Mawaziri hawa watano utumishi wao haujatukuka

Mawaziri hawa watano utumishi wao haujatukuka

No. 1 na 2 kusema kweli wanafanya ufisadi ktk miradi mikubwa na mingi sana. Wala hawawezi kuchomoka kwenda magerezni kutapokuwapo na utawala BORA kwani wana ukwasi wa kutisha kwa sasa japo "wameufichaficha" ILA unajulikana!
ILA siku zaja kila jiwe litageuzwa
 
Wana Bodi,

Kuna Mawaziri 5 ambao sina uhakika sana na rekodi zao katika Utumishi wa Umma hivyo mambo mengi yanayohusu Public Fund hawayajui na wanadhani wakiwa Mawaziri wanaweza kufanya maamuzi yoyote kuhusu fedha za Umma bila kufuata sheria za nchi.

1. Mwigulu Nchemba sijui rekodi yake kama aliwahi kuajiriwa Serikalini kama mtumishi wa umma ninachosikia ni kwamba aliwahi kuwa BOT kwa muda mfupi sana baadaye akatumbukia kwenye siasa sina uhakika na uzoefu wake kwenye eneo la utumishi wa umma na sasa ni Waziri wa Fedha.

2. Januari Makamba, yeye historia yake siijui imekaaje na sijui hata kama aliwahi kuajiriwa kama Mtumishi wa Serikali zaidi niliwahi kusikia alifanya kazi kwenye kambi ya wakimbizi kwenye Shirika la UNHCR na baadae akatumbukia kwenye siasa na kuwa msaidizi wa Rais na sasa Waziri. Sijui uzoefu wake katika utumishi wa umma na ufahamu wake wa kutosha kuhusu mambo ya Serikali. sasa ni Waziri wa Nishati.

3. Hussein Bashe, yeye hata historia yake ya haieleweki zaidi niliwahi kusikia alikuwa akifanya kazi kwenye gazeti la Mtanzania na baadaye akatumbukia kwenye siasa na sasa ni Waziri sijui hata aliwahi hata kuajiriwa serikalini na kujua mambo ya Serikali yanavyokwenda. Sasa ni Waziri wa Kilimo.

4. Nape Nauye, yeye historia yake hata ya elimu haijulikani lakini baadaye akatumbukia kwenye siasa mara akapewa Uenezi wa CCM mara DC na sasa Waziri wa Wizara kubwa ya TEHAMA sijui kama aliwahi kuwa mtumishi wa Serikali na kufahamu mambo ya Serikali.

5. Prof. Makame Mbarawa 'Mzee wa Mkataba wa Bandari' yeye sijui hata historia yake ya elimu na hata sijui aliwahi kufanya kazi wapi zaidi tulimuona kwenye siasa kwa kuteuliwa kuwa Waziri na Jakaya na sasa ni Waziri wa mambo ya Reli, Bandari na ANGA sijui hata kama aliwahi kuwa mtumishi wa Serikali.

Na ndiyo maana Mawaziri hawa kutokana na kutokuwa na ufahamu wa kutosha wa utumishi wa Serikali na namna ya usimamizi wa Fedha za Umma ndiyo sababu wizara zao zinakubwa na kashfa lukuki kila siku kuhusu matumizi ya fedha za Umma.

Ninachokiona mimi Siku Rais Samia Suluhu Hassan atakapoondoka madarakani ambaye ndiye wanayemtegemea kama Kinga yao hao Mawaziri 5 waitashia kufungwa gerezani kwa makosa makubwa waliyofanya wakiwa kwenye nafasi zao za uwaziri. vinginevyo labda waamue kukimbia nchi na kuishi ughaibuni.

Taarifa zilizopo wengine wameshaanza kuhamishia familia zao kwenye makazi yao mapya huko Dubai.

View attachment 2718757
Mwigulu Nchemba

View attachment 2718758
Januari Makamba

View attachment 2718760
Hussein Bashe

View attachment 2718762
Nape Nauye

View attachment 2718764
Makame Mbarawa
Sijui zimekua nyingi ni kama unabahatisha
 
Wana Bodi,

Kuna Mawaziri 5 ambao sina uhakika sana na rekodi zao katika Utumishi wa Umma hivyo mambo mengi yanayohusu Public Fund hawayajui na wanadhani wakiwa Mawaziri wanaweza kufanya maamuzi yoyote kuhusu fedha za Umma bila kufuata sheria za nchi.

1. Mwigulu Nchemba sijui rekodi yake kama aliwahi kuajiriwa Serikalini kama mtumishi wa umma ninachosikia ni kwamba aliwahi kuwa BOT kwa muda mfupi sana baadaye akatumbukia kwenye siasa sina uhakika na uzoefu wake kwenye eneo la utumishi wa umma na sasa ni Waziri wa Fedha.

