Mawakili wa CHADEMA waghairi kuwahoji Halima Mdee na Wenzake 18

Mawakili wa CHADEMA waghairi kuwahoji Halima Mdee na Wenzake 18

Tunaweka kumbukumbu sawa tu

Siyo kwamba akina Halima Mdee na wenzake wamesamehewa na Chadema

Bali, Bodi ya Wadhamini imeomba kutoendelea kuwahoji akina Halima Mdee kwa sababu maswali yao yote yameshajibiwa na wale waliotangulia kuhojiwa

Ashukuriwe Hawa na Jesca Kafulila kwa utetezi murua

Barikiwa sana!
Hii kesi iliishaisha!. Kina Halima wanafuta kesi leo!, kesho msamaha wa jumla kwao unatangazwa!.
P
 
Tangu mwenyekiti wenu aanze kulamba asali nyie makamanda uchwara mmebaki na hako kamsemo kenu ka stay tuned.
toka mzee mdee awahonge nyie sukuma gang ili mumtetee mmekuwa vichaa hadi mnafikir kutokuhojiwa kwa mzee mdee na mke wake ester bulaya ni kwamba wameshinda kesi.
 
Kesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee.

Hapo siku za nyuma mawakili hawa walishangiliwa sana jinsi walivyokuwa wakipambana na kina Mdee mahakamani na wengi wakashangilia pia jinsi walivyokuwa wanawahoji maswali na wapo waliosema "tutayajua mengi"

.....Ajizi nyumba ya njaa..... Leo hii wale mawakili wamenyoosha mikono juu na kusema hawana tena maswali kwao. Kwa lugha nyepesi mambo yanaenda kuisha[emoji23]

Tabu kubwa inabaki kwa washabiki waliokuwa wakisubiri kwa hamu kina mdee wadhalilike ili waandike kila aina ya andiko. Walisubiri kina mdee wateseke, wachekwe.

Wenye akili tuliwaambia mapema.

Viva Mdee, vivaaaaa

#kazi inaendeleaaaaa#
===

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimefunga kuwahoji wabunge watatu miongoni mwa wengine 19 wa viti maalum waliofukuzwa uanachama na chama hicho, kikisema kuwa hakina maswali zaidi kwa wabunge hao.

Wabunge walioachwa kuhojiwa maswali ya dodoso leo Jumatatu Machi, 6, 2023 ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya na Ester Matiko.

Akizungumza leo Machi 6 wakati kesi hiyo iliitwa kwaajili ya Jesca Kishoa kuendelea kuhojiwa maswali ya dodoso, Wakili wa wajibu maombi, Hekima Mwasipu, amesema kesi hiyo ilipaswa kuendelea kwa Mbunge wa Viti Maalumu, Jesca Kishoa lakini kwa upande wao wamefunga.

Wabunge hao 19 wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee walifukuzwa uanachama Novemba 2020 baada ya kwenda bungeni Dodoma kuapishwa bila idhini ya chama hicho.

My take:
Nafikiri hiyo ni tactical move, Sheria iko very logical, ni kama physics. Kumbuka kesi ya Mwenyekiti ilivyo collapse ghafla baada ya wanaoshitaki kutokuwa na nia ya kuendelea kushtaki.
Nadhani hiyo ni kete Moja ndogo tu kwenye picha kubwa ya Maridhiano. Kumbuka ruzuku zimeanza kulipwa, kumbuka Mama atakuwa mgeni rasmi wa BAVICHA. Kumbuka Mama amesema 'Mwanaume ni kujianini', "Mwanamke ni kujiamini'. Kuna message kubwa sana hapo!

Kwa kifupi hii game iko level ya juu sana. Sio rahisi kuielewa kama huwezi kuona picha kubwa!. Bahati nzuri Nchi hii sio kama Sudan Kusini, au Burundi kwa mfano, kwamba unaweza ukaja ukaivunja vunja, vinchi vidogo vinagombana vyenyewe na kubakia maskini wa kutupwa. Nchi hii ni kubwa, Tanzania ya Julius Nyerere, na kwa mwendo huu, Mama atakuja ku prove ni best President since Nyerere. My humble take!
 
Kama wakiwasameje ni kitu kizuri nchi imepitia Kipindi kigumu kidemokrasia (japo nilimkubali jiwe), Lissu Lema na familia zao walikimbia, sasa Kama wanaume wazima na ndevu zenu, na korodani zinaning'inia, mlitoka mbio, mlitegemea nini kwa hawa akina mama ambao wamepitia shida kubwa, mlitaka wafe?

Walikubali masharti ya serikali ili kujiokoa, msahemeane muanze upya, bado ni wapambanaji sana, watieni moyo
 
Hivi mtu na akili zake timamu anaweza kukubali kuwa na kiongozi kama mbowe au sa100 kweli [emoji849][emoji849]huyo mtu wa hivyo ni zaidi ya mpumbavu ....mimi nashangaa kuona watu wanapoteza muda na chama cha chadema ambacho kimejaa wapuuzi walio tukuka jamii ya kina Zelensky wa ukrain ...watu ambao wameshikiwa akili na wazungu kwa kiwango cha kuwaona hao wazungu ni miungu wao
 
Hii kesi imeisha, inafutwa kama sii leo ni kesho!. Keshokutwa Jumatano Chadema inatangaza kuwasamehe!.
Update.

Hatimaye Chadema wameacha kushupaza shingo na wamekubali matokeo!, kwa kuufuata ushauri wa bandiko hili CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwa kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali

Jipige kifuani mara 3 kisha sema mimi juha chawa wa CCM akili yangu imekwama
 
Hii kitu Mnyika na Mbowe wanaijua vema sana.
Mnyika na Mbowe ndio nani Chadema? Waliowatimua ni baraza kuu so hata Mbowe afanye Nini ni lazima kesi irudishwe baraza kuu ambako hawawezi kubali kuwasamehe. So hata wakishinda kesi watapelekwa Tena baraza kuu ambako watatimuliwa Tena Wala haipo Tena kwenye mikono ya Mbowe na Mnyika kuamua hatma Yao.
 
Hii kesi imeisha, inafutwa kama sii leo ni kesho!. Keshokutwa Jumatano Chadema inatangaza kuwasamehe!.
Update.

Hatimaye Chadema wameacha kushupaza shingo na wamekubali matokeo!, kwa kuufuata ushauri wa bandiko hili CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwa kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali

Vipi una maoni Gani baada ya Mbowe kugongelea msumari wa COVID 19.mbele ya Rais.

Alafu ni aibu kwa mwandishi msomi na nguli kama wewe kupost tweet ya fake news. Hivi ulishindwa kufanya fact checking kabla ya kupost hiyo tweet?

Kweli media zipo Kenya tu huku tuna makanjanja.
 
Sasa ile kiu yetu yakutaka kujua nani alipereka majina time ya uchaguzi, ndio haipo Tena?

Ndio maana huwa siamini wanasiasa,ambao huanza kunenepa mashavu baada ya muda,hapa compromise imefanyika,"acheni kuwahoji Ili serikali isiaibike,na serikali itaanza kuwapa ruzuku yenu,mi nasubili Lisu afafanue hili.
Mkuu kesi hapa sio nani kapeleka majina au uhalali wa ubunge wao!! Wale wanataka kurudishiwa uanachama wao sio kubaki wabunge!!

Wanachopinga wao ni kufukuzwa bila kusikilizwa na kwamba kamati kuu walikua biased. Wala hawaongelei uhalali wa ubunge wao.
 
Back
Top Bottom