Mawakili kesi ya Mbowe na wenzake watatu walibadili mbinu baada ya kuona kila pingamizi la utetezi linagonga mwamba

Mawakili kesi ya Mbowe na wenzake watatu walibadili mbinu baada ya kuona kila pingamizi la utetezi linagonga mwamba

Truth and justice will always prevail.
Mbowe is not a terrorist
 
Kibatala apatiwe ulinzi...

4. Prosecution wameshindwa kuipa kesi miguu kwa kuonyesha ni jinsi gani pesa alizotuma mbowe ziliweza kuprocure ugaidi. Pesa zinaonekana ni za nguo,chakula, nauli. Pesa nyingine upelelezi hawakusema zilitumika vipi bali ukawa unajibu ni transaction fees.

Katika hoja ya transaction fee Kibatala alikuwa na swali moja tu.

Swali: Ulimwambia mheshimiwa jaji maswala ya transaction fee?

Jibu: Sikumwambia

Swali:Katika maelezo yako kuna sehemu tutaona umeelezea hivyo?

Jibu: Sikueleza

Hapa ndipo kesi ilipokatwa mtama.
 
Back
Top Bottom