Mawakili kesi ya Mbowe na wenzake watatu walibadili mbinu baada ya kuona kila pingamizi la utetezi linagonga mwamba

Mawakili kesi ya Mbowe na wenzake watatu walibadili mbinu baada ya kuona kila pingamizi la utetezi linagonga mwamba

Je unajua kwamba Samia Suluhu Hassan akihojiwa na BBC SWAHILI, alisema kwamba MBOWE ni GAIDI?

Je MBOWE kaacha lini ugaidi? Naomba majibu, na nitakudai
Ghwa Kukajha, mi binafsi ndiyo maana napenda hii kesi iishie huko huko mahakamani. Wao, ndiyo watuambie, kwa USHAHIDI uliotolewa, kuna UGAIDI hapo?
 
Mwanzoni katika kesi ya Mbowe, Kila Pingamizi la utetezi lilikuwa linagonga mwamba na vielelezo vikawa vinapokelewa “by hooks and crooks”

Utetezi ukabadili mbinu kuokoa muda wa wateja kwani walijua mapingamizi yao yangekula muda na yangetupwa.

Ikabuniwa mbinu mpya
[emoji38][emoji38][emoji38] Hapo namba 5 hapo ni balaa !!
 
Ghwa Kukajha, mi binafsi ndiyo maana napenda hii kesi iishie huko huko mahakamani. Wao, ndiyo watuambie, kwa USHAHIDI uliotolewa, kuna UGAIDI hapo?
Wanatia huruma, walisema DDP na IGP ni mashahidi, mbona wameshindwa kuwaleta mahakamani wale za chambe kutoka kwa Jopo la mawakili wasomi waandamizi wakiongozwa na MAN OF THE MATCH, WAKILI MSOMI PETER KIBATALA
1642389271508.jpg
 
Roho mbaya haitawasaidia lolote...

Baada ya hii kesi watu watakuwa makini sana na namna wanavofanya mambo yao

Vile vile Jeshi la police litapoteza uaminifu baina yao wenyewe,,,na wale makomandoo wastaafu wataendelea kuwa walinzi wa mheshimiwa...

Na sasa kina kingai na genge lake wajipange sana
 
Kwa hilo, binafsi sijapenda! Napenda nishuhudie KIBUDU! Ngo'mbe kagongwa na gari, anakaribia kufa, tusimtafute MWISLAMU, kwenda kum'malizia kwa KUMCHINJA.

Kwa kesi ilipofikia, iachwe mahakama itoe hukumu kutokana na ushahidi uliotolewa. Tusiwape watu SIFA ZA BURE! Kazi na nguvu ya akina KIBATARA, isipotee bure!
Hawezi toka sasa hivi hata kama ameomba watazungusha kesi iendelee
 
Je unajua kwamba Samia Suluhu Hassan akihojiwa na BBC SWAHILI, alisema kwamba MBOWE ni GAIDI?

Je MBOWE kaacha lini ugaidi? Naomba majibu, na nitakudai
Nachojua hata kama ameombwa kumwachia hawezi mwachia sasa hivi ataprove failure.kwahiyo watazungushwa weee siku zitapita.

Mpaka aachiwe lazima kuwe na ushahidi kuwa sio gaid. Sasa nani ataleta ushahidi huo kama sio kuacha kesi iendelee?

Tutaona huko mbele unless kuna makubaliano nje ya pazia
 
Ona sasa nimekosa kupigwa mzinga! ☹️ Haya yote yamesababishwa na yule Swilla! Amenivuruga sana mwezi huu, kiasi hata cha kusahau kama kuna Valentine!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ngoja tuone, maana hadi hapa tumeshaona kiasi na tuna shauku ya kuona zaidi...
 
Mwanzoni katika kesi ya Mbowe, Kila Pingamizi la utetezi lilikuwa linagonga mwamba na vielelezo vikawa vinapokelewa “by hooks and crooks”

Utetezi ukabadili mbinu kuokoa muda wa wateja kwani walijua mapingamizi yao yangekula muda na yangetupwa.

