Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Boss atageukia mipsho kwa kulogwa sanaKama kila mmoja anataka aroge bosi ampende hii inakaaje wakuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss atageukia mipsho kwa kulogwa sanaKama kila mmoja anataka aroge bosi ampende hii inakaaje wakuu...
Mbaya zaidi akikopa zinaliwa na watu wake 😂😂Hakuna jipya tutakaloona chini ya hangaya zaidi ya kuhatarisha nchi kupigwa mnada sababu ya kukopa kika siku
Waoga wa Maisha bhana mmh kazi mnae Yani ualimu ni kazi [emoji3]Kazi nzuri ni kazi ya ualimu (na ajira nyingine za serikali) tu. Japo kipato kidogo, ila inatoa uhakika wa maisha tangu mtu anaanza kazi mpaka anastaafu!
Hili Nina ushahidi nalo,ndio maana sipendi kabisa wanasiasa ndio waongoze harakati za Katiba mpya..Hilo si lakusema kwenye maswala maslahi yao weee huwa wanaungana hakuna cha wapinzani wala chama cha mambuzi wote kapu moja
Gavana wa Sasa anafanya kazi nzuri ukiacha ule upuuzi wa kupora Pesa za watu chini ya Jiwe.Gutter Politics, alichokifanya Dr Kimei CRDB kila mwenye akili anafahamu.
Wenye mapenzi mema na nchi hii tulitajia Dr Kimei ndio angeteuliwa kuwa Gavana wa BOT baada ya Profesa Beno Ndulu, lakini kwa chuki zake kwa Wachaga yule shetani wenu wa Chato akamuweka pembeni na kumlazimisha kustaafu CRDB.
Alikueleza lini hili? Waziri wa Mambo ya Nje yule mhaya Yuko wapi?Samia ashasema hatomtumbua mtu. Sana sana watabadioishwa wizara tu
Yalikuwa maji tena baada ya kuchukua mke wa mtuYule kaka si aliwahi mwagiwa tindikali au nimechanganya madesa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa kama kashindwa kukomesha wizi si ina maana kashindwa kazi.Anapaswa kuwa mkali.It is easy, watolewe kafara a few wawe mfano,wengine watanyooka.Tukienda hivi kwa kubembelezana bembelezana hatufiki.Wabongo ni wezi sana,, pm anajitahidi sana kupambana😄
Mbona unatoa tuhuma nzito namna hii bila ushahidi wowote mkuu.Hasira hizi zinaonyesha kwamba kuna chuki binafsi.Kama una ushahidi lete,vinginevyo huu utabaki kuwa udaku.To me Kimei is a serious person na kwa jinsi alivyoitoa CRDB from ground zero na ikawa na ufanisi mkubwa,angeweza kabisa kutusaidia Wizara ya Fedha.Mwizi, mtoa rushwa etc. Hafai kabisa. Nina uhakika hakuna mamlaka itakayompatia kimei uongozi serikalini kwa sababu ni mwizi, jambazi, mtoa rushwa na mla rushwa mkubwa. Hana tofauti na akina Mafuru wezi wezi na wala rushwa
Umeandika ukweli mtupu.Hao Mawaziri wapya anawatoa nje ya mfumo wa CCM?maana CCM ni sawa na gari bovu injini,sasa ukitaka gari yenye injini mbovu ikimbie,unabadilisha injini,sasa kinachofanyika sasa badala ya kuweka injini mpya tunabadilisha tairi[emoji1787].
Kama tunataka tuende mbele inatakiwa Rais awe na uwanja mpana wa kuteua,asilazimishwe kuteua Mawaziri kutoka Bungeni tu,aende mpaka nje ya Bunge.Hawa wakina Mwigulu,Biteko na Jafo na PhD zao za mchongo hatutafika kwa kweli!
Hatari sana hii...Boss atageukia mipsho kwa kulogwa sana
Wewe unachuki ndo maana huoni uchapakazi wa waziri mkuu.na hatoki mpaka amalize muda wake.Kama Kassimu mtu aliyeshindwa majukumu ya uwaziri mkuu na kugeuka nyapara wa kuangalia kama Simtank imekuwa installed au la ataendelea kuwa waziri mkuu basi hamna chochote hapo ni cosmetic change!.
Apige chini Kassim alete Waziri mkuu wa viwango, siyo waziri mkuu wa Jiwe.