Mawakili wa utetezi punguzeni muda wa cross examination, kesi ya Mbowe yaweza kuamuliwa kwa haki kabisa hapa ilipofikia

Mawakili wa utetezi punguzeni muda wa cross examination, kesi ya Mbowe yaweza kuamuliwa kwa haki kabisa hapa ilipofikia

Baada ya ushahidi wa Luteni Denis Urio kwa upande wa Jamhuri kesi ya Mbowe ambayo imefikisha mashahidi 12 sasa inaweza kuamuliwa na Jaji. Shahidi aliyekuwa muhimu kuliko wote na ambaye anaweza kuitwa nyota au kiungo muhimu wa mchezo ni Urio ambaye amekwisha toa ushahidi wake.

Kwa muelekeo wa mashahidi waliopita mambo mengi yatakuwa ni ya kujirudia rudia tu kutoka upande wa mashahidi wengi waliobaki. Kupunguza urefu wa hii kesi Mawakili wa utetezi wafanye cross examination isiyozidi saa moja kwa baadhi ya mashahidi wa kawaida na wasifanye cross examination kabisa kwa angalau mashahidi sita.

Kwa mpango huu itafanya uwezekano wa kuwepo angalau shahidi mmoja kila siku na na kumaliza upande wa mashahidi wa Jamhuri ndani ya wiki tatu ila upande wa utetezi uanze kuletea mashahidi wake na kuimaliza kesi mapema.
Samahani kama wewe ni mwanasheria .ni kuulize swali .kwanini Kuna cross examination? Faida yake ni ipi katika utetezi? Na je hasara ya kutofanta cross examination ni ipi?
 
Bila shaka wewe Utakua Shahidi Kwenye Kesi hii unaogopa kupigwa maswali
 
ACHA IKAE HIVYO
Nimeongea kwa kelele ili upokee kama maelekezo,maana mmezidi sana ujuaji. Usikute hata neno cross examination umelijulia kwenye kesi hii
 
Wana vuta muda ili kupata public sympathy
🤣🤣🤣🤣🤣 Ukiwa na mawazo ya kikaburu kama hago hatuwezi kuendelea kama kwa macho ya kawaida kesi inaonekana ukelweli ni upi na uongo ni upi
Yaani mnataka kutuaminisha uongo ili mmuokoe?
 
Baada ya ushahidi wa Luteni Denis Urio kwa upande wa Jamhuri kesi ya Mbowe ambayo imefikisha mashahidi 12 sasa inaweza kuamuliwa na Jaji. Shahidi aliyekuwa muhimu kuliko wote na ambaye anaweza kuitwa nyota au kiungo muhimu wa mchezo ni Urio ambaye amekwisha toa ushahidi wake.

Kwa muelekeo wa mashahidi waliopita mambo mengi yatakuwa ni ya kujirudia rudia tu kutoka upande wa mashahidi wengi waliobaki. Kupunguza urefu wa hii kesi Mawakili wa utetezi wafanye cross examination isiyozidi saa moja kwa baadhi ya mashahidi wa kawaida na wasifanye cross examination kabisa kwa angalau mashahidi sita.

Kwa mpango huu itafanya uwezekano wa kuwepo angalau shahidi mmoja kila siku na na kumaliza upande wa mashahidi wa Jamhuri ndani ya wiki tatu ila upande wa utetezi uanze kuletea mashahidi wake na kuimaliza kesi mapema.

Kesi haziendi hivyo. Mashahidi hawaitwi mahakamani ili kujifurahisha.

Uamuzi wa kutumia muda mwingi au muda kidogo kwenye cross-examination haufanywi kabla ya kusikia testimony ya shahidi.
 
Baada ya ushahidi wa Luteni Denis Urio kwa upande wa Jamhuri kesi ya Mbowe ambayo imefikisha mashahidi 12 sasa inaweza kuamuliwa na Jaji. Shahidi aliyekuwa muhimu kuliko wote na ambaye anaweza kuitwa nyota au kiungo muhimu wa mchezo ni Urio ambaye amekwisha toa ushahidi wake.

Kwa muelekeo wa mashahidi waliopita mambo mengi yatakuwa ni ya kujirudia rudia tu kutoka upande wa mashahidi wengi waliobaki. Kupunguza urefu wa hii kesi Mawakili wa utetezi wafanye cross examination isiyozidi saa moja kwa baadhi ya mashahidi wa kawaida na wasifanye cross examination kabisa kwa angalau mashahidi sita.

Kwa mpango huu itafanya uwezekano wa kuwepo angalau shahidi mmoja kila siku na na kumaliza upande wa mashahidi wa Jamhuri ndani ya wiki tatu ila upande wa utetezi uanze kuletea mashahidi wake na kuimaliza kesi mapema.

Mashahidi 24 ni wa serikali sio wa utetezi. Haiwezekani akaja shahidi akasema uongo halafu mwanasheria wa utetezi asihoji
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Unajidanganya ndugu naona hujafahamu umuhimu wa Cross Examination! Hapo huwa inatumika ili kuutikisa ushahidi uliotolewa, bila kufanya hivyo ni kukubaliana na ushahidi wa michongo uliotolewa! Nakushauri ushauri wako utunze kisha utampatia ndugu yako BASHITE kesi yake inaanza leo!
Alfred Pigangoma habari za siku nyingi mkuu
 
Mtoa mada wewe ni wakili?
Wakili anauliza maswali kuweka kumbukumbu mahakamani ili anapokuja kuleta mashahidi pawe na msingi. Wanahoji ili wakileta shahidi kuprove wrong hoja za wenzao lisiwe jambo jipya kwenye mahakamani.
Mfano: Shahidi (name withheld) aliulizwa juu ya anapotoka anapokuja mahakamani. Huko mbele utetezi wenda wanaweza kuleta shahidi atakaethibitisha kwamba Luteni anatoka sehemu ingine kwa watesi wa washtakiwa.
Wao wahoji kila kitu,server ya mahakama haijai. Utamu wa hii kesi sio sasa wakati wa Cross ex. Utamu upo mbele kwenye utetezi. Tuwe na subira.
 
Back
Top Bottom