Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Chochote kitu au sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chochote kitu au sio
hio ni symbol ya OK.Chochote kitu au sio
Ujue mi wa pwani, hiyo ni kidole juuhio ni symbol ya OK.
😂😂😂🙌Ila Samia una vituko..mafaili huwa unasoma saa ngapi hivi?
Hahahaha woooiii ni ok io bwan kwa sie wazungu.Ujue mi wa pwani, hiyo ni kidole juu
Anha kumbe we mzunguHahahaha woooiii ni ok io bwan kwa sie wazungu.
yah,,nmejichubua chubu nkawa mzunguAnha kumbe we mzungu
Nakubaliana na wewe kwa 100%Unaweza kaa asubuhi hadi usiku bila maongezi marefu na mpenzi wako sawa lakini siku haiishi bila kumcheki ama yeye kukucheki kama ufanyavyo hii haina shida ila sasa kuna wale ni hakutafuti hata siku kadhaa na ukijaribu tu kumcheki ndio unakutana na habari za yupo busy 24/7. Unajua fika hapa hamna upendo.
Hapo wewe ni wazi unapenda ila unakuwa bize ila unatafuta muda kuchat jioni au usiku. Hiyo ni sawa.
Mjadala hapa ni juu ya wale mtu ana mute wiki yote au mwezi eti yupo bize!
FactWithout communication, there is no relationship...
Muambie Nampenda sana pia,Hii point huwa mnaiendekeza sana ila kiuhalisia haisimami sawia kwa 100% katika kila muktadha.
Yeah, inatokea mtu anakuwa busy kiasi cha kuona kushika simu na kuchat ama kuongea anapoteza muda, ila haimaanisha hampendi mpenzi wake.
Mimi kuna siku naweza kaa from saa 2 asubuhi hadi night bila maongezi marefu nae, it's either single txt au nimtafute jioni au usiku, lakini deep down nampenda sana.
INATEGEMEANA.
Sisi wengine ni Waumini wa Nofap ndomaana hatuyapi sana mapenzi nafasi ya kwanza wala ya tatu.Kama una mpenzi/mke/mume/ partner lazima uyape mapenzi kipaumbele, angalau mapenzi yachukue nafasi ya 3 kwenye vipaumbele vyako.
Kama mko mbali walau msgs 3 kwa siku. Simu moja au 2.
Kitafiti, binadamu wa sasa hawezi Kukaa masaa 8 bila kushika simu, sasa katika kushika kwake simu hajaona haja ya kumtania mwenza wake, au kumsalimia au kumuagiza (kutegemea na stage ya mahusiano yenu) something must be fishy!
Tena siku hizi kuna reels na memes, siku nzima haujapata cha kumtumia mpenzi, ahhh subutu sio kweli (kwa sauti ya tabu mtindiga)
Love is byuriful thing. 😍
Leo nimekuelewa sana kaka yanguKuna siku nimekutana na post moja ambapo mwamba anasema anamtext mrembo halafu hujibu baada ya masaa mawili au matatu. Mwamba akawa anauliza, "Hivi imekaaje?"
Wakati unatafakari juu ya jambo hilo la mwamba, nami nimejikuta natafakari yangu. Kuna mrembo mmoja alikuwa anaitwa Zawadi. Hatukuwahi kuduu lakini tulikuwa very close, yaani kilichobaki ilikuwa ni kuunganisha viungo vyetu vya uzazi tu. Ila katika hili, mimi nilizingua, nilikuwa naleta mambo mengi kama ya kwenye movie, hahaha.
Inaelekea mrembo hakutaka mambo mengi. Mawasiliano yakaanza kupungua taratibu, na mwisho wa siku nilimuona Kariakoo ana mimba. Nikapata majibu kwanini alikuwa sio active katika mawasiliano.
Turudi kwenye mada. Iko hivi: hakuna ubize kwa mtu unayempenda. Hata uko bize kiasi gani, lazima utatafuta muda wa kuwasiliana naye. Ukiona mtu anakwambia yupo bize, basi fahamu yupo bize na mtu wake mwingine, period.
Kwahiyo, wakati mwingine jiongeze mwenyewe. Chap basi acha ujinga. Hata kama yupo bize, akipata muda atakucheki na kukufahamisha kuna moja mbili tatu, na hata kukuomba radhi anaweza ili mradi tu akuweke sawa. Lakini kama mtu hajibu simu kila mara na hata akipokea haonyeshi kujali wala kutoa sababu, ujue una mboa, jiongeze mapema. Hajibu meseji kwa wakati na mara nyingi haonyeshi kujali, jiongeze chap.
Mawasiliano ndio msingi mkubwa wa mapenzi. Anayekupenda atatafuta muda kwa ajili yako, iwe mvua iwe jua. Atahakikisha mnakuwa karibu siku zote.
Kwahiyo usipoteze muda wako kwa mtu ambaye hana muda na wewe. Tambua thamani yako. Kama yeye anasema "wa nini", wenzake wanasema "watakupata lini?"
Ni hayo tu!
Pia soma:Je, mapenzi yanaweza kuishi bila mawasiliano ya kimwili?
Hoja yako imejikita zaidi kwa watu wanoishi mbali, vipi wanaolala na kuamka pamoja?? Namaanisha mke na mume nyumba moja!hakuna ubize kwa mtu unayempenda. Hata uko bize kiasi gani
Fair 🤝Sisi wengine ni Waumini wa Nofap ndomaana hatuyapi sana mapenzi nafasi ya kwanza wala ya tatu.
Mawasiliano ni mawasiliano,,,tunatarajia walio mbali ndio watawasiliana zaidi lkn hata wanaoishi pamoja kama mchana hamuonani si mbaya kuchekiana walau mara moja,,kumjulia hali mwenzio kuonyesha unamjali na huo ndio upendo wenyeweHoja yako imejikita zaidi kwa watu wanoishi mbali, vipi wanaolala na kuamka pamoja?? Namaanisha mke na mume nyumba moja!
Unatakiwa ufahamu mapenzi ni hisia ambazo huja na kupotea! Wamagharibi waliliona hili, wakaja na ndoa za mikataba! Waarabu wakaaamua kuongeza idadi za wanawake huku wakimsingizia Mungu!
Ujumbe: Usilazimishe hisia!