comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Unachukua akili yako unamkabidhi Kubenea- mkuu hata ukijificha nyuma ya TETESI unamaliza mwaka vibayaHabari Wadau.
Kuna tetesi kwamba Mawaziri 10 watapigwa chini kwenye Baraza Jipya la Mawaziri linalotarajiwa kutangazwa wakati wowote na mh.Rais Kama alivyodokeza kwenye Mkutano wa chama..
Kwa Mujibu wa gazeti la Raia Mwema,Vigogo wanahaha na kupishana kwa Sangoma ili "kumroga" Mkuu wa Mamlaka ya Uteuzi Kuhakikisha wanajihakikishia nafasi..
Source:Raia Mwema 👇View attachment 2453672