Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Tuishi kwa amani, upendo, mshikamano na utelezi[emoji51][emoji51]Huu ni muda sasa wa [emoji1635][emoji482]na [emoji1298] kwa Watanzania.
Maana kesi imeshakwisha! Binafsi napenda sana kuona Watanzania wote tunaishi kwa amani, upendo, umoja na mshikamano! Huku tukiwekeza nguvu kubwa kwenye masuala ya maendeleo, maridhiano, uzalendo wa kweli kwa Nchi, na Demokrasia ya kweli!
Au siyo?