Plea-bargaining si kitu kipya kila nchi inchoate kwa majina mbalimbali. Isitoshe inaingia akilini. Magoti na Kabendera walikutwa wana forex USD accounts nyingi CRDB, walilipwa kwa njia isiyo rasmi probably ni mabeberu kwa kuandika articles za matusi kendi drama.kwa vile hapa hatuna dollar income. Isitoshe, hazikulipiwa kodi. Sheria ya rushwa inaruhusu Polisi kukumata unless hizo hela ulizipata wapi baada ya kuangalia Maputo yako rasmi. Haina proof 100% lakini ipo, kwa nini usikubali uachane na usumbufu? Mtu kama mbowe aliwalipa kwa tigopesa makomandoo wa Ngerengere waje wamuue ole Sabaya. Ushahidi.kamili ni.maito ya ole Sabaya, lakiniPolisi wakawaeahi kabla hawajamuua, kesi inaendelea Mama kwa huruma yake kabisa kwa kushauriana na DPP wa wakati hup sasa Jaji Mganga wakamuonea huruma mbowe wakamwachia, kosa gani hapo? CHADEMA walikutwa wanaimba Wimbo wa Taifa kwa matusi, wakisema Mungu Ibariki CHADEMA, ni uhaini, walakamatwa, DPP akawaachia baadaye in the national intest, kosa gani hapo? Peter Madalaka kaiba nyaraka immigration, kapewa na mkewe (staff immigation) akaanza kuzianika hazalani kwenye blogu ya auntie marysarungi. Alitakiwa azipeleke Polisi, ndiyo hutyu sasa anamkandia DPP katika hizi allegations lakini changing ni husda ya kukamatwa.
Ni chuki chuki chuki ya wainzania (kwa CCM) na wafungwa (kwa DPP personally) ndiyo inawauma. HE IS INNOCCENT.