Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Tumefikisha wa 8 jirani....😜Mpende mama wa 5 jirani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumefikisha wa 8 jirani....😜Mpende mama wa 5 jirani.
muone sasa mbona ulinichekaKama una mpenzi/mke/mume/ partner lazima uyape mapenzi kipaumbele, angalau mapenzi yachukue nafasi ya 3 kwenye vipaumbele vyako.
Kama mko mbali walau msgs 3 kwa siku. Simu moja au 2.
Kitafiti, binadamu wa sasa hawezi Kukaa masaa 8 bila kushika simu, sasa katika kushika kwake simu hajaona haja ya kumtania mwenza wake, au kumsalimia au kumuagiza (kutegemea na stage ya mahusiano yenu) something must be fishy!
Tena siku hizi kuna reels na memes, siku nzima haujapata cha kumtumia mpenzi, ahhh subutu sio kweli (kwa sauti ya tabu mtindiga)
Love is byuriful thing. 😍
muone sasa mbona ulinicheka
Hao ima wana shida pahala,binadamu ni social being tunahitajiana sanaSio wote ni wahitaji Mkuu, wengine mahusiano/familia sio Chaguo lao namba moja wala mbili.
Chief hiyo kumpenda unajua wewe,,lkn je yeye atajuaje?Hii point huwa mnaiendekeza sana ila kiuhalisia haisimami sawia kwa 100% katika kila muktadha.
Yeah, inatokea mtu anakuwa busy kiasi cha kuona kushika simu na kuchat ama kuongea anapoteza muda, ila haimaanisha hampendi mpenzi wake.
Mimi kuna siku naweza kaa from saa 2 asubuhi hadi night bila maongezi marefu nae, it's either single txt au nimtafute jioni au usiku, lakini deep down nampenda sana.
INATEGEMEANA.
BugalKuna siku nimekutana na post moja ambapo mwamba anasema anamtext mrembo halafu hujibu baada ya masaa mawili au matatu. Mwamba akawa anauliza, "Hivi imekaaje?"
Wakati unatafakari juu ya jambo hilo la mwamba, nami nimejikuta natafakari yangu. Kuna mrembo mmoja alikuwa anaitwa Zawadi. Hatukuwahi kuduu lakini tulikuwa very close, yaani kilichobaki ilikuwa ni kuunganisha viungo vyetu vya uzazi tu. Ila katika hili, mimi nilizingua, nilikuwa naleta mambo mengi kama ya kwenye movie, hahaha.
Inaelekea mrembo hakutaka mambo mengi. Mawasiliano yakaanza kupungua taratibu, na mwisho wa siku nilimuona Kariakoo ana mimba. Nikapata majibu kwanini alikuwa sio active katika mawasiliano.
Turudi kwenye mada. Iko hivi: hakuna ubize kwa mtu unayempenda. Hata uko bize kiasi gani, lazima utatafuta muda wa kuwasiliana naye. Ukiona mtu anakwambia yupo bize, basi fahamu yupo bize na mtu wake mwingine, period.
Kwahiyo, wakati mwingine jiongeze mwenyewe. Chap basi acha ujinga. Hata kama yupo bize, akipata muda atakucheki na kukufahamisha kuna moja mbili tatu, na hata kukuomba radhi anaweza ili mradi tu akuweke sawa. Lakini kama mtu hajibu simu kila mara na hata akipokea haonyeshi kujali wala kutoa sababu, ujue una mboa, jiongeze mapema. Hajibu meseji kwa wakati na mara nyingi haonyeshi kujali, jiongeze chap.
Mawasiliano ndio msingi mkubwa wa mapenzi. Anayekupenda atatafuta muda kwa ajili yako, iwe mvua iwe jua. Atahakikisha mnakuwa karibu siku zote.
Kwahiyo usipoteze muda wako kwa mtu ambaye hana muda na wewe. Tambua thamani yako. Kama yeye anasema "wa nini", wenzake wanasema "watakupata lini?"
Ni hayo tu!
Pia soma:Je, mapenzi yanaweza kuishi bila mawasiliano ya kimwili?
Nimeipenda hiiUnaweza kaa asubuhi hadi usiku bila maongezi marefu na mpenzi wako sawa lakini siku haiishi bila kumcheki ama yeye kukucheki kama ufanyavyo hii haina shida ila sasa kuna wale ni hakutafuti hata siku kadhaa na ukijaribu tu kumcheki ndio unakutana na habari za yupo busy 24/7. Unajua fika hapa hamna upendo.
Asante sanaKama una mpenzi/mke/mume/ partner lazima uyape mapenzi kipaumbele, angalau mapenzi yachukue nafasi ya 3 kwenye vipaumbele vyako.
Kama mko mbali walau msgs 3 kwa siku. Simu moja au 2.
Kitafiti, binadamu wa sasa hawezi Kukaa masaa 8 bila kushika simu, sasa katika kushika kwake simu hajaona haja ya kumtania mwenza wake, au kumsalimia au kumuagiza (kutegemea na stage ya mahusiano yenu) something must be fishy!
Tena siku hizi kuna reels na memes, siku nzima haujapata cha kumtumia mpenzi, ahhh subutu sio kweli (kwa sauti ya tabu mtindiga)
Love is byuriful thing. 😍
Naomba tuelewane hapa,,kuwa na mawasiliano mazuri haimaanishi kwamba hakutakuwa na changamoto laa! Na hatumaanishi kuchat kila mda au kupigiana simu kila mara,,kikubwa kuwe na mawasiliano kati yenuKuna watu wako bize 24/7 siungi mkono hoja nashikilia shilingi watu wenye pesa huo muda wa kuongea mda wote anautoa wapi mapenzi yanataka nini manara sio tajiri ila visenti anavyo ila licha ya kuwapeleka wake zake world cup ila alimwagwa tena mpaka akazimia dokta mwaka anayejiita bingwa naye hakupona elezea mambo yote ila ukifika kwenye mapenzi hapo weka nukta tega sikio usikilize hayana mtaalam wala mjanja ruge na ujanja wake wote alilia kwa zamaradi anyway sijui nilikuwa nataka kuzungumzia nini.
😁😁kwenye comment yangu,hahaha nusu nitoe ya moyoniNilikucheka wapi tena jamani? hah
Nahisi nimetumia emoj kimakosa, nilitaka kulike badala yake nikacheka.😁😁kwenye comment yangu,hahaha nusu nitoe ya moyoni
Kazasasa nifanyaje
HAYAKaza
LANDHAYA
LORDLAND
EYESLORD
ON YOUEYES
OkON YOU