Tetesi: Mawaziri 10 Kutemwa Baraza Jipya, hofu yatanda watu wakihaha kwa sangoma

Tetesi: Mawaziri 10 Kutemwa Baraza Jipya, hofu yatanda watu wakihaha kwa sangoma

Sasa wanataka tuweke security kwenye kazi ya uwaziri, mkuu wa mkoa, wilaya seriously

Hizo ni position anazoteuwa rais chini ya chama.
Watanzia wengi bado kabisa vichwa vyao ni vigumu. Nadhani ni uvivu wa kusoma ndiyo maana wanakuwa finyu kuelewa mambo. Nafasi ya kuteuliwa inaweza kutenguliwa muda wowote na siyo adhabu kutengua.
 
O

Dr Kimei, mwizi, jambazi, kibaka, muhuni, laghai, mpenda madara etc, hafai kabisa, ana faili chafu mno. Yaani mtu umeachia madaraka CRDB lakini bado anafuatilia kumtoa Nsekela hafai kabisa.
Gutter Politics, alichokifanya Dr Kimei CRDB kila mwenye akili anafahamu.

Wenye mapenzi mema na nchi hii tulitajia Dr Kimei ndio angeteuliwa kuwa Gavana wa BOT baada ya Profesa Beno Ndulu, lakini kwa chuki zake kwa Wachaga yule shetani wenu wa Chato akamuweka pembeni na kumlazimisha kustaafu CRDB.
 
O

Dr Kimei, mwizi, jambazi, kibaka, muhuni, laghai, mpenda madara etc, hafai kabisa, ana faili chafu mno. Yaani mtu umeachia madaraka CRDB lakini bado anafuatilia kumtoa Nsekela hafai kabisa.
Huku ni kuchafuana,tuambie ubaya wake halisi,bado hujasema lolote.

Kumbuka kwamba Kimei bado ni resource ya CRDB,kwa hiyo ana haki ya kuhakikisha CRDB inafanikiwa.
 
Hili la bonde la ihefu litawaacha wale thenashara salama?
 
Habari Wadau.

Kuna tetesi kwamba Mawaziri 10 watapigwa chini kwenye Baraza Jipya la Mawaziri linalotarajiwa kutangazwa wakati wowote na mh.Rais Kama alivyodokeza kwenye Mkutano wa chama..

Kwa Mujibu wa gazeti la Raia Mwema,Vigogo wanahaha na kupishana kwa Sangoma ili "kumroga" Mkuu wa Mamlaka ya Uteuzi Kuhakikisha wanajihakikishia nafasi..

Source:Raia Mwema [emoji116]View attachment 2453672
Msimu wa waganga kupiga hela umefika
 
Huku ni kuchafuana,tuambie ubaya wake halisi,bado hujasema lolote.

Kumbuka kwamba Kimei bado ni resource ya CRDB,kwa hiyo ana haki ya kuhakikisha CRDB inafanikiwa.
Mwizi, mtoa rushwa etc. Hafai kabisa. Nina uhakika hakuna mamlaka itakayompatia kimei uongozi serikalini kwa sababu ni mwizi, jambazi, mtoa rushwa na mla rushwa mkubwa. Hana tofauti na akina Mafuru wezi wezi na wala rushwa
 
jinsi litakavo badilishwa malaya wa kimboka atabadilishwa na malaya wa tandale,mwizi wa mabagara atabadilishwa na tapeli wa chang'ombe
Duu jamani [emoji40][emoji40][emoji40]
 
Unachukua akili yako unamkabidhi Kubenea- mkuu hata ukijificha nyuma ya TETESI unamaliza mwaka vibaya
Yule kaka si aliwahi mwagiwa tindikali au nimechanganya madesa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Magufuli na Majawaliwa hawa wote walikuwa walimu.

Mafao ya mbunge kwa miaka mitano tu ni sawa na mafao ya walimu watano waliofanya kazi ya ualimu kwa miaka 40, hapo sijagusa mshahara wa mbunge na privileged nyingine na mfuko wa jimbo.
Hilo si lakusema kwenye maswala maslahi yao weee huwa wanaungana hakuna cha wapinzani wala chama cha mambuzi wote kapu moja
 
Mwizi, mtoa rushwa etc. Hafai kabisa. Nina uhakika hakuna mamlaka itakayompatia kimei uongozi serikalini kwa sababu ni mwizi, jambazi, mtoa rushwa na mla rushwa mkubwa. Hana tofauti na akina Mafuru wezi wezi na wala rushwa
Yawezekana Dr Kimei alikula mzigo na ile Vitara aliyokuahidi kukununulia akakutolea mbavuni, ndio siri ya povu lote hili.

Hayo mambo alikuwa anafanya Liyumba tu kwa kuchota pesa za BOT.
 
Mwenye kutaka kuroga, anichek private nitamsaidia bure kumpa connection! sihitaji chochote ila akifanikiwa asinisahau! Serious kuna watu wanaweza!
 
Back
Top Bottom