwake.
Mwambie mkuu wa mijibwa ya CCM awazuie hao mawakiliMjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?
Hao mawakili hawamtetei Mbowe kwa niaba ya TLS bwashee!
Upande mwingine ndio upi huo bwashee?!Upande mwingine nao wakijitokeza mawakili 1000 itakuaje hapi mahakamani?
Ifuteni !TLS ni kama imetekwa na Chadema.
Bwashee kuna wakati huwa napata shida sana kukuelewa. Upo upande gani bwashee?Mawakili wasomi 386 ni Bavicha manka?
[emoji23][emoji23][emoji23] Afrika ina vituko sana."kutokakana na uwepo wa janga la corona mahakama imeruhusu jumla ya watu wasiozidi kumi na tano kutoka pande zote mbili, kuhudhulia kesi unayomkabili Mh. Mbowe, 5/8/2021" Jaji
Corona!! Corona!!! Corona!!!....... [emoji23][emoji23][emoji23]
Bwashee unayumbayumba sana!Mama kafeli vibaya sana.
Ni ndogo kwa maana ya Idadi yao jumla ila nikumbushe kesi ya Nani ishawahi kutetewa na mawakili wengi hivi kwa wakati Mmoja?386 ni % ndogo sana ya mawakili wote nchini!
Ndio ujue hii ni kesi ya kipekee duniani kote kama ulivyo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar!Ni ndogo kwa maana ya Idadi yao jumla ila nikumbushe kesi ya Nani ishawahi kutetewa na mawakili wengi hivi kwa wakati Mmoja?