Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Chadema - an indomitable force.TLS ni kama imetekwa na Chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema - an indomitable force.TLS ni kama imetekwa na Chadema.
Na Chadema muiache mahakama ifanye kazi kwanini mnadai siyo gaidi kwani nyie ndiyo mahakama?Sio kosa wala sio jambo la kisiasa kuwakilishwa na mawakili 386, kwasababu sheria za nchi zinatoa haki kwa washtakiwa wote kutetewa na mawakili mbele ya mahakama (Natural Justice - Right To Be Represented).
Ila cha ajabu CCM wataligeuza jambo hilo la Gaidi Freeman Mbowe kuwa la kisiasa zaidi, kama alivyotangulia IGP Sirro kuligeuza la kisiasa jana kwenye press na waandishi wa habari. Akaenda mbele zaidi na kumtia hatiani hata kabla mtuhumiwa Gaidi Freeman Mbowe hajafikishwa mbele ya mahakama.
Cha ajabu IGP Sirro hakuwahi kuongelea kwenye vyombo vya habari swala la viongozi wa umma kutumia vijana wake wa police kufanya uhalifu. Mfano, Paul Makonda na Ole Sabaaya walivokua wakitumia vijana wa IGP Sirro kufanya uhalifu wa kutumia silaha na risasi (Kama alivosema jana tunanunua kwa hela zetu) kuteka na ujambazi Dar Es Salaam, Arusha, Moshi na Kilimanjaro.
IGP Sirro mungu anakuona, usichokifahamu kesi ya Gaidi Freeman Mbowe umeishaivuruga kwa kuiongelea mbele ya vyombo vya habari, na mmeshaisiriba kinyesi Tanzania kwenye swala la mbowe.
Hahahaaaa...... Manka umenuna Freeman Mbowe kutetewa na mawakili 386!Huna akili we kahaba. Kuna jopo la mahakimu hapo?
Inakuhusu nini?Wanalipwa na nani?
Hizo ni kanuni za kizamani bwashee.kwanza Gaidi linapo pelekwa mahakamani lazima ulinzi uwe tight, hata mfagiaji hapaswi kukatisha mbele.
Mawakili ni sehemu ya mahakamakwa hiyo inatolewa na mawakili 386?
Sina muda wa kusumbuana na shoga wa kinyalukolo.Hahahaaaa...... Manka umenuna Freeman Mbowe kutetewa na mawakili 386!
Huyo ni kama Sigara KaliBwashee kuna wakati huwa napata shida sana kukuelewa. Upo upande gani bwashee?
Bwashee umekuwa kama Sigara kali au Joka la Mdimu una vichwa pande mbili.Bwashee unayumbayumba sana!
Na bado,Hata ukiwa na mawakili 1000 lakini mwisho wa siku anaye toa Hukumu ni mtu mmoja tu.
ila natoa tahadhari isije ikawa ni mbinu na
ujanja unao tarajiwa kutumiwa na viongozi
wa Chadema kutimiza lengo lao la
kuandamana ktk viwanja vya mahakama, hivyo wanajifanya kutumia kivuli eti cha mawakili 386!! eti na wengine bado wanaendelea kujiandikisha!!!
Jeshi la Polisi liwe makini na mbinu chafu yoyote itakayo pangwa, hatutegemei kama Jeshi letu litazidiwa mbinu na wahuni wachache.
Na Sirro ndio mahakama, mbona anabwabwaja sana?Na Chadema muiache mahakama ifanye kazi kwanini mnadai siyo gaidi kwani nyie ndiyo mahakama?
Akubwabwaja alifanya official press conference na akadokeza kwamba kesi ipo mahakamani tuiachie mahakama na kama anasinginziwa mkamuulize.Na Sirro ndio mahakama, mbona anabwabwaja sana?
NYANI ANAYEKUFA HAPA NI YUPI!? HII NCHI MNAIPELEKA WAPI?Ni nani atakae waruhusu mawakili zaidi ya 300 kuingia mahakamani? Pia kama kweli anahusika na mashitaka waliyomfungulia basi hata wakiruhusiwa mawakili 1000 kumtetea haitosaidia. Waswahili wanasema "Siku ya kifo cha nyani miti yote huteleza"
Kwani huyo madam ana kibali cha Mungu kuishi.Watu wanashindwa kuelewa kosa alilopewa MBOWE hadi kuja kupatikana kuwa HANA HATIA laabda miaka 5 au Zaidi imesha malizika na uchaguzi 2025 umesha malizika.
Na akitoka atakuwa kama wale wazee wa MWAMSHO WA ZNZ wanamsemo wao huwaga wanasema TII AMRI YA MAMLAKA aka (SERIKALI) ukiambiwa usifanye jambo hili wacha wala usishindane.
Enenda ukasome na kusikiliza tena, itakusaidia kuelewa.Akubwabwaja alifanya official press conference na akadokeza kwamba kesi ipo mahakamani tuiachie mahakama na kama anasinginziwa mkamuulize.
Pale alipo Mbowe sio Amri ya Mama kama mama Pale ni order kutoka kwenye WENYE MAMLAKA aka XXM tofautisha Mwanzo na sasa mwanzo ilikuwa one man show lkn sasa ni tofauti kabisa .Kwani huyo madam ana kibali cha Mungu kuishi.
Mwenzake minofu yote ishaoza na lile domo lake chafu limebaki udongo