Hoja yako imejikita zaidi kwa watu wanoishi mbali, vipi wanaolala na kuamka pamoja?? Namaanisha mke na mume nyumba moja!
Unatakiwa ufahamu mapenzi ni hisia ambazo huja na kupotea! Wamagharibi waliliona hili, wakaja na ndoa za mikataba! Waarabu wakaaamua kuongeza idadi za wanawake huku wakimsingizia Mungu!
Ujumbe: Usilazimishe hisia!
Mawasiliano ni mawasiliano,,,tunatarajia walio mbali ndio watawasiliana zaidi lkn hata wanaoishi pamoja kama mchana hamuonani si mbaya kuchekiana walau mara moja,,kumjulia hali mwenzio kuonyesha unamjali na huo ndio upendo wenyewe
Hisia zinashuka au kupotea kwasababu ya kuishi kwa mazoea,,mkiwa na tabia ya kuonyeshana upendo basi tambua hisia zitakuwepo siku zote na lau mkiamua kuishi kama kaka na dada basi mtapoteza hisia kabisa
Mapenzi ni kumjali mwenzio na kumuonyesha upendo,ndio maana tunahimizwa sana kupeana zawadi hakika inaongeza sana mapenzi,,kwahiyo ni kwa kiasi gani hisia zinakuwepo itategemeana na jinsi mnavyo ishi
Ngoja nikuelimishe kwanini waislamu au wanaume wameruhusiwa kuwa na wake wengi tena na Allah ingawa wewe humuamini
Kwanza ni kutuliza kiu ya mwanaume ,wote tunajua sisi wanaume kutulia na mke mmoja ni mtihani sana labda uwe una ucha mungu na hofu ya Allah,,kwahiyo tumepewa ruhusa hiyo ili tuchague wanawake wanne ambao tutaridhika nao,kama wataka mweupe kuwa naye,mwembamba kuwa naye,bonge,au mweusi itategemea na utashi ili mradi usizini na uwe katika njia ya Allah
Pili wanawake baadhi yao wanachangamoto sana katika swala zima la kujahamiana,,mwingine akiwa na mimba tu basi ujue unyumba utautafuta kwa tochi,,sasa mazingira kama haya huyu mume lqzima atatafuta pa kupunga oil chafu mwilini na hapo amezini na kumuasi Allah,,,lkn akiwa na wake wengi hatakuwa na hizo changamoto,huyu akiwa hana mood ya kutoa mzigo mke wa pili atakupa mzogo saaafi kabisa
Tatu kuna watu wamejaaliwa nguvu ya matamanio yaani hao ni bakora kwa kwenda mbele haina kulala yaani kila siku lazima apige bakora,,sasa hiyo inakuwa kero au shida kwa mkewe na mateso,,so akiwa na wake wengi wanashare bakora za mume saafi kabisa na hakuna dhiki kati yao
Na nne huenda mke mmoja asiwe na kizazi basi sio ndio umuache laa! Ongeza mke mwingine na mambo yaendelee huku kizazi kinaendelea.
Najua litakuja swali ha! Mbona wanawake wao hawaruhusiwi kuwa na waume wengi,kimaumbile mwanamke anaridhika na mume mmoja,,muhimu muonyeshe mapenzi ya dhati na mridhishe katika unyumba yaan huyo ni wa kwako
Pili mwanamke akiwa na waume wengi je kizazi kitakuwa cha mume gani? Haya mambo Allah amefanya kwa hekima kubwa sana
Tatu kama mke atakuwa na waume wengi,je siku ndio zamo ya
Etugrul Bey kulala naye na mke yupo katika ada yake ya mwezi je huyu mume huoni kuwa atakosa haki yake?
Tafakari hayo!
Linaweza kuja swali mbona wanaume wasio waislamu wana mke mmoja na wameridhika,,jibu ni kwamba kuna mengi nyuma ya pazia ambayo yamejificha,hao ndio wanaongoza kwa mahawara huko mitaani