Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Hii kesi iliishaisha!. Kina Halima wanafuta kesi leo!, kesho msamaha wa jumla kwao unatangazwa!.Tunaweka kumbukumbu sawa tu
Siyo kwamba akina Halima Mdee na wenzake wamesamehewa na Chadema
Bali, Bodi ya Wadhamini imeomba kutoendelea kuwahoji akina Halima Mdee kwa sababu maswali yao yote yameshajibiwa na wale waliotangulia kuhojiwa
Ashukuriwe Hawa na Jesca Kafulila kwa utetezi murua
Barikiwa sana!
toka mzee mdee awahonge nyie sukuma gang ili mumtetee mmekuwa vichaa hadi mnafikir kutokuhojiwa kwa mzee mdee na mke wake ester bulaya ni kwamba wameshinda kesi.Tangu mwenyekiti wenu aanze kulamba asali nyie makamanda uchwara mmebaki na hako kamsemo kenu ka stay tuned.
ongeza hapo askari wa zanzibar hahahahaaa!Afande tulia
Tumia ile id yako nyingine.toka mzee mdee awahonge nyie sukuma gang ili mumtetee mmekuwa vichaa hadi mnafikir kutokuhojiwa kwa mzee mdee na mke wake ester bulaya ni kwamba wameshinda kesi.
Kesi ya kina Mdee na CHADEMA leo imeingia ukurasa mpya baada ya mawakili wa CHADEMA kusema hawana tena maswali kwa akina Mdee.
Hapo siku za nyuma mawakili hawa walishangiliwa sana jinsi walivyokuwa wakipambana na kina Mdee mahakamani na wengi wakashangilia pia jinsi walivyokuwa wanawahoji maswali na wapo waliosema "tutayajua mengi"
.....Ajizi nyumba ya njaa..... Leo hii wale mawakili wamenyoosha mikono juu na kusema hawana tena maswali kwao. Kwa lugha nyepesi mambo yanaenda kuisha[emoji23]
Tabu kubwa inabaki kwa washabiki waliokuwa wakisubiri kwa hamu kina mdee wadhalilike ili waandike kila aina ya andiko. Walisubiri kina mdee wateseke, wachekwe.
Wenye akili tuliwaambia mapema.
Viva Mdee, vivaaaaa
#kazi inaendeleaaaaa#
===
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimefunga kuwahoji wabunge watatu miongoni mwa wengine 19 wa viti maalum waliofukuzwa uanachama na chama hicho, kikisema kuwa hakina maswali zaidi kwa wabunge hao.
Wabunge walioachwa kuhojiwa maswali ya dodoso leo Jumatatu Machi, 6, 2023 ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya na Ester Matiko.
Akizungumza leo Machi 6 wakati kesi hiyo iliitwa kwaajili ya Jesca Kishoa kuendelea kuhojiwa maswali ya dodoso, Wakili wa wajibu maombi, Hekima Mwasipu, amesema kesi hiyo ilipaswa kuendelea kwa Mbunge wa Viti Maalumu, Jesca Kishoa lakini kwa upande wao wamefunga.
Wabunge hao 19 wakiongozwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee walifukuzwa uanachama Novemba 2020 baada ya kwenda bungeni Dodoma kuapishwa bila idhini ya chama hicho.
Uliyeenda shule kesi tayari imeishafutwa? CCM lazima uwe juhaWewe umeenda shule? Una x examinatio ni nini?
Jipige kifuani mara 3 kisha sema mimi juha chawa wa CCM akili yangu imekwamaHii kesi imeisha, inafutwa kama sii leo ni kesho!. Keshokutwa Jumatano Chadema inatangaza kuwasamehe!.
Update.
Hatimaye Chadema wameacha kushupaza shingo na wamekubali matokeo!, kwa kuufuata ushauri wa bandiko hili CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
Nimepokea taarifa, hii kutokea twitwaniKisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku
Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.
Iliwa kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.
Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.
Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
Mnyika na Mbowe ndio nani Chadema? Waliowatimua ni baraza kuu so hata Mbowe afanye Nini ni lazima kesi irudishwe baraza kuu ambako hawawezi kubali kuwasamehe. So hata wakishinda kesi watapelekwa Tena baraza kuu ambako watatimuliwa Tena Wala haipo Tena kwenye mikono ya Mbowe na Mnyika kuamua hatma Yao.Hii kitu Mnyika na Mbowe wanaijua vema sana.
Vipi una maoni Gani baada ya Mbowe kugongelea msumari wa COVID 19.mbele ya Rais.Hii kesi imeisha, inafutwa kama sii leo ni kesho!. Keshokutwa Jumatano Chadema inatangaza kuwasamehe!.
Update.
Hatimaye Chadema wameacha kushupaza shingo na wamekubali matokeo!, kwa kuufuata ushauri wa bandiko hili CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
Nimepokea taarifa, hii kutokea twitwaniKisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku
Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.
Iliwa kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.
Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.
Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
Mkuu kesi hapa sio nani kapeleka majina au uhalali wa ubunge wao!! Wale wanataka kurudishiwa uanachama wao sio kubaki wabunge!!Sasa ile kiu yetu yakutaka kujua nani alipereka majina time ya uchaguzi, ndio haipo Tena?
Ndio maana huwa siamini wanasiasa,ambao huanza kunenepa mashavu baada ya muda,hapa compromise imefanyika,"acheni kuwahoji Ili serikali isiaibike,na serikali itaanza kuwapa ruzuku yenu,mi nasubili Lisu afafanue hili.
Jipige kifuani mara 3 kisha sema mimi juha chawa wa CCM akili yangu imekwama
Hii kesi iliishaisha!. Kina Halima wanafuta kesi leo!, kesho msamaha wa jumla kwao unatangazwa!.
P