Mawakili kesi ya Mbowe na wenzake watatu walibadili mbinu baada ya kuona kila pingamizi la utetezi linagonga mwamba

Mawakili kesi ya Mbowe na wenzake watatu walibadili mbinu baada ya kuona kila pingamizi la utetezi linagonga mwamba

Hii kesi nadhani ingekiwa imeshafutwa.
Kinachokwamisha ni kwakuwa mheshimiwa alilishwa matango pori mapema na yeye akayala bila kujiridhisha sasa wanaogopa kuifuta kwakuwa Chifu atadhalilika.

Ndio maana ziara ya Ubelgiji na ombi la Lissu linakuja kumuokoa, good timing, maana kule atakuwa kapata misaada pia kwa masharti hayo ya kufuta kesi ya kijinga. Kisiasa atakuwa kafanya vizuri sana...
 
Kwa ukorofi na ujanja wa kibatali hi kesi isipo isha kesho, itachukua sura mpya na mjadala mpya tena mashahidi wake lazima amiite Raisi wa jamuhuri kutoa ushahidi kutika hiyo kesi kwasabb alisha tangaza kwamba kuna Magaidi walisha ukumiwa kwa kesi hi ya Mbowe, Je Tiss watakubali Raisi adhalilishwe na maswali ya kibatali?
Swali kama nani kakupa briefing kuhusi hiyo kesi ya ugaidi?
Kama Raisi ulichukua hatua gani?
 
Hii nchi mwenye uchungu nayo alishaondoka. Wamebaki wapigaji tu. Sasa hii kesi haina miguu,wamepoteza mamilioni ya pesa ya kitupia kwenye ujenzi wa kipande fulani cha barabara,ksbb ya huu ujinga.

Ziro kaingizwa cha kike,akaingia mzima mzima. Nae kamuingiza mama chaka. Kama wana akili ndio wajifunze kufumua na kuunda kwa weredi idara zote zinazohusika na upelelezi.
 
Hii nchi mwenye uchungu nayo alishaondoka. Wamebaki wapigaji tu. Sasa hii kesi haina miguu,wamepoteza mamilioni ya pesa ya kitupia kwenye ujenzi wa kipande fulani cha barabara,ksbb ya huu ujinga.

Ziro kaingizwa cha kike,akaingia mzima mzima. Nae kamuingiza mama chaka. Kama wana akili ndio wajifunze kufumua na kuunda kwa weredi idara zote zinazohusika na upelelezi.
Kesi ya jpm
 
Polisi kusema wanahitaji kuajiri wenye four ya mwisho inareflect katika hii kesi.

By the way naamini kwamba kila tukio linalotajwa kutokea lilitokea mfano Luteni kumtafutia watu Mbowe, kukutana na pesa kutumwa isipokua ugumu unakuja katika kuyatwist hayo matukio yafanane na ugaidi.

Pia naona hata kama upande wa mashtaka wamepika mashtaka basi walifanya hivyo haraka haraka na bila kuanticipate wapi panaweza leta mgogoro. Ndiyo maana inakua ngumu kwao kuthibitisha baadhi ya madai.
 
Aisee una ujasiri haswaa, unatongoza msibani tena makaburini

😬😬Huu ni muda sasa wa 🥂🍻na 👨‍❤️‍💋‍👨 kwa Watanzania.

Maana kesi imeshakwisha! Binafsi napenda sana kuona Watanzania wote tunaishi kwa amani, upendo, umoja na mshikamano! Huku tukiwekeza nguvu kubwa kwenye masuala ya maendeleo, maridhiano, uzalendo wa kweli kwa Nchi, na Demokrasia ya kweli!
 
Kesi hii imetufungua mambo mengi tulio kuwa hatuyajui, ki ukweli taratibu na mifumo mingi ( kuanzia jeshini, polisi, mahakamani etc. ) inabidi ifumuliwe na ijengwe upya ili kuendana na mabadiliko ya karne hii ya 21!
 
Salamu hizi zimechelewa ilibidi zije trh 14 upigwe mzinga😉😉😉

Ona sasa nimekosa kupigwa mzinga! ☹️ Haya yote yamesababishwa na yule Swilla! Amenivuruga sana mwezi huu, kiasi hata cha kusahau kama kuna Valentine!
 
Lissu kamuomba samia hiyo kesi ifutwe, wacha tusubiri majibu
Kwa hilo, binafsi sijapenda! Napenda nishuhudie KIBUDU! Ngo'mbe kagongwa na gari, anakaribia kufa, tusimtafute MWISLAMU, kwenda kum'malizia kwa KUMCHINJA.

Kwa kesi ilipofikia, iachwe mahakama itoe hukumu kutokana na ushahidi uliotolewa. Tusiwape watu SIFA ZA BURE! Kazi na nguvu ya akina KIBATARA, isipotee bure!
 
Back
Top Bottom