Mawakili 386 wajitokeza kumtetea Mbowe Mahakamani 05/08/2021

Mawakili 386 wajitokeza kumtetea Mbowe Mahakamani 05/08/2021

Sio kosa wala sio jambo la kisiasa kuwakilishwa na mawakili 386, kwasababu sheria za nchi zinatoa haki kwa washtakiwa wote kutetewa na mawakili mbele ya mahakama (Natural Justice - Right To Be Represented).

Ila cha ajabu CCM wataligeuza jambo hilo la Gaidi Freeman Mbowe kuwa la kisiasa zaidi, kama alivyotangulia IGP Sirro kuligeuza la kisiasa jana kwenye press na waandishi wa habari. Akaenda mbele zaidi na kumtia hatiani hata kabla mtuhumiwa Gaidi Freeman Mbowe hajafikishwa mbele ya mahakama.

Cha ajabu IGP Sirro hakuwahi kuongelea kwenye vyombo vya habari swala la viongozi wa umma kutumia vijana wake wa police kufanya uhalifu. Mfano, Paul Makonda na Ole Sabaaya walivokua wakitumia vijana wa IGP Sirro kufanya uhalifu wa kutumia silaha na risasi (Kama alivosema jana tunanunua kwa hela zetu) kuteka na ujambazi Dar Es Salaam, Arusha, Moshi na Kilimanjaro.

IGP Sirro mungu anakuona, usichokifahamu kesi ya Gaidi Freeman Mbowe umeishaivuruga kwa kuiongelea mbele ya vyombo vya habari, na mmeshaisiriba kinyesi Tanzania kwenye swala la mbowe.
Na Chadema muiache mahakama ifanye kazi kwanini mnadai siyo gaidi kwani nyie ndiyo mahakama?
 
Hakuna tatizo hawa ni mawakili wasomi sidhani kama kisheria ina shida.
 
kwa hiyo inatolewa na mawakili 386?
Mawakili ni sehemu ya mahakama

Wazee wa Baraza ni sehemu ya mahakama

Marafiki wa mahakama ni sehemu ya mahakama

Jaji/ Hakimu ni sehemu ya mahakama

Wote hawa huchangia kwenye hukumu inayotolewa na mahakama.

Nenda kwa Patrobas Katambi atakupa elimu ya bure manka, hivi siyo vitu vikuuubwa kama sayansi!
 
Hata ukiwa na mawakili 1000 lakini mwisho wa siku anaye toa Hukumu ni mtu mmoja tu.

ila natoa tahadhari isije ikawa ni mbinu na
ujanja unao tarajiwa kutumiwa na viongozi
wa Chadema kutimiza lengo lao la
kuandamana ktk viwanja vya mahakama, hivyo wanajifanya kutumia kivuli eti cha mawakili 386!! eti na wengine bado wanaendelea kujiandikisha!!!

Jeshi la Polisi liwe makini na mbinu chafu yoyote itakayo pangwa, hatutegemei kama Jeshi letu litazidiwa mbinu na wahuni wachache.
Na bado,
hata kabla ya kuulizwa kwa nini mnaitisha press kujadili swala lililoko mahakamani, yaonekana mtakuwa msha jifia kwa kihoro (+ covid 19 delta)
 
Ni nani atakae waruhusu mawakili zaidi ya 300 kuingia mahakamani? Pia kama kweli anahusika na mashitaka waliyomfungulia basi hata wakiruhusiwa mawakili 1000 kumtetea haitosaidia. Waswahili wanasema "Siku ya kifo cha nyani miti yote huteleza"
NYANI ANAYEKUFA HAPA NI YUPI!? HII NCHI MNAIPELEKA WAPI?
 
Watu wanashindwa kuelewa kosa alilopewa MBOWE hadi kuja kupatikana kuwa HANA HATIA laabda miaka 5 au Zaidi imesha malizika na uchaguzi 2025 umesha malizika.

Na akitoka atakuwa kama wale wazee wa MWAMSHO WA ZNZ wanamsemo wao huwaga wanasema TII AMRI YA MAMLAKA aka (SERIKALI) ukiambiwa usifanye jambo hili wacha wala usishindane.
 
Nyuma ya mawakili 386 ni mamilioni ya watanzania wapenda haki.
 
Watu wanashindwa kuelewa kosa alilopewa MBOWE hadi kuja kupatikana kuwa HANA HATIA laabda miaka 5 au Zaidi imesha malizika na uchaguzi 2025 umesha malizika.

Na akitoka atakuwa kama wale wazee wa MWAMSHO WA ZNZ wanamsemo wao huwaga wanasema TII AMRI YA MAMLAKA aka (SERIKALI) ukiambiwa usifanye jambo hili wacha wala usishindane.
Kwani huyo madam ana kibali cha Mungu kuishi.
Mwenzake minofu yote ishaoza na lile domo lake chafu limebaki udongo
 
Kwani huyo madam ana kibali cha Mungu kuishi.
Mwenzake minofu yote ishaoza na lile domo lake chafu limebaki udongo
Pale alipo Mbowe sio Amri ya Mama kama mama Pale ni order kutoka kwenye WENYE MAMLAKA aka XXM tofautisha Mwanzo na sasa mwanzo ilikuwa one man show lkn sasa ni tofauti kabisa .

Kama USA walivyo wanapo una unataka au utakuja kuwa kuwa threat kwenye MASILAHI YAO AS COUNTRY lazima wakueliminate kwa njia yoyote ile .
 
Back
Top Bottom