Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Hana kesi ya kujibu kama haki itatendekaKWa Hyo mbowe ana kesi ya kujibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana kesi ya kujibu kama haki itatendekaKWa Hyo mbowe ana kesi ya kujibu?
Kama ni msamaha kina Kingai na wenzake ndiyo wanatakiwa kuomba msamaha kwa kutesa watu na familia zao bila sababu. Mbowe hana sababu ya kuomba msamaha kwa sababu hana kosaMimi ni muumini wa msamaha kwa hiyo naungana na Lisu (ametamka redioni) kuwe tuwe na maridhiano ya kitaifa watu waombe msamaha hadharani kwa mambo ya hovyo waliyofanya kisha tusonge mbele kama taifa. Na naamini kuwa hata mheshimiwa Mbowe ni muungwana sana na mzalendo wa nchi hii kwa dhati ya moyo wake na yeye ni mtu wa maridhiano hasa nikifuatilia hotuba zake na hata matendo yake baada ya kufanyiwa hujuma ya rasilimali zake mbali mbali. Tufungue ukurasa mpya kwa kutengeneza katiba mpya ambayo itaziba mianya ya mambo haya ya ovyo kutokea tena.
Kusiwe na kulipizana kisasi kwani tukianza hivyo mzunguko wake hautakuwa na mwisho. Lakini pia biblia takatifu inatuambia kuwa kisasi ni cha Mungu kwa hiyo tumwachie Mungu mwenyewe.
Kesi ya "UGAIDI" itafutika ki rahisi?.....
Nadhani walimmisslead. Alipohojiwa na BBC alisema "nadhani wenzake (Mbowe) wanatumikia vifungo vyao" . Hivyo alijua kuwa tayari wamehukumiwa na ni wafungwa na siyo mahabusumama leo akihojiwa na mtangazaji wa DW ameshangaza Sana kwamba hakuna mtuhumiwa wa ugaidi aliyefungwa kesi iko mahakamani tuache Jambo kesi iamuliwe na mahakama hiyo kesho ,bbc akihojiwa alisema washafungwa au alishindwa kutofautisha mahabausu na kufungwa gerezani
Even if ikiwa hivyo. Next time mbowe anatafuta walinzi awe extra careful maana now ajue vyombo vinatafuta kila upenyo wa kumuweka ndaniRoho mbaya haitawasaidia lolote...
Baada ya hii kesi watu watakuwa makini sana na namna wanavofanya mambo yao
Vile vile Jeshi la police litapoteza uaminifu baina yao wenyewe,,,na wale makomandoo wastaafu wataendelea kuwa walinzi wa mheshimiwa...
Na sasa kina kingai na genge lake wajipange sana
Kuna sababu zozote wametoa??Looh kumbe hujafuatilia? Upande wa mashitaka walifunga ushahidi baada ya Swila kumaliza.
Ushahidi waliotoa, umejitosheleza. Na waliiomba Mahakama itamke kuwa, akina Mbowe wana kesi ya kujibu!Kuna sababu zozote wametoa??
Kesi kubwa na muhimu upelelezi wake ndio huu. Sijui hizo zingine hali ipoje!!!Kwa kifupi HATUNA POLISI WA UPELELEZI.
Bali hii kesi ilikuwa bambika bambika kwa matakwa ya wanasiasa.
Kama DCI amefanya hivo na IGP anajua, polisi wa chini je, si ubambikaji ruksa?
Subirini kesho- ndiyo mjadala utanogaKwani kuna dhambi gani Mbowe kumtumia Urio pesa? Lakini pia upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha kuwa hizo pesa zimetumika kufadhili vitendo vya kigaidi.
Lissu akizungumza na Samia alitaja hiyo kesi kama haina maana. Hii ina maana hata maoni ya mama kuhusu hiyo kesi hayakuwa sawa, alipotoshwa na waliofungua kesi sababu rais siye aliyefungua kesi ila wakamuingiza mkenge.
Mawakili wa mashitaka wanadai ushahidi wao umekamilika, hivyo mahakama ione kwamba Mbowe na watuhumiwa wengine wana kesi ya kujibu. Sababu yao ni kiwango cha ushahidi kimejitosheleza kuishawishi mahakama kutoa maamuzi na kuwaona washitakiwa wana kesi ya kujibu.Kuna sababu zozote wametoa??
Naomba nichukue hii hoja yako for reference.Subirini kesho- ndiyo mjadala utanoga
Hoja nzuri sana. Nadhani hata wale wenye ubishi wa kisiasa, wasome hapa ili tusonge mbele kama Taifa. Tuanze upya.Ni ngumu sana kuisemea nafsi ya mtu. Lakini naamini akijua hakuna adhabu ya ziada baada ya kuomba msamaha naye anaweza kukiri ukweli na kuomba msamaha. Na hii dhana ya kuomba msamaha ni dhana ngumu sana kwetu Tanzania kwasababu mara nyingi viongozi wanakosea lakini badala ya kuwaomba msamaha wananchi utasikia wanakanusha au wakati mwingine wanajikausha kabisa kama sio wao waliokosea wananchi. Na wakati mwingine tu hata katika ngazi ya familia suala la kuombana msamaha linakuwa gumu sana. Lakini kama taifa lazima tufike mahali tuwe na sehemu ya kuanzia. Na ingependeza zaidi tukanzia hapa kwenye kesi ya Mbowe jumlisha kumharibia vitega uchumi vyake na Lisu kupigwa risasi kisha tusonge mbele pamoja kama taifa.
Judge anatoa uamuzi tr 18/02/2022. Chifu akihojiwa na Sudi Mnete wa DW, amesema kesi iko mahakamani na iachwe iamue kama watuhumiwa wana hatia au la. Chifu kajiweka mbali na hili. Watu wasimuingize huku kwa aina yoyote ya maamuzi ya mahakama.Hata mimi sijaelewa hapa, siasa ni michezo kama michezo nyingine.
Tumsubiri chifu arudi nchini tuone kama atasema lolote.
Ati chifu kajiweka mbali😂 yeye ndo mtoa order kutoka juu leo kajiweka mbali, siasa zina vitukoJudge anatoa uamuzi tr 18/02/2022. Chifu akihojiwa na Sudi Mnete wa DW, amesema kesi iko mahakamani na iachwe iamue kama watuhumiwa wana hatia au la. Chifu kajiweka mbali na hili. Watu wasimuingize huku kwa aina yoyote ya maamuzi ya mahakama.