Mawakili wamkataa Jaji Biswalo, wamuandikia barua Rais Samia

Mawakili wamkataa Jaji Biswalo, wamuandikia barua Rais Samia

majina yalipitishwa na chedema na mnyika akapeleka majina fasta walipoona wamekosea kuna utamu wa watu umeachwa wakatakakwenda kuwatoa kina mamawakawahi kwenda kuapishwa mnafanya hao viburudisho vyenu muwageuze mnavyotaka mdee kawashtukia na ndiyo aana kesi haiishi chadema hawana hoja zenye nguvu
Mnyika alikuwa na mamlaka ya kwenda kuwatoa Lupango wale waliokuwa mahabusu na kusafirishwa usiku kwenda kuapishwa.
 
Mkuu DolphinT , asante umemjibu vizuri, na kwa kuongezea tuu
  1. Mtu yoyote aliyesoma sheria yoyote ni lawyer, lakini advocate ni wakili anaye practice law.
  2. Kila advocate ni lawyer ila sio kila lawyer ni advocate
  3. Ili mtu kuwa advocate ni lazima usomee sheria kwa level ya LL.B lakini ili mtu kuwa mwanasheria unaweza kusoma certificate in law, ordinary diploma in law inaitwa ODL, au kusoma degree nyingine yoyote kisha ukafanya LL.M yaani masters of law, unakuwa ni mwanasheria lakini huwezi kuwa wakili!. Ili uwe wakili lazima kwanza usome LL.B kisha upite Law School of Tanzania.
  4. Advocate is an officer of the court, hivyo kila wakili ni afisa wa mahakama wakati sio kila mwanasheria ni ofisa wa mahakama.
  5. Kuna watu wengi sana wamesomea sheria na kuhitimu LL.B lakini sio mawakili kwasababu hawajaomba kuwa mawakili. Miongoni mwao kuna majaji, mahakimu, wahadhiri wa vyuo Vikuu ambao ni wanasheria wabobezi na wabobevu lakini sio mawakili.
  6. Ili kuwa wakili unaomba uwakili kwa Jaji Mkuu in a form of petition, ukikidhi vigezo, anapangiwa ku appear mbele ya Jaji Mkuu kuhojiwa na CJ mwenyewe in person siku hizi ni through Video Conference ya one to one.
  7. Sheria ya Law School imeanza mwaka 2008, hivyo mawakili wote waliohitimu kabla ya hapo walikuwa wanapata uwakili kwa ku petition only na ku appeared mbele ya Jaji Mkuu. Sasa lazima upite Law School of Tanzania
  8. Sio kila wakili lazima afanye kazi ya utetezi mahakamani, mawakili wengine ni mawakili wanaotoa Legal Opinion only ambao ni ushauri wa kisheria na hawaendi mahakamani.
  9. Hakuna umri wa mwisho wa kusomea sheria wala hakuna combination rasmi ya kusomea LL.B ukisoma chochote katika umri wowote au professional nyingine yoyote, unaweza kusomea LL.B. Prof. Pius Ng'wandu alikuwa na masters 3 na Ph.Ds tatu lakini at 65 years alisoma LL.B OUT na kuhitumu kisha akasema LST na kuwa wakili at 70 years!.
  10. Kwa vile Tanzania inafuata mfumo wa sheria wa English law, advocates wa nchi za Jumuiya ya Madola, hawahitaji kufanya petition to practice in Tanzania, wanahitaji just to register only!. Ili kuwa advocate UK sio lazima kuwa na LL.B, wakili maarufu Tanzania, Murtaza Lakha hakusomea sheria yoyote popote and he was the best!. Hivyo miongoni mwetu kuna Watanzania ambao can make the best advocates lakini hawakusoma sheria kama ambavyo mwandishi Martin Maranja Masese anafanya the best court reporting kuliko media yoyote.
P
Asante Kaka paschal Mayala kwa kuitendea haki moja wapo ya taaluma yako ulizosomea na naamini imekua darasa tosha kwa wale vihiyo wenzangu!
Gratias
 
Mnyika alikuwa na mamlaka ya kwenda kuwatoa Lupango wale waliokuwa mahabusu na kusafirishwa usiku kwenda kuapishwa.
acha kesi iendelee uone mnyikaanavyoaibika mahabusu alitolewa na mnyika na mbowe ndiyo maana hawana nguvu na hiyo kesi wana juwa chadema hawashindi
 
Utaratibu wa kumuondoa Judge Ni mgumu kidogo mkuu sio Kama kumuondoa Dc
hata kama ni mgumu kama jiwe, na tuhuma kama zipo, utaratibu uanze tu ili apishe kiti kitakatifu kikaliwe na wanaostahili hata kama si wasafi kivile, ila walau wanatia moyo. Nani atamwamini sasa?
 