Ikabuniwa mbinu mpya
Ila walishindwa kupangua ukweli kuwa Mbowe alimtumia pesa Urio
 
Kesi imedhihirisha maovu na uwezo mdogo kiakili wa polisi wa Tanzania walio wengi
 
Mwanzoni katika kesi ya Mbowe, Kila Pingamizi la utetezi lilikuwa linagonga mwamba na vielelezo vikawa vinapokelewa “by hooks and crooks”

Utetezi ukabadili mbinu kuokoa muda wa wateja kwani walijua mapingamizi yao yangekula muda na yangetupwa.

Ikabuniwa mbinu mpya

Utetezi ukawa unakubali vielelezo na ushaidi uingie mahakamani.

Wakawa wana challenge ushahidi na vielelezo kwa mlango wa nyuma wa cross examination.

Mashaidi wakapwaya na vielelezo vikapwaya mbele ya jaji watanzania wakishuhudia.

Wakabainisha blunders mbali mbali zifuatazo

1. Washtakiwa walikamatwa kabla hata jalada halijafinguliwa. Hii inamaanisha waliwakamata ndipo jitihada za kupika kesi ndio zikaanza. Inaonekana wapangaji wa hili walihamaki kuona makomandoo wakimlinda Mbowe na Lissu. Pengine mawasiliano yao yakafatiliwa yakawaongoza kwa Urio

Inaonekana Urio “akafinywa” (Haya yanathibitishwa na maelezo ya watuhumiwa katika kesi ndani ya kesi kuwa walimuona urio akipigwa kituo cha Tazara)

Baada ya kufinywa Urio akaeleza jinsi alivyowatafutia kazi lakini akalazimishwa kuwa shaidi wa Jamuhuri ili kulinda kazi yake.

Katika hali ya kupanick wapangaji wa kesi hii wakahisi inawezekana makomandoo wote waliofukuzwa kazi watakuwa wameenda kufanya kazi kwa Mbowe hivyo katika kamata kamata ndipo Komandoo MHINA akakamtwa Tabora na kina Kingai na Mahita. (Mhina alitoa ushahidi akiwa defense side)

2. Nyaraka zilikuwa zinaungwaungwa. Utetezi uliooomba Detention register ya Chang’ombe na Central kwa tarehe walizokamtwa watuhumiwa, kwa kuwa Mashtaka hawakujiandaa na hili wakafoji nyaraka kwa kubackdate ikainekana wazi lakini Jaji akaamuru daftari lipokelewe.

3. Extraction report ya Tigo inaharibu kila kitu kwani inaumbua kuwa file lilifunguliwa 2021 lakini mashtaka walifai file lilifunguliwa 2020. Ripoti ya tigo inajibu file la polisi lenye refence ya mwaka 2021. Kipengele hiki kina legal implication kubwa sana kwa faida ya defense

4. Prosecution wameshindwa kuipa kesi miguu kwa kuonyesha ni jinsi gani pesa alizotuma mbowe ziliweza kuprocure ugaidi. Pesa zinaonekana ni za nguo,chakula, nauli. Pesa nyingine upelelezi hawakusema zilitumika vipi bali ukawa unajibu ni transaction fees.

Katika hoja ya transaction fee Kibatala alikuwa na swali moja tu.

Swali: Ulimwambia mheshimiwa jaji maswala ya transaction fee?

Jibu: Sikumwambia

Swali:Katika maelezo yako kuna sehemu tutaona umeelezea hivyo?

Jibu: Sikueleza

Hapa ndipo kesi ilipokatwa mtama

5. Polisi hawakijui kitendea kazi chao PGO. Kila ilipogusiwa PGO walikuwa wanatoa macho kama wanasoma talaka.

Hawajui Fomu ya Kuzuia mali, Fomu ya Gari la polisi, Fomu ya kulebbel vizibiti, nk.

1645095856637.png
 
Tulisikia pia Mh Hussein Mwinyi naye kuna muamala wake
Hayuko mahakamani. Pili haikuwa kweli msingi wa maneno hayo ni huu hapa chini

Before the law (court) the defense doesn't have to prove anything they say, they can say anything they want, without proving it. What a shame.
 
Back
Top Bottom