2. Januari Makamba, yeye historia yake siijui imekaaje na sijui hata kama aliwahi kuajiriwa kama Mtumishi wa Serikali zaidi niliwahi kusikia alifanya kazi kwenye kambi ya wakimbizi kwenye Shirika la UNHCR na baadae akatumbukia kwenye siasa na kuwa msaidizi wa Rais na sasa Waziri. Sijui uzoefu wake katika utumishi wa umma na ufahamu wake wa kutosha kuhusu mambo ya Serikali. sasa ni Waziri wa Nishati.

3. Hussein Bashe, yeye hata historia yake ya haieleweki zaidi niliwahi kusikia alikuwa akifanya kazi kwenye gazeti la Mtanzania na baadaye akatumbukia kwenye siasa na sasa ni Waziri sijui hata aliwahi hata kuajiriwa serikalini na kujua mambo ya Serikali yanavyokwenda. Sasa ni Waziri wa Kilimo.

4. Nape Nauye, yeye historia yake hata ya elimu haijulikani lakini baadaye akatumbukia kwenye siasa mara akapewa Uenezi wa CCM mara DC na sasa Waziri wa Wizara kubwa ya TEHAMA sijui kama aliwahi kuwa mtumishi wa Serikali na kufahamu mambo ya Serikali.

5. Prof. Makame Mbarawa 'Mzee wa Mkataba wa Bandari' yeye sijui hata historia yake ya elimu na hata sijui aliwahi kufanya kazi wapi zaidi tulimuona kwenye siasa kwa kuteuliwa kuwa Waziri na Jakaya na sasa ni Waziri wa mambo ya Reli, Bandari na ANGA sijui hata kama aliwahi kuwa mtumishi wa Serikali.

Na ndiyo maana Mawaziri hawa kutokana na kutokuwa na ufahamu wa kutosha wa utumishi wa Serikali na namna ya usimamizi wa Fedha za Umma ndiyo sababu wizara zao zinakubwa na kashfa lukuki kila siku kuhusu matumizi ya fedha za Umma.

Ninachokiona mimi Siku Rais Samia Suluhu Hassan atakapoondoka madarakani ambaye ndiye wanayemtegemea kama Kinga yao hao Mawaziri 5 waitashia kufungwa gerezani kwa makosa makubwa waliyofanya wakiwa kwenye nafasi zao za uwaziri. vinginevyo labda waamue kukimbia nchi na kuishi ughaibuni.

Taarifa zilizopo wengine wameshaanza kuhamishia familia zao kwenye makazi yao mapya huko Dubai.

View attachment 2718757
Mwigulu Nchemba

View attachment 2718758
Januari Makamba

View attachment 2718760
Hussein Bashe

View attachment 2718762
Nape Nauye

View attachment 2718764
Makame Mbarawa
Ukiondoa mbarawa wote wanajidai wajuzi sana wa mambo wakati vilaza tu.
 
Wana Bodi,

Kuna Mawaziri 5 ambao sina uhakika sana na rekodi zao katika Utumishi wa Umma hivyo mambo mengi yanayohusu Public Fund hawayajui na wanadhani wakiwa Mawaziri wanaweza kufanya maamuzi yoyote kuhusu fedha za Umma bila kufuata sheria za nchi.

1. Mwigulu Nchemba sijui rekodi yake kama aliwahi kuajiriwa Serikalini kama mtumishi wa umma ninachosikia ni kwamba aliwahi kuwa BOT kwa muda mfupi sana baadaye akatumbukia kwenye siasa sina uhakika na uzoefu wake kwenye eneo la utumishi wa umma na sasa ni Waziri wa Fedha.

2. Januari Makamba, yeye historia yake siijui imekaaje na sijui hata kama aliwahi kuajiriwa kama Mtumishi wa Serikali zaidi niliwahi kusikia alifanya kazi kwenye kambi ya wakimbizi kwenye Shirika la UNHCR na baadae akatumbukia kwenye siasa na kuwa msaidizi wa Rais na sasa Waziri. Sijui uzoefu wake katika utumishi wa umma na ufahamu wake wa kutosha kuhusu mambo ya Serikali. sasa ni Waziri wa Nishati.

3. Hussein Bashe, yeye hata historia yake ya haieleweki zaidi niliwahi kusikia alikuwa akifanya kazi kwenye gazeti la Mtanzania na baadaye akatumbukia kwenye siasa na sasa ni Waziri sijui hata aliwahi hata kuajiriwa serikalini na kujua mambo ya Serikali yanavyokwenda. Sasa ni Waziri wa Kilimo.

4. Nape Nauye, yeye historia yake hata ya elimu haijulikani lakini baadaye akatumbukia kwenye siasa mara akapewa Uenezi wa CCM mara DC na sasa Waziri wa Wizara kubwa ya TEHAMA sijui kama aliwahi kuwa mtumishi wa Serikali na kufahamu mambo ya Serikali.

5. Prof. Makame Mbarawa 'Mzee wa Mkataba wa Bandari' yeye sijui hata historia yake ya elimu na hata sijui aliwahi kufanya kazi wapi zaidi tulimuona kwenye siasa kwa kuteuliwa kuwa Waziri na Jakaya na sasa ni Waziri wa mambo ya Reli, Bandari na ANGA sijui hata kama aliwahi kuwa mtumishi wa Serikali.

