Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Kwa maneno machache baada ya kufuatilia hadi ilipofikia, nini imani yako kwenye hii kesi. Je, Mbowe na wenzake watatu, walikua wanapanga ugaidi?Polisi kusema wanahitaji kuajiri wenye four ya mwisho inareflect katika hii kesi.
By the way naamini kwamba kila tukio linalotajwa kutokea lilitokea mfano Luteni kumtafutia watu Mbowe, kukutana na pesa kutumwa isipokua ugumu unakuja katika kuyatwist hayo matukio yafanane na ugaidi.
Pia naona hata kama upande wa mashtaka wamepika mashtaka basi walifanya hivyo haraka haraka na bila kuanticipate wapi panaweza leta mgogoro. Ndiyo maana inakua ngumu kwao kuthibitisha baadhi ya madai.