Nilidhani wana fact kumbe hear say! Ushahidi ukiwa wa wazi na upo sahihi wamfungulie mashitaka sio kukurupuka na barua za kishabiki.
Kila jambo kubwa duniani lilianza kama mzaha tu! Sisitizo anauwezo wa kumuangusha tembo na tani zake 8! Subiri
 
majina yalipitishwa na chedema na mnyika akapeleka majina fasta walipoona wamekosea kuna utamu wa watu umeachwa wakatakakwenda kuwatoa kina mamawakawahi kwenda kuapishwa mnafanya hao viburudisho vyenu muwageuze mnavyotaka mdee kawashtukia na ndiyo aana kesi haiishi chadema hawana hoja zenye nguvu
Naunga mkono hoja!, mimi kwanza namzimikia sana Halima Mdee Halima Mdee on ITV Asubuhi Hii!.
nilimpongeza Halima Mdee "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji
P
 
Kumuondoa Jaji ndio kuna hatua za kufuata mpaka kuunda Tribunal Board ifuate mchakato wote ila kumuondoa Jaji Mkuu hakuna mchakato wowote wa kufuata. Ibara ya 118 ya Katiba iweka wazi hapo.
Hata hivyo ibara ya 110 ya katiba yetu bado inatoa madaraka makubwa kwa Rais kuamua kumuacha kazini au kumfuta kazi,
Katiba yenyewe pia haimlazimishi Rais kuunda time ya kijaji, inasema "akiona inafaa" na hakuna wa kumuuliza, Sasa hapa utaona madaraka makubwa ya Rais katika kuamua Hilo! Ndio Mana katiba mpya Ni muhimu kumpunguzia Rais haya madaraka, ikitokea Judge Ni swahiba wake aweza kuamua kukaa kimya tu!
Well
 
Yamkini umeongea kwa kujifurahisha tu!
Kama unakumbuka vizuri report ya Cag ilitamka wazi kwamba awali kulikua hakuna Sheria yoyote iliyotungwa na bunge kwa ajili ya kukusanya hizo fedha za plea bargain! Ilitungwa baadae kwa hati yabdharura! That's why fedha hizo zilibaki bila kutumiwa kabisa kwa sababu hakukua na Sheria zinaoongoza matumizi yyake.

Baada ya taarifa hiyo ya Cag wahuni wakanza kuzichezea!

Swali kwako tatizo likeshagundulika Kuna uhuni umefanyika! Je tukae kimya kwa sababu kina Tito tunahisi Wana chuki binafsi au tuchukue hatua kwa kuwa Sheria na kanuni za utumishi wa umma zimekiukwa kwa maslahi mapana ya Taifa letu?

Kila Jambo likiibuliwa ambalo linaathiri ustawi wa taiffa tukilichukulia kwa angle ya chuki binafsi Kama Taifa tutapiga hatua? Hasa kwenye suala la uadilifu kwa waliopewa dhamana?
Adios
Plea-bargaining si kitu kipya kila nchi inchoate kwa majina mbalimbali. Isitoshe inaingia akilini. Magoti na Kabendera walikutwa wana forex USD accounts nyingi CRDB, walilipwa kwa njia isiyo rasmi probably ni mabeberu kwa kuandika articles za matusi kendi drama.kwa vile hapa hatuna dollar income. Isitoshe, hazikulipiwa kodi. Sheria ya rushwa inaruhusu Polisi kukumata unless hizo hela ulizipata wapi baada ya kuangalia Maputo yako rasmi. Haina proof 100% lakini ipo, kwa nini usikubali uachane na usumbufu? Mtu kama mbowe aliwalipa kwa tigopesa makomandoo wa Ngerengere waje wamuue ole Sabaya. Ushahidi.kamili ni.maito ya ole Sabaya, lakiniPolisi wakawaeahi kabla hawajamuua, kesi inaendelea Mama kwa huruma yake kabisa kwa kushauriana na DPP wa wakati hup sasa Jaji Mganga wakamuonea huruma mbowe wakamwachia, kosa gani hapo? CHADEMA walikutwa wanaimba Wimbo wa Taifa kwa matusi, wakisema Mungu Ibariki CHADEMA, ni uhaini, walakamatwa, DPP akawaachia baadaye in the national intest, kosa gani hapo? Peter Madalaka kaiba nyaraka immigration, kapewa na mkewe (staff immigation) akaanza kuzianika hazalani kwenye blogu ya auntie marysarungi. Alitakiwa azipeleke Polisi, ndiyo hutyu sasa anamkandia DPP katika hizi allegations lakini changing ni husda ya kukamatwa.