Na ndiyo maana Mawaziri hawa kutokana na kutokuwa na ufahamu wa kutosha wa utumishi wa Serikali na namna ya usimamizi wa Fedha za Umma ndiyo sababu wizara zao zinakubwa na kashfa lukuki kila siku kuhusu matumizi ya fedha za Umma.

Ninachokiona mimi Siku Rais Samia Suluhu Hassan atakapoondoka madarakani ambaye ndiye wanayemtegemea kama Kinga yao hao Mawaziri 5 waitashia kufungwa gerezani kwa makosa makubwa waliyofanya wakiwa kwenye nafasi zao za uwaziri. vinginevyo labda waamue kukimbia nchi na kuishi ughaibuni.

Taarifa zilizopo wengine wameshaanza kuhamishia familia zao kwenye makazi yao mapya huko Dubai.

View attachment 2718757
Mwigulu Nchemba

View attachment 2718758
Januari Makamba

View attachment 2718760
Hussein Bashe

View attachment 2718762
Nape Nauye

View attachment 2718764
Makame Mbarawa
Hata kama ingekua kuna makosa but hakuna utaratib huo kwa mfumo uliopo, hakuna wa kuchukua hatua hizo.. Never ever!!!
 
Uhusiano upo Mkuu ukiwa umewahi kuajiriwa serikalini Sheria nyingi za utumishi na mambo ya usimamizi wa fedha za umma utazijua mfano mtu aliwahi kuwa Mwalimu, akaja akafanya kazi Halmashauri hata Mkuu wa Idara, akaja akawa DC, akafanya kazi Wizarani hata leo akiwa Waziri atamudu majukumu yake vizuri atakuwa na upeo mkubwa wa mambo ya Serikali.

Huyo mtu unaetaka kwanza apitie utumishi serikalini kabla ya kuwa Waziri mpaka afikie hiyo hatua ni miaka tayari 10-15-20 na ikifika wakati wa kuwa Waziri tayari muda na mazingira sio rafiki tena kwake na hata muenendo wa mambo tayari hauendani na upeo wake!!

Na ndio wasababishaji na wakandarasi wa ukiritimba ulioshamiri katika utumishi wa ummah kisa ana miaka mingi ofisini!
 
mtoa mada yupo sahihi Kuna sheria za matumizi ya fedha za umma, Mwigulu anaamka na kutoa tenda ya matrion Kwa single source wakati single source Ina limit zake, makamba kutoa tenda bila ushindani sawa na Mbarawa hiyo ni mifano michache.
PPRA, takukuru, CAG na usalama wa Taifa ripoti zote wanazo ila wanasubiri rais ambaye ni mtekelezaji wazikabidhi kwake


Wewe tangu kujitambua kwako umepigia kura marais wangapi? Ni nani kati yao kaifata na kaisimamia hiyo sheria?


Rais ni mtumishi wa Ummah ama Serikali?

Mipaka ya ummah na serikali iko wapi na inalindwa na nani?
 
Uhusiano upo Mkuu ukiwa umewahi kuajiriwa serikalini Sheria nyingi za utumishi na mambo ya usimamizi wa fedha za umma utazijua mfano mtu aliwahi kuwa Mwalimu, akaja akafanya kazi Halmashauri hata Mkuu wa Idara, akaja akawa DC, akafanya kazi Wizarani hata leo akiwa Waziri atamudu majukumu yake vizuri atakuwa na upeo mkubwa wa mambo ya Serikali.
Kwenye uzi wako namba uko sahihi kuhusu kundi la hao wahuni. Lakini huko CCM hao ndio wanaonekana wa maana. Tuje huko kwenye utumishi wa umma ambako unataka kutuonyesha ndio tanuru la kupika viongozi sahihi, ama sehemu sahihi ya kupatia viongozi. Kwakweli huko hakuna ufanisi wowote wa maana, bali kumejaa wapiga porojo, wavivu, wezi na waongo wa kutupwa. Sana sana mtu akipita huko anakuwa mkomovu wa ukiritimba wa serikali, na sio ubora kama unavyotaka tuone.
 
Kweli wajinga mnazidi kuwa wengi hivi ni lazima uwe mtumishi ndo uwe mwanasiasa?
Hapana si lazima uwe mtumishi wa serikali lakini lazima ujue serikali ni nini, inafanya kazi kwa taratibu zipi na miiko ya utendaji kwenye taasisi za umma. Sehemu hiyo siyo mahala pa biashara!!
 
Hapana si lazima uwe mtumishi wa serikali lakini lazima ujue serikali ni nini, inafanya kazi kwa taratibu zipi na miiko ya utendaji kwenye taasisi za umma. Sehemu hiyo siyo mahala pa biashara!!
Kwaiyo ili ujue hiyo miiko lazima uwe mtumishi?
 
Back
Top Bottom