Mawakili wa CHADEMA waghairi kuwahoji Halima Mdee na Wenzake 18

Mawakili wa CHADEMA waghairi kuwahoji Halima Mdee na Wenzake 18

Ukiwa na AKILI NDOGO utawabeza hao MAWAKILI kama aliviandika mwandishi wa Habari hii.Lakini wenye AKILI KUBWA tunajua kwanini MAWAKILI WAMEAMUA KUGHAILI
Jambo usilolijua litakupa Taabu sana.HONGERA Mawakili wa CHADEMA kwa hilo Mazezeta yanahaha kutaka kujua kuna nini
Hii akili hamjawahi kuwa nayo, ndio maana mliletewa lowassa mkazungusha mikono.
 
ulisoma shule ya kata ukaiba mitihani, ukaenda chuo cha kivukoni ukawa unashinda lumumba pale nje badala ya chuoni haya ndiyo matokeo yake...
Mwanzo mawakili walivyokua wanahoji maswali ilikuaje? Uzuri mbowe anawajua wote hamna akili
 
Ila mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
Na waka ambiwa wazungushe mikono kama mazinga ombwe ili mabadiliko yatokee

Mganga wao fundi aisee, wana wachezea watakavyo
 
Mwanzo mawakili walivyokua wanahoji maswali ilikuaje? Uzuri mbowe anawajua wote hamna akili
wewe ndo huna akili uanazungumzia mwanzo gani na sasa kinachobishaniwa mahakamani ninini?
unatia kinyaa kwa kujadili vitu usivyovijua. hovyooooooooooo
leo unamsifia mbowe kutujua wakati juzi mlikuwa mnamwita gaidi? mbowe huyu mnayemuita kila jina baya
 
Na siku mkisikia wamesamehewa sijui mtaandika nini. Kwenye keyboard hapo mnadhaniwa kuwa mna furaha ila kiukweli mnaumia sana.

Kimsingi sukuma gang hamtaki kabisa cdm na ccm pawepo maridhiano ili muendelee kupata cha kuandika ili kumsafisha shujaa wenu.

Nasema hivi, mwaka huu lazima vidole viote sugu maana hamjui muandike lipi na muache lipi. Kila mahali chadema chadema as if ndio chama tawala na ccm ni chama pinzani. Mungu ibariki chadema
 
Kesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee.

Hapo siku za nyuma mawakili hawa walishangiliwa sana jinsi walivyokuwa wakipambana na kina Mdee mahakamani na wengi wakashangilia pia jinsi walivyokuwa wanawahoji maswali na wapo waliosema "tutayajua mengi"

.....Ajizi nyumba ya njaa..... Leo hii wale mawakili wamenyoosha mikono juu na kusema hawana tena maswali kwao. Kwa lugha nyepesi mambo yanaenda kuisha[emoji23]

Tabu kubwa inabaki kwa washabiki waliokuwa wakisubiri kwa hamu kina mdee wadhalilike ili waandike kila aina ya andiko. Walisubiri kina mdee wateseke, wachekwe.

Wenye akili tuliwaambia mapema.

Viva Mdee, vivaaaaa

#kazi inaendeleaaaaa#
View attachment 2539139
Wewe akili ndogo...Creche
 
Sasa ile kiu yetu yakutaka kujua nani alipereka majina time ya uchaguzi, ndio haipo Tena?

Ndio maana huwa siamini wanasiasa,ambao huanza kunenepa mashavu baada ya muda,hapa compromise imefanyika,"acheni kuwahoji Ili serikali isiaibike,na serikali itaanza kuwapa ruzuku yenu,mi nasubili Lisu afafanue hili.
 
Impliedly wamekubali yaishe
👇View attachment 2539192
Hii kesi imeisha, inafutwa kama sii leo ni kesho!. Keshokutwa Jumatano Chadema inatangaza kuwasamehe!.
Update.

Hatimaye Chadema wameacha kushupaza shingo na wamekubali matokeo!, kwa kuufuata ushauri wa bandiko hili CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani
Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwa kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
 
IMG_1200.jpg
 
Back
Top Bottom