Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia watasamehewa? Lini COVID-19 waliomba msamaha?? Hayo ni mawazo yako na sio msimamo wa Chama.Hii kesi imeisha, inafutwa kama sii leo ni kesho!. Keshokutwa Jumatano Chadema inatangaza kuwasamehe!.
Update....
kwa hio habar ya twita uliyopokea inaizid habar ya kuongea direct? ulimsikia mbowe akiongelea hao covid 19 wapi?Hii kesi imeisha, inafutwa kama sii leo ni kesho!. Keshokutwa Jumatano Chadema inatangaza kuwasamehe!.
Update...
Inafanya kazi.Asali
Bora hata hao walamba asali kuliko muzarendo katili ambaye Kabudi na Biswalo wamesha mchoma kwa uporaji wake na wizi wa kishamba kisha kupeleka China.Hata ulambaji wake asali anaufanya kwa umakini mkubwa hadi manyumbu yameshindwa kuelewa. Nipo palee ninaangalia huu mchezo.[emoji23]
Chama cha kwake na alipewa na Baba mkwe wake...maamuzi ni ya kwake na Baba mkwe wake,CDM ni bihashara kutoka huko Machame nyie wa huko kwingine anzisheni cha kwenu,Juzi nasikia wameingiziwa mgao wa RUZUKU mln 800+.Huu mchezo hauitaji hasira, sema Mbowe anawauza sana wenzake.
😂😂😂Kesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee...
Kijana wangu maridhiano yamekuumiza sana?Ila mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
Mkuu wakati mwingine hawa waliovimbiwa tokea awamu ya tano tusipowaamsha wanaweza kushusha kitandani na kuharibu hali ya hewaUsimuamshe aliyelala
😂😂😂 PK kabwaga manyanga!Bora hata hao walamba asali kuliko muzarendo katili ambaye Kabudi na Biswalo wamesha mchoma kwa uporaji wake na wizi wa kishamba kisha kupeleka China.
Hii aibu itakapowekwa hadharani hata mama Jeska a aweza kuomba talaka kwa marehemu ili apate haki ya kukataa kutumia jina la mtu anayelaaniwa kila kona kwa uuaji na wizi kwa kutumia ushamba wa madaraka.
Nanyi Suku gang kadhaa mnaweza kujitundika
Ila mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
Siasa Ni utapeli
March 8 mama Samia anakwenda kuwaombea msaamaha hao wabunge
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wameshapewa Ruzuku, huoni Lema kaja mbio mbio kutoka Canada ili asipitwe na mgao
CDM Ni matapeli bwaana Niki wa pili chapa Kaz mm na wew Sina bifu tuko pmj had mwisho tuone hili lichma linakwenda na maji walagahi wakubwa matapeli wakubwa
Blah blah za maridhiano wkt wananchi hawna maji,umeme ,afya duni mfumuko wa Bei alfu mijitu inakwenda kuwa sifia ccm ,wacha ccm itawale milelee shenzi zao na njaa zao wapuuz San CDM
Nani aliwalog lkn
Maridhiano at work.