Mawakili wanena kuhusu Mfanyakazi wa TRC aliyefukuzwa kazi kwa kupinga tozo

Umefafanua vizuri sana.Wewe utakuwa ni msomi wa kiwango cha juu sana na una kipaji.Wajuwa wengine wanasomea kama udaktar,sheria,uhandisi nk,lakini hawana kipaji navyo.
 
Umesema kweli tupu.
 
Mkuu hata kwenye private sector ukikashifu mwajiri wako unafukuzwa kazi mara moja. Huyu alistahiri kufukuzwa kazi mara moja. Tena disciplinary hearing yake imechukua muda mrefu sana tangu mwaka jana anakula mshahara bure tu.
Ni kweli tupu,umesema.
 
TANZANIA HAINA UTAWALA WA KIFALME AU KIDIKTEKTA

Hii siyo nchini ya kiFamle, kiSultani au kiMalkia, hivyo serikali hii ni ya wananchi kwa ajili ya wananchi.

Tusimtwike rais aonekane rais-mfalme kuwa anaimiliki nchi hii binafsi au kwa ajili ya kikundi fulani kidogo.

Nchi za kifalme tena za kizamani ndiyo ilionekana ni kosa kuhoji sera, matamshi, matamko, ilani au visheni ya mtawala wa kifalme.


Democracy

Abraham Lincoln said, "Democracy is a rule of the people, for the people and by the people". It means that democracy is a form of government in which the rulers are elected by the people. The citizens of the country elect the Government to rule the country and the elected government work for the welfare of the people
 
Ndiyo mjue tukisema kuwa sa10000 ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Pamoja na kukata rufaa kiutumishi nadhani huyu anaweza pia kufungua kesi mahakamani kwani inawezekana kabisa sheria ya usalama kazini haikuzingatiwa. Ipo wapi mahakama huru ya kulinda haki ya kila raia?
 
CCM ni ile ile, mtaji wao ni ule ule!
Watu wale wale, ujinga ule ule!

Masikini Tanzania! CCM imeihatamia mithili ya chatu mwenye njaa! CCM imetubana mbavu hatupumui, tunakoroma kwa upungufu wa uhuru, haki na usawa.

Kwa sababu ya ujinga uliokithiri, ni wachache sana ndani ya taifa hili wanaoelewa kuwa hata Rais ni mtumishi tu kama watumishi wengine.

Rais tumemwajiri sisi wananchi na mshahara wake anaolipwa unatokana na kodi zetu na pale akipoboronga tunatakiwa tumwajibishe.

Lakini kwa Tanzania hii yetu ambayo kwa ujinga wetu tumeiweka rehani mikononi mwa genge hili kuimilki kwa kivuli cha chama tawala, thubutu!

Na sasa hata kale ka uhuru ka kuikosoa serikali, sembuse viongozi tunaowalipa kututumikia, eti nako marufuku! Who's kidding who? Na bado!
 
Taja vifungu hivyo vinavyoeleza wazi mkuu...
 

Katika maisha haya ya Africa kushindana naa watawali nikazi ngumu ila kuna watu wapo na kazi yao ni kuwasemea watu Vyama Vya siasa nao wapo kimya wanalamba Asali si Mama Tanzania ,Cuf iwe chandema wanasubilia uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…