Mawakili 386 wajitokeza kumtetea Mbowe Mahakamani 05/08/2021

Mawakili 386 wajitokeza kumtetea Mbowe Mahakamani 05/08/2021

Hata ukiwa na mawakili 1000 lakini mwisho wa siku anaye toa Hukumu ni mtu mmoja tu.

ila natoa tahadhari isije ikawa ni mbinu na
ujanja unao tarajiwa kutumiwa na viongozi
wa Chadema kutimiza lengo lao la
kuandamana ktk viwanja vya mahakama, hivyo wanajifanya kutumia kivuli eti cha mawakili 386!! eti na wengine bado wanaendelea kujiandikisha!!!

Jeshi la Polisi liwe makini na mbinu chafu yoyote itakayo pangwa, hatutegemei kama Jeshi letu litazidiwa mbinu na wahuni wachache.
 
"kutokakana na uwepo wa janga la corona mahakama imeruhusu jumla ya watu wasiozidi kumi na tano kutoka pande zote mbili, kuhudhulia kesi unayomkabili Mh. Mbowe, 5/8/2021" Jaji

Corona!! Corona!!! Corona!!!....... [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wakiandamana watu 1000 field force wangapi watawatawanya? Jitihada ya kuwatawanya si itavunja kanuni ya covid?
 
Ningelipewa nafasi ya kushauri, ningeshauri “hili” la Mbowe wanachadema wa-deal nalo “kiasili” zaidi. Jiwe lisisalie juu ya jiwe kwa wote wanaohusika kumnyanyasa mwenyekiti
 
Sio kosa wala sio jambo la kisiasa kuwakilishwa na mawakili 386, kwasababu sheria za nchi zinatoa haki kwa washtakiwa wote kutetewa na mawakili mbele ya mahakama (Natural Justice - Right To Be Represented).

Ila cha ajabu CCM wataligeuza jambo hilo la Gaidi Freeman Mbowe kuwa la kisiasa zaidi, kama alivyotangulia IGP Sirro kuligeuza la kisiasa jana kwenye press na waandishi wa habari. Akaenda mbele zaidi na kumtia hatiani hata kabla mtuhumiwa Gaidi Freeman Mbowe hajafikishwa mbele ya mahakama.

Cha ajabu IGP Sirro hakuwahi kuongelea kwenye vyombo vya habari swala la viongozi wa umma kutumia vijana wake wa police kufanya uhalifu. Mfano, Paul Makonda na Ole Sabaaya walivokua wakitumia vijana wa IGP Sirro kufanya uhalifu wa kutumia silaha na risasi (Kama alivosema jana tunanunua kwa hela zetu) kuteka na ujambazi Dar Es Salaam, Arusha, Moshi na Kilimanjaro.

IGP Sirro mungu anakuona, usichokifahamu kesi ya Gaidi Freeman Mbowe umeishaivuruga kwa kuiongelea mbele ya vyombo vya habari, na mmeshaisiriba kinyesi Tanzania kwenye swala la mbowe.
Siro anatia aibu Sana nchi yetu
 
Hata ukiwa na mawakili 1000 lakini mwisho wa siku anaye toa Hukumu ni mtu mmoja tu.
ila natoa tahadhari isije ikawa ni mbinu na ujanja unao tarajiwa kutumiwa na viongozi wa Chadema kutimiza lengo lao la kuandamana ktk viwanja vya mahakama, hivyo wanajifanya kutumia kivuli eti cha mawakili 386!! eti na wengine bado wanaendelea kujiandikisha!!!
Jeshi la Polisi liwe makini na mbinu chafu yoyote itakayo pangwa, hatutegemei kama Jeshi letu litazidiwa mbinu na wahuni wachache.
Nani kakudanganya kuwa hukumu inatolewa na mtu mmoja tu?
 
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es Salaam.

Nawasalimu kwa jina la JMT.

My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?
Mawakili ni kati ya watu wenye Calendar ngumu. Siyo rahisi kupata mawakili hata 100 kesho ambao hawakuwa wame block siku ya Alhmis 5/8 kwa ajili ya ku appear kwenye Mahakama zingine kuwakilisha wateja wao.
 
kwanza Gaidi linapo pelekwa mahakamani lazima ulinzi uwe tight, hata mfagiaji hapaswi kukatisha mbele.
 
Hata ukiwa na mawakili 1000 lakini mwisho wa siku anaye toa Hukumu ni mtu mmoja tu.

ila natoa tahadhari isije ikawa ni mbinu na
ujanja unao tarajiwa kutumiwa na viongozi
wa Chadema kutimiza lengo lao la
kuandamana ktk viwanja vya mahakama, hivyo wanajifanya kutumia kivuli eti cha mawakili 386!! eti na wengine bado wanaendelea kujiandikisha!!!

Jeshi la Polisi liwe makini na mbinu chafu yoyote itakayo pangwa, hatutegemei kama Jeshi letu litazidiwa mbinu na wahuni wachache.
CCM kwa kesi hii mnajiaibisha saana kwa mataifa.
 
"kutokakana na uwepo wa janga la corona mahakama imeruhusu jumla ya watu wasiozidi kumi na tano kutoka pande zote mbili, kuhudhulia kesi unayomkabili Mh. Mbowe, 5/8/2021" Jaji

Corona!! Corona!!! Corona!!!....... [emoji23][emoji23][emoji23]
Mikesha ya mbio za mwenge zina watu wasiyozidi 15!
Tumia akili.
 
Sio kosa wala sio jambo la kisiasa kuwakilishwa na mawakili 386, kwasababu sheria za nchi zinatoa haki kwa washtakiwa wote kutetewa na mawakili mbele ya mahakama (Natural Justice - Right To Be Represented).

Ila cha ajabu CCM wataligeuza jambo hilo la Gaidi Freeman Mbowe kuwa la kisiasa zaidi, kama alivyotangulia IGP Sirro kuligeuza la kisiasa jana kwenye press na waandishi wa habari. Akaenda mbele zaidi na kumtia hatiani hata kabla mtuhumiwa Gaidi Freeman Mbowe hajafikishwa mbele ya mahakama.

Cha ajabu IGP Sirro hakuwahi kuongelea kwenye vyombo vya habari swala la viongozi wa umma kutumia vijana wake wa police kufanya uhalifu. Mfano, Paul Makonda na Ole Sabaaya walivokua wakitumia vijana wa IGP Sirro kufanya uhalifu wa kutumia silaha na risasi (Kama alivosema jana tunanunua kwa hela zetu) kuteka na ujambazi Dar Es Salaam, Arusha, Moshi na Kilimanjaro.

IGP Sirro mungu anakuona, usichokifahamu kesi ya Gaidi Freeman Mbowe umeishaivuruga kwa kuiongelea mbele ya vyombo vya habari, na mmeshaisiriba kinyesi Tanzania kwenye swala la mbowe.
Kwa sasa Sirro anachofanya ni kuchelewesha mabadiliko kwenye cheo chake ...... anaanzisha mambo ili aachwe ayahandle mwenyewe wakati ni tactics. Wote tonajua kuwa Mbowe hata wamuweke mahabusu kwa miaka 5 bado atatoka bila hatia.

Wamewashindwa Uamsho halafu iwe Mbowe .... Does not make a sense!!
 
Naona Kigogo namuwashia moto Lissu! Hata hizi mambo za mawakili anaona udwanzi tu. Mtu pekee aliyeweza kupambana na Kigogo ni dogo langu Yericko mkulima maarufu wa bamia huko Mbutu [emoji23]
 
Ni nani atakae waruhusu mawakili zaidi ya 300 kuingia mahakamani? Pia kama kweli anahusika na mashitaka waliyomfungulia basi hata wakiruhusiwa mawakili 1000 kumtetea haitosaidia. Waswahili wanasema "Siku ya kifo cha nyani miti yote huteleza"
Hakuna shida mtuhumiwa kuwakilishwa na mawakili zaidi ya 300, Katiba na sheria za Tanzania zinaruhusu mtuhumiwa kuwakilishwa (kutetewa) mahakamani.
 
Back
Top Bottom