Ni chuki chuki chuki ya wainzania (kwa CCM) na wafungwa (kwa DPP personally) ndiyo inawauma. HE IS INNOCCENT.
 
Bibi amelikoroga, kama alikuwa anaongea tu kuchangamsha genge bila concrete evidence hapo ndio itajulikana. By the way, ina maana kweli Rais hakuona umuhimu wa kutengua uteuzi wake mpaka afundishwe na mawakili?.
Ndio shida ya rais mpiga vijembe. Rais alisema 'hapa juzijuzi' inaweza kua mwaka jana tu. Hawa wahuni wake anaowaweka wanampiga. Ila wote wenye hasira na chuki dhidi ya magufuli wanatafsiri anawasema magufuli na watu wake. Magufuli aliwapiga fisadi wazembe na majizi yote ya umma vizuri sana. Ndio maana umma wa wananchi walimpenda sana na hadi leo wanabubujikwa machozi. Wanao mchukia ni wale wenye kisasi nae kwa jinsi alivyowadhibiti.
 
Plea-bargaining si kitu kipya kila nchi inchoate kwa majina mbalimbali. Isitoshe inaingia akilini. Magoti na Kabendera walikutwa wana forex USD accounts nyingi CRDB, walilipwa kwa njia isiyo rasmi probably ni mabeberu kwa kuandika articles za matusi kendi drama.kwa vile hapa hatuna dollar income. Isitoshe, hazikulipiwa kodi. Sheria ya rushwa inaruhusu Polisi kukumata unless hizo hela ulizipata wapi baada ya kuangalia Maputo yako rasmi. Haina proof 100% lakini ipo, kwa nini usikubali uachane na usumbufu? Mtu kama mbowe aliwalipa kwa tigopesa makomandoo wa Ngerengere waje wamuue ole Sabaya. Ushahidi.kamili ni.maito ya ole Sabaya, lakiniPolisi wakawaeahi kabla hawajamuua, kesi inaendelea Mama kwa huruma yake kabisa kwa kushauriana na DPP wa wakati hup sasa Jaji Mganga wakamuonea huruma mbowe wakamwachia, kosa gani hapo? CHADEMA walikutwa wanaimba Wimbo wa Taifa kwa matusi, wakisema Mungu Ibariki CHADEMA, ni uhaini, walakamatwa, DPP akawaachia baadaye in the national intest, kosa gani hapo? Peter Madalaka kaiba nyaraka immigration, kapewa na mkewe (staff immigation) akaanza kuzianika hazalani kwenye blogu ya auntie marysarungi. Alitakiwa azipeleke Polisi, ndiyo hutyu sasa anamkandia DPP katika hizi allegations lakini changing ni husda ya kukamatwa.

Ni chuki chuki chuki ya wainzania (kwa CCM) na wafungwa (kwa DPP personally) ndiyo inawauma. HE IS INNOCCENT.
Haki nimesoma nikacheka nikaona nireserve bundle! Umepuyanga kinoma yani! Dah
 
Ndugu DolphinT, umenichekesha mpaka nimepaliwa na mate hapa.
Umeona jitihada zako zote za kumuelewesha na kumuelimisha zimegonga mwamba,msaada ni muhimu.

Kongole kwa kutoa elimu ya katiba ndugu.
Nchi Kama imejaa watu wa Aina hii Ni mtaji mkubwa wa CCM kuna mwingine huko imebidi nisimjibu tu kuhusu Mambo ya kununua Uhuru kwa Jiwe (plea bargaining na jinsi ilivyoendeshwa) hawafuatilii hata taarifa ndio Mana wahuni wakazitoroshea nje alizochukua yeye Jiwe kafa nazo!

