Mawakili wamkataa Jaji Biswalo, wamuandikia barua Rais Samia

Mawakili wamkataa Jaji Biswalo, wamuandikia barua Rais Samia

Vip kuhusu CAG na Spika kwa Tanzania?
Ndiyo, Tanzania ni nchi ya kipekee sana, hadi Spika anaondolewa madarakani na mtu mmoja tu!

Hii ni nchi, au ni mali ya mtu huyo mmoja?

Sasa ona tunavyohangaishwa na kiinchi kidogo tu, na hakuna yeyote anayestuka wala kusema chochote!

Hii sasa imefikia pabaya!
 
Kipindi cha Magufuri na kipindi hiki cha huyu Rais ni kipindi ambacho nchi imeongozwa bila utaratibu ndiyo maana haya yote tumeshuhudia yakitokea mfano:-Kupigwa Risasi Tundu Lissu akiwa mbunge wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwenye eneo lenye ulinzi wa kila namna,Kuondolewa kwa CAG Professor Assad bila utaratibu kisa kagundua ubadhirifu mahali fulani hasa palipokuwa panamhusu mheshimiwa Rais,Kujiuzulu kwa Wabunge kwenye Chama fulani na kugombea Ubunge huo huo na watu wale wale jimbo lile lile kupitia chama tawala na kushinda kwa nguvu,Kukataza mikutano ya vyama vya siasa,kujizulu Uspika kwa bwana Job Ndugai,kuwepo wabunge 19 Bungeni ambao chama chao hakiwatambui.
Hivi Ndugai alijiuzuru u-spika, au alilazimishwa kuachia ngazi?

Katika yote hayo uliyoyataja hapo juu, jipya linalokera zaidi ni kuifanya Zanzibar kuwa juu ya Tanzania, na hakuna yeyote anayehoji hili jambo la hovyo kabisa!
 
Kaisome katiba ya JMT IBARA YA 110 NA ILE YA 118 jitahidi uwe unasoma soma sio unauliza maswali Kama mtoto mdogo, kasome jaji mkuu anapatikanaje, majaaji wa Mahakama kuu wanapatikanaje na majaji wa Mahakama ya Rufani wanapatikanaje na baada ya hapo kasome namna ya kumuondoa jaji katika nafasi yake kwa sababu ya kushindwa kutumiza majukumu yake kwa ugonjwa au tabia mbaya kinyume na kanuni za utumishi wa umma na Mahakama kwa ujumla!

Ukishasoma utakua na maarifa ya kutosha kujadili hoja hii!

Kama katiba huna ingia playstore au istore download "katiba ya Tanzania"

Usiwe unapenda vitu rahisi rahisi tu hapa Ni GT platform lazima uwe knowledgeable on the subject matter , ukiona Jambo linakuzidi umri na thinking capacity liache Kuna jukwa la uhusiano mapenzi na urafiki Kuna Uzi unaitwa ulishawahi kula tuda kimasihara?
Swali langu lina mtego ndani yake naona umeshindwa kung'amua badala yake unaandika gazeti, pole
 
Hiyo movie imeanza na imesukwa. Atachomolewa kistaili.
 
Bibi amelikoroga, kama alikuwa anaongea tu kuchangamsha genge bila concrete evidence hapo ndio itajulikana. By the way, ina maana kweli Rais hakuona umuhimu wa kutengua uteuzi wake mpaka afundishwe na mawakili?.
Kwani kumtengua Ndugai alifundishwa na nani?
Pia ukiona jaji anakomaa ujue sio peke yake, kwa nini yeye tu.
 
Hawa mawakili ni wanafiki tu
Unafiki wao ni upi ?

FB_IMG_1665831491154.jpg
 
Back
Top Bottom