Mawakili wa CHADEMA waghairi kuwahoji Halima Mdee na Wenzake 18

Mawakili wa CHADEMA waghairi kuwahoji Halima Mdee na Wenzake 18

Hii akili hamjawahi kuwa nayo, ndio maana mliletewa lowassa mkazungusha mikono.

Halafu huyo Lowassa yupo CCM na Mtoto wake ni mbunge. Kama Lowassa ni mbaya kamshtaki polisi sio kupiga makelele ya kufuata mkumbo.
 
Mbowe kila Mara anawafanya mazuzu. Alimleta lowassa mkashangilia, leo kabalalisha wale wa covid 19

Ndio ulichobakiza. Covid walishafukuzwa na kamattti kuu na baraza kuu, hayo mengine ni maono yako. Tusubiri maamuzi ya mahakama.
 
Na waka ambiwa wazungushe mikono kama mazinga ombwe ili mabadiliko yatokee

Mganga wao fundi aisee, wana wachezea watakavyo

Huyo Lowassa yupo CCM na mtoto wake ni mbunge, wewe endeleza unafiki tu.
 
Sasa ile kiu yetu yakutaka kujua nani alipereka majina time ya uchaguzi, ndio haipo Tena?

Ndio maana huwa siamini wanasiasa,ambao huanza kunenepa mashavu baada ya muda,hapa compromise imefanyika,"acheni kuwahoji Ili serikali isiaibike,na serikali itaanza kuwapa ruzuku yenu,mi nasubili Lisu afafanue hili.

Mbona haraka, kesi bado inaendelea.
 
kaazi kwelikweli
20230305_195201.jpg
 
CDM Ni matapeli bwaana Niki wa pili chapa Kaz mm na wew Sina bifu tuko pmj had mwisho tuone hili lichma linakwenda na maji walagahi wakubwa matapeli wakubwa

Blah blah za maridhiano wkt wananchi hawna maji,umeme ,afya duni mfumuko wa Bei alfu mijitu inakwenda kuwa sifia ccm ,wacha ccm itawale milelee shenzi zao na njaa zao wapuuz San CDM

Nani aliwalog lkn
Maji,Umeme wasikuletee CCM uje ulalamikie CDM nyau wewe toka hapa.
 
Ila mnafanywa wajinga kila siku. Mliletewa Lowassa kwa sababu ya ujinga wenu huohuo, bahati mbaya hampati akili
Hahaha.. Ni heri ya kuwa mjinga kuliko kuwa mpumbavu..!!Maana wapumbavu huamini kila jambo lakini wajinga kuna wakati ujinga huondoka na kupata maarifa..!!
 
Wakisha pokelewa mbwembwe zote za kuwaita Covid 19 zitaisha, mtaanza kuwaita makamanda.
Mbwembwe ni kawaida kwenye siasa za Bongo..!!Ndo maana Kuna wapumbavu waliaminishwa kwenye uchaguzi uliopita kwamba Arusha itakuwa kama California na wakapiga makofi na kushangilia..!!
 
Kesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee.

Hapo siku za nyuma mawakili hawa walishangiliwa sana jinsi walivyokuwa wakipambana na kina Mdee mahakamani na wengi wakashangilia pia jinsi walivyokuwa wanawahoji maswali na wapo waliosema "tutayajua mengi"

.....Ajizi nyumba ya njaa..... Leo hii wale mawakili wamenyoosha mikono juu na kusema hawana tena maswali kwao. Kwa lugha nyepesi mambo yanaenda kuisha[emoji23]

Tabu kubwa inabaki kwa washabiki waliokuwa wakisubiri kwa hamu kina mdee wadhalilike ili waandike kila aina ya andiko. Walisubiri kina mdee wateseke, wachekwe.

Wenye akili tuliwaambia mapema.

Viva Mdee, vivaaaaa

#kazi inaendeleaaaaa#
===

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimefunga kuwahoji wabunge watatu miongoni mwa wengine 19 wa viti maalum waliofukuzwa uanachama na chama hicho, kikisema kuwa hakina maswali zaidi kwa wabunge hao.

Wabunge walioachwa kuhojiwa maswali ya dodoso leo Jumatatu Machi, 6, 2023 ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya na Ester Matiko.

Akizungumza leo Machi 6 wakati kesi hiyo iliitwa kwaajili ya Jesca Kishoa kuendelea kuhojiwa maswali ya dodoso, Wakili wa wajibu maombi, Hekima Mwasipu, amesema kesi hiyo ilipaswa kuendelea kwa Mbunge wa Viti Maalumu, Jesca Kishoa lakini kwa upande wao wamefunga.

Wabunge hao 19 wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee walifukuzwa uanachama Novemba 2020 baada ya kwenda bungeni Dodoma kuapishwa bila idhini ya chama hicho.
Duuuh, pole Sana mkuu... yaani usilolijua ni kama usiku wa kiza.... Umeonyesha ni jinsi gn ulivyo maamuma kwenye hili andiko lako....

Kwa taarifa yako, Covid 19 baada ya mawakili wa chadema kughairi kuwahoji walibadirika ghafla na kuonyesha wamepaniki ...walitegemea waendelee kuhojiwa huku kesi ikipigwa karenda na wao waendelee kubakia bungeni lkn mambo yakawa tofauti kbs...sasa ni zamu ya mawakili wao kuwahoji wajumbe wa bodi ya wadhamini wa chadema kuanzia Alhamis ya tarehe 9 , wadhamini wenyewe wa chadema wako 6 tu.... Kifupi hawaamini na macho yao [emoji1][emoji23][emoji23]

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Tunaweka kumbukumbu sawa tu

Siyo kwamba akina Halima Mdee na wenzake wamesamehewa na Chadema

Bali, Bodi ya Wadhamini imeomba kutoendelea kuwahoji akina Halima Mdee kwa sababu maswali yao yote yameshajibiwa na wale waliotangulia kuhojiwa

Ashukuriwe Hawa na Jesca Kafulila kwa utetezi murua

Barikiwa sana!
 
Tunaweka kumbukumbu sawa tu

Siyo kwamba akina Halima Mdee na wenzake wamesamehewa na Chadema

Bali, Bodi ya Wadhamini imeomba kutoendelea kuwahoji akina Halima Mdee kwa sababu maswali yao yote yameshajibiwa na wale waliotangulia kuhojiwa

Ashukuriwe Hawa na Jesca Kafulila kwa utetezi murua

Barikiwa sana!

Ndiyo Lema anatuambia bodaboda inaharibu nchi lkn sisi tunamshambulia!

Kuendelea kuwahoji akina Mdee ni kuwapa muda zaidi hadi kuja kusoma hukumu!

Akina Mdee wanajua hayo kuwa hukumu sasa itakuja mapema na wao wanatumia kila njia ichelewe ndiyo maana wao sasa wana anza kuwahoji bodi ya udhamini!

Kibatala na team yake akili mingi sana!
Hukumu isomer haraka kila mtu achukue vyake
 
Back
Top Bottom