Ukiwauliza mathalani kitambulisho cha machinga kilitolewa kwa Sheria ipi ya Bunge! Sheria ipi ya Kodi na ya kibajet iliyosimamia ukusanyaji wa hizo fedha?
Fedha hizo ziliingizwa kwenye account ipi? Personal au hazina?

Kwenye report ya Cag zilikaguliwa? Anyway Ni shingapi zilipatikana who knows and who can tell? Sembuse za plea bargaining?
Wakuu wa mikoa waliitwa ikulu wakakbidhiwa vitambulisho wakawauzie mpaka Boda Boda mpaka makondakta!
 
Madereka ni mwanaharakati
Na ni wakili

Ova
Screenshot_20230204_143455_Chrome.jpg
 
Mkuu DolphinT , asante umemjibu vizuri, na kwa kuongezea tuu
  1. Mtu yoyote aliyesoma sheria yoyote ni lawyer, lakini advocate ni wakili anaye practice law.
  2. Kila advocate ni lawyer ila sio kila lawyer ni advocate
  3. Ili mtu kuwa advocate ni lazima usomee sheria kwa level ya LL.B lakini ili mtu kuwa mwanasheria unaweza kusoma certificate in law, ordinary diploma in law inaitwa ODL, au kusoma degree nyingine yoyote kisha ukafanya LL.M yaani masters of law, unakuwa ni mwanasheria lakini huwezi kuwa wakili!. Ili uwe wakili lazima kwanza usome LL.B kisha upite Law School of Tanzania.
  4. Advocate is an officer of the court, hivyo kila wakili ni afisa wa mahakama wakati sio kila mwanasheria ni ofisa wa mahakama.
  5. Kuna watu wengi sana wamesomea sheria na kuhitimu LL.B lakini sio mawakili kwasababu hawajaomba kuwa mawakili. Miongoni mwao kuna majaji, mahakimu, wahadhiri wa vyuo Vikuu ambao ni wanasheria wabobezi na wabobevu lakini sio mawakili.
  6. Ili kuwa wakili unaomba uwakili kwa Jaji Mkuu in a form of petition, ukikidhi vigezo, anapangiwa ku appear mbele ya Jaji Mkuu kuhojiwa na CJ mwenyewe in person siku hizi ni through Video Conference ya one to one.
  7. Sheria ya Law School imeanza mwaka 2008, hivyo mawakili wote waliohitimu kabla ya hapo walikuwa wanapata uwakili kwa ku petition only na ku appeared mbele ya Jaji Mkuu. Sasa lazima upite Law School of Tanzania
  8. Sio kila wakili lazima afanye kazi ya utetezi mahakamani, mawakili wengine ni mawakili wanaotoa Legal Opinion only ambao ni ushauri wa kisheria na hawaendi mahakamani.
  9. Hakuna umri wa mwisho wa kusomea sheria wala hakuna combination rasmi ya kusomea LL.B ukisoma chochote katika umri wowote au professional nyingine yoyote, unaweza kusomea LL.B. Prof. Pius Ng'wandu alikuwa na masters 3 na Ph.Ds tatu lakini at 65 years alisoma LL.B OUT na kuhitumu kisha akasema LST na kuwa wakili at 70 years!.
  10. Kwa vile Tanzania inafuata mfumo wa sheria wa English law, advocates wa nchi za Jumuiya ya Madola, hawahitaji kufanya petition to practice in Tanzania, wanahitaji just to register only!. Ili kuwa advocate UK sio lazima kuwa na LL.B, wakili maarufu Tanzania, Murtaza Lakha hakusomea sheria yoyote popote and he was the best!. Hivyo miongoni mwetu kuna Watanzania ambao can make the best advocates lakini hawakusoma sheria kama ambavyo mwandishi Martin Maranja Masese anafanya the best court reporting kuliko media yoyote.
P
Naona na we sahv unapatikana

Kwenye wakili database,hongera

Ulikuwaga haumo huko

Ushahidi huu,wasije wadau wakaona

Labda we ni wakili kanjanja kumbe umekamilika

Ova
Screenshot_20230204_143